GK: Sifanyi show chini ya 30million Tsh.

Huyo ndio MHAYA origional bana.
 
Huyu jamaa ndo kama wale wagonjwa ambao baada ya mwezi mzima wa kuwa mahututi wanapata nafasi ya kufungua macho kuongea kidogo,kucheka na kula chakula halafu wanakufa.Kujipangia show Tsh mil 30 kwa mtu mahututi kimuziki kama yeye kwa sasa ni kujiua tu hakuna namna.
 
nikisema one,bas na machiz semen two(two)...nikisema three......hehe noma sana
 
Haha GK in his hey-day ananikumbusha Craig Mack, lyrically wack but he sounded nice.

Anyway, nadhani nawashangaa zaidi wanaomshangaa GK hapa. The man dated Diva, somehow I don't figure how y'all expected any sense.
 
Sifa yetu wanaume wa kiswahili / kiafrika ni kujitutumua kwenye hamna na ndio maana huyu jamaa anaendelea kutuwakilisha kwenye kujitutumua, yaani hapo anajua kabisa hawezi kuitwa kufanya show ya maana yoyote hivyo kinachobaki anajifanya "bila 30 million sifanyi show" wakati ukweli hana cha kuimba na kuonyesha kwa hadhira unless kama awe mwanamuziki mualikwa ili aimbe nyimbo yake moja atambae zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…