BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Naheshimu muziki wa GK lakini kwa nlichomsikia anasema ni wazi kua atakwama...umepotea kwenye anga ya muziki then unarudi halafu unasema kua hufanyi show chini ya milioni 30. Dah aisee...diamond asemeje, rayvany, harmonize,,alikiba je, na wakali wanaotingisha katika anga ya muziki redioni kwa sasa.
duh gk mwana umechemka hapa. Swali ni kua are you worth 30 million kaka mkubwa [emoji23][emoji23]??
duh gk mwana umechemka hapa. Swali ni kua are you worth 30 million kaka mkubwa [emoji23][emoji23]??