Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,655
Kama umetamani kuwa na ngozi yenye mng'ao unaweza kutumia huu mchanganyiko
Changanya
Manjano 1/2 kijiko kidogo
Maziwa kijiko 1 kidogo
Asali 1/2 kijiko kidogo
Pakaa mchanganyiko kwenye uso na shingoni. Wacha ikauke kwa dakika 20 kisha uoshe kwa maji safi.
#glowingskin #naturalskincare
Changanya
Manjano 1/2 kijiko kidogo
Maziwa kijiko 1 kidogo
Asali 1/2 kijiko kidogo
Pakaa mchanganyiko kwenye uso na shingoni. Wacha ikauke kwa dakika 20 kisha uoshe kwa maji safi.
#glowingskin #naturalskincare