Glucose inaweza kuondoa usingizi.?

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Habari zenu wakuu,
Huwa nasumbuliwa sana na usingizi (usingizi kuja mapema) hasa wakati ninapokuwa napiga kitabu usiku(Ni mwanachuo)..
So naomba kufahamishwa kuwa nikitumia glucose inaweza saidia hili tatizo au nitumie dawa gani/njia gani kuepukana na hii hali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…