Kuhusu video ni director ndio anaweza kufanya iwe nzuri au mbaya so wakuangalia ni director na sio msanii. Na sidhani kama unaweza kusema Hascana kafail maana yy ndo kaidirectQuality time ni nzuri ila Jamaa nick wa pili huwa anafeli video!
Angalia sweet mangi bonge la ngoma video chenga!
Gnako amefanya poa sana ingawa Jamaa hata kwenye verse yuko njema kama ile ngoma yake ya Arosto nilimuelewa kinoma, ile chorus sijui aliimba nani!
Hapana hanscana hana tatizo ila story ya video ilivyo!Kuhusu video ni director ndio anaweza kufanya iwe nzuri au mbaya so wakuangalia ni director na sio msanii. Na sidhani kama unaweza kusema Hascana kafail maana yy ndo kaidirect
Nilijua mimi tu ndo simuelewi mshkaji. Anazingua kweli na hii style anayofanya sasa hivi.Kumbe Jamaa mzima kiasi kile!
Sasa muziki gani huu anaoimba sasa hivi?