Nilitegemea niliyemnukuu anijibu swali hili lakini kakimbia, hapa ndipo watu kama sisi tunapokuwa na mashaka na neno Mungu, tunaamini kuna one highest power ambayo tunaiita the creator,huyu muumba hana intermediaries wa kutuma salamu zake kwa watu.Unajua hata wewe unaweza kujiita mungu kama walivyofanya akina Beyonce na wengineo,mimi nafikiri tungejiuliza hasa ni nini maana ya Mungu?
Yap,nimekupata MkuuMsimamo mimi sina tatizo nao.
Unaweza kuwa na msimamo kwamba wewe ni Bill Gates, bilionea wa kimarekani.
Nikajua wewe si Bill Gates, nikakuachia tu ukae na ndoto zako, kwa sababu zinakufariji.
Lakini ukienda benki ambayo mimi nina hisa kubwa, ukaanza kuomba mkopo wa mabilioni ya dola, kwa sababu wewe ni Bill Gates, kama fact, hapo tutataka uthibitishe kama kweli wewe ni Bill Gates.
Hii misimamo mbona inatetewa mpaka kikatiba, na hata mimi natetea haki yako ya kuwa na msimamo wako, kama sehemu ya uhuru wa kuabudu.
Sibishani misimamo.
Nabishana fact.
Unaelewa tofauti?
Kwa iyo wewe una amini kuwa Mungu ayupo?Msimamo mimi sina tatizo nao.
Unaweza kuwa na msimamo kwamba wewe ni Bill Gates, bilionea wa kimarekani.
Nikajua wewe si Bill Gates, nikakuachia tu ukae na ndoto zako, kwa sababu zinakufariji.
Lakini ukienda benki ambayo mimi nina hisa kubwa, ukaanza kuomba mkopo wa mabilioni ya dola, kwa sababu wewe ni Bill Gates, kama fact, hapo tutataka uthibitishe kama kweli wewe ni Bill Gates.
Hii misimamo mbona inatetewa mpaka kikatiba, na hata mimi natetea haki yako ya kuwa na msimamo wako, kama sehemu ya uhuru wa kuabudu.
Sibishani misimamo.
Nabishana fact.
Unaelewa tofauti?
"Mungu ni concept"nilitegemea niliyemnukuu anijibu swali hili lakini kakimbia
hapa ndipo watu kama sisi tunapokuwa na mashaka na neno mungu
tunaamini kuna one highest power ambayo tunaiita the creator,huyu muumba ana intermediaries wa kutuma salamu zake kwa watu
mungu ni concept iliyotengenezwa na watu,ukiangalia almost kila ethnic group wana mungu wao ambaye anatofautiana na group jingine....
Kwenye biblia na quran Mungu amekuwa personalized, ana mikono na miguu, anamiliki vitu, ana tanurula moto na sehemu ya starehe yenye mito y asali, may be nimelitumia neno concept sehemu ambayo si yake lakini nilikuwa nalenga kusema kuwa vitabu vinavyohusu Mungu vimemu-individualize"mungu ni concept"
Kwanini awe ni concept?
Kwa uchache tu wa maelezo yako umeonesha wazi kuwa unachokiamini ndio kimebuniwa tu na watu,bora watu wa dini wanadai wanayoyaeleza ni kutoka kwa huyo creator ila wewe umekaa na kubuni tu kuna creator na kwamba hakuna tunaloweza kulijua kuhusu huyo creator.nilitegemea niliyemnukuu anijibu swali hili lakini kakimbia
hapa ndipo watu kama sisi tunapokuwa na mashaka na neno mungu
tunaamini kuna one highest power ambayo tunaiita the creator,huyu muumba hana intermediaries wa kutuma salamu zake kwa watu
mungu ni concept iliyotengenezwa na watu,ukiangalia almost kila ethnic group wana mungu wao ambaye anatofautiana na group jingine....
Habarini wa GT.
Kumekuwa na mgongano wa mawazo kuhusu uwepo na ithibati ya Mungu.Naomba niseme ya kuwa mgongano huu haujaanza leo wala jana bali ni karne kwa karne zimeshapita. Nitaanza kwa kusimulia visa kadhaa kabla ya kujenga hoja.
Mwanafalsafa Plutarch(myunani) aliyekufa mwaka 120b.c na mwandishi wa habari za wayunani na warumi katika kitabu chake kinachoitwa "Parallel lives of illustrious Greek and Romans"aliandika ya kuwa Kuna miji isiyo na kuta, wala vitabu isiyo na mfalme, wala nyumba wala hazina wala mahala pa kuchezea michezo; Lakini hakuna mji usiokuwa na hekalu la Mungu(mungu fulani) hakuna mji huo na hutapata kuuona.
Mwana sayansi wa elimu ya viumbe Athanasius Kirchner(1601-1680) alikuwa na rafiki yake ambaye alikuwa anapinga uwepo wa Mungu. Kuna siku huyu rafiki alimtembelea Kirchner, Alikuta Kirchner ameshika tufe lenye sura ya dunia, kutokana na ustadi uliotumika kulifanya tufe hilo Jamaa akamuliza Kirchner"Nani aliyeufanya mfano wa dunia hivi? Kirchner akajibu Hakuna mtu, umejifanya wenyewe.Jamaa akasema acha kunichekesha aliyeufanya mfano huu lazima awe mstadi mkubwa, Jinsi gani Kirchner akahoji? Hutaki kukubali ya kuwa mfano huu dhaifu wa tufe la dunia umejifanya wenyewe lakini unakazana kuwa dunia hii kubwa (universe) umejifanya wenyewe.
Kuna watu wa aina bado wapo.
WHAT'S INVISIBLE THAT CREATES WHAT'S VISIBLE.
Kama kitu hakithibitishiki kwa milango ya fahamu (pua,ulimi, macho, ngozi,masikio) haifanyi kitu hicho kisiwepo.Kuna ya vitu hauwezi kuthibitisha kupitia milango ya fahamu lakini vipo katika mazingira yetu.Ili kuthibitisha uwepo wa mambo/vitu hivyo tuna angalia athari yake (Low of course and effect)Hapa nitaweka baadhi vitu/mambo hayo ili kuelewa vizuri low hii.
These facts are not all of one kind, some are material and some are non material. We shall mention here a few of them.
Electricity, Gravitation, Magnetism, Invisible radiation, Intelligence, Love, Hate, Determination. and so on.......
Hivi ni baadhi ya vitu/mambo hatuwezi kuthibitisha kwa milango yetu ya fahamu lakini vipo, Tunamini vipo kwasababu ya athari zake.
Kwa hiyo; hoja ya kuwa Mungu hayupo kwa kuwa hatuwezi kumthibitisha kwa milango yetu ya fahamu inakufa/haina uhai kwa scenario hii.
Mungu hujibainisha kwa viumbe wake kupitia alama/sign mbalimbali rejea paragraph za juu hapo(matukio hayo mawili).
Karibuni
wapi nimekwambia uamini! hebu nikupe shule kidogo, mimi naamini uwepo wa supernatural power/divine intelligent (which i believe created everything and i do believe this creator is just a spirit) siwezi kuprove existence ya hiyo spirit, it is just my own thinking wao, probably na wewe wanaoamini uwepo wa Mungu anayezungumza na watu wanahitaji kutupa ushahidi wa huyo Mungu kuwa ameongea nao na kuwatuma kuwaeleza binadamu ujumbe flani.Kwa uchache tu wa maelezo yako umeonesha wazi kuwa unachokiamini ndio kimebuniwa tu na watu,bora watu wa dini wanadai wanayoyaeleza ni kutoka kwa huyo creator ila wewe umekaa na kubuni tu kuna creator na kwamba hakuna tunaloweza kulijua kuhusu huyo creator.
Unafikiri hiyo imani yako utaweza kuitetea na nini ili tuamini kweli kuna creator na si vinginevyo?
Mkuuwapi nimekwambia uamini!!!!!!!!!!
hebu nikupe shule kidogo
mimi naamini uwepo wa supernatural power/divine intelligent (which i believe created everything and i do believe this creator is just a spirit)
siwezi kuprove existence ya hiyo spirit,it is just my own thinking
wao,probably na wewe wanaoamini uwepo wa mungu anayezungumza na watu wanahitaji kutupa ushahidi wa huyo mungu kuwa ameongea nao na kuwatuma kuwaeleza binadamu ujumbe flani
i do not have any burden of proof,mungu wanaomuelezea kwenye vitabu vyao/vyenu ni kiumbe chenye tanuri la moto,ana palace lenye kila raha....
soma vizuri uelewe nilichoandika hapa ili uje na hoja mpya ambayo nitajibu
mmh aya sasaHabarini wa GT.
Kumekuwa na mgongano wa mawazo kuhusu uwepo na ithibati ya Mungu.Naomba niseme ya kuwa mgongano huu haujaanza leo wala jana bali ni karne kwa karne zimeshapita. Nitaanza kwa kusimulia visa kadhaa kabla ya kujenga hoja.
Mwanafalsafa Plutarch(myunani) aliyekufa mwaka 120b.c na mwandishi wa habari za wayunani na warumi katika kitabu chake kinachoitwa "Parallel lives of illustrious Greek and Romans"aliandika ya kuwa Kuna miji isiyo na kuta, wala vitabu isiyo na mfalme, wala nyumba wala hazina wala mahala pa kuchezea michezo; Lakini hakuna mji usiokuwa na hekalu la Mungu(mungu fulani) hakuna mji huo na hutapata kuuona.
Mwana sayansi wa elimu ya viumbe Athanasius Kirchner(1601-1680) alikuwa na rafiki yake ambaye alikuwa anapinga uwepo wa Mungu. Kuna siku huyu rafiki alimtembelea Kirchner, Alikuta Kirchner ameshika tufe lenye sura ya dunia, kutokana na ustadi uliotumika kulifanya tufe hilo Jamaa akamuliza Kirchner"Nani aliyeufanya mfano wa dunia hivi? Kirchner akajibu Hakuna mtu, umejifanya wenyewe.Jamaa akasema acha kunichekesha aliyeufanya mfano huu lazima awe mstadi mkubwa, Jinsi gani Kirchner akahoji? Hutaki kukubali ya kuwa mfano huu dhaifu wa tufe la dunia umejifanya wenyewe lakini unakazana kuwa dunia hii kubwa (universe) umejifanya wenyewe.
Kuna watu wa aina bado wapo.
WHAT'S INVISIBLE THAT CREATES WHAT'S VISIBLE.
Kama kitu hakithibitishiki kwa milango ya fahamu (pua,ulimi, macho, ngozi,masikio) haifanyi kitu hicho kisiwepo.Kuna ya vitu hauwezi kuthibitisha kupitia milango ya fahamu lakini vipo katika mazingira yetu.Ili kuthibitisha uwepo wa mambo/vitu hivyo tuna angalia athari yake (Low of course and effect)Hapa nitaweka baadhi vitu/mambo hayo ili kuelewa vizuri low hii.
These facts are not all of one kind, some are material and some are non material. We shall mention here a few of them.
Electricity, Gravitation, Magnetism, Invisible radiation, Intelligence, Love, Hate, Determination. and so on.......
Hivi ni baadhi ya vitu/mambo hatuwezi kuthibitisha kwa milango yetu ya fahamu lakini vipo, Tunamini vipo kwasababu ya athari zake.
Kwa hiyo; hoja ya kuwa Mungu hayupo kwa kuwa hatuwezi kumthibitisha kwa milango yetu ya fahamu inakufa/haina uhai kwa scenario hii.
Mungu hujibainisha kwa viumbe wake kupitia alama/sign mbalimbali rejea paragraph za juu hapo(matukio hayo mawili).
Karibuni
it is just my own feeling/thinkingMkuu
Hiyo supernature power,umeijuaje?!
au na wewe umewahi kuiona?!
nataraji majibu ya kisomi Chief
Hakuna nilipokwambia uprove chochte ila nimekuuliza kama unaweza kuitetea hiyo imani yako,ila ajabu wewe unataka wenzako waprove wanachoamini ila wewe hayo unayoyaeleza na kuyaamini ndio hupaswi kuprove.wapi nimekwambia uamini!!!!!!!!!!
hebu nikupe shule kidogo
mimi naamini uwepo wa supernatural power/divine intelligent (which i believe created everything and i do believe this creator is just a spirit)
siwezi kuprove existence ya hiyo spirit,it is just my own thinking
wao,probably na wewe wanaoamini uwepo wa mungu anayezungumza na watu wanahitaji kutupa ushahidi wa huyo mungu kuwa ameongea nao na kuwatuma kuwaeleza binadamu ujumbe flani
i do not have any burden of proof,mungu wanaomuelezea kwenye vitabu vyao/vyenu ni kiumbe chenye tanuri la moto,ana palace lenye kila raha....
soma vizuri uelewe nilichoandika hapa ili uje na hoja mpya ambayo nitajibu
Hata wao nao wanaamini pia kama unavyoamini wewe,sasa iweje wakuthibitishie wanaachoamini wao hali ya kuwa hata wewe hauwezi kuwathibitishia unachoamini?it is just my own feeling/thinking
siwezi kuprove,naweza kuwa sipo sahihi
lakini ukiniambia kuna mtu juu mawingu ana tanuru la moto la kuchoma watu na mito ya maziwa na pombe halafu amechagua baadhi ya watu wa kuongea nao hapo itabidi uprove unachokisema
Sio kweli mkuu Mungu afanani na chochote katika viumbe huu ndio msimamo wa QURAN, labda huko kwenye biblia wenyewe watakujibukwenye biblia na quran mungu amekuwa personalized
ana mikono na miguu
anamiliki vitu,ana tanurula moto na sehemu ya starehe yenye mito y asali
may be nimelitumia neno concept sehemu ambayo si yake lakini nilikuwa nalenga kusema kuwa vitabu vinavyohusu mungu vimemu-individualize
Mzee we mgumu sana kuelewa kuamini uwepo wa muumba ni kitu kimoja lakini kusema amekutuma kuandika kitu flani ni jambo jingine kuamini ni kitu kimoja lakini kusema amekuambia kitu flani jambo jingineHakuna nilipokwambia uprove chochte ila nimekuuliza kama unaweza kuitetea hiyo imani yako,ila ajabu wewe unataka wenzako waprove wanachoamini ila wewe hayo unayoyaeleza na kuyaamini ndio hupaswi kuprove.
Ningekuelewa kama nawe pia usingenyooshea vidole imani za wengine na kutaka prove lakini sio wewe ujiamulie kutunga kwambao kuna supernatural power na ukaamua kuamini hivyo na utake ibak hivyo ila wenzio ndio utake waprove wanachoamini.
Hebu niandike katika lugha ambayo mtu kama wewe utanielewa unless umeamua kuleta ubishi wa kijinga;Hata wao nao wanaamini pia kama unavyoamini wewe,sasa iweje wakuthibitishie wanaachoamini wao hali ya kuwa hata wewe hauwezi kuwathibitishia unachoamini?
Habarini wa GT.
Kumekuwa na mgongano wa mawazo kuhusu uwepo na ithibati ya Mungu.Naomba niseme ya kuwa mgongano huu haujaanza leo wala jana bali ni karne kwa karne zimeshapita. Nitaanza kwa kusimulia visa kadhaa kabla ya kujenga hoja.
Mwanafalsafa Plutarch(myunani) aliyekufa mwaka 120b.c na mwandishi wa habari za wayunani na warumi katika kitabu chake kinachoitwa "Parallel lives of illustrious Greek and Romans"aliandika ya kuwa Kuna miji isiyo na kuta, wala vitabu isiyo na mfalme, wala nyumba wala hazina wala mahala pa kuchezea michezo; Lakini hakuna mji usiokuwa na hekalu la Mungu(mungu fulani) hakuna mji huo na hutapata kuuona.
Mwana sayansi wa elimu ya viumbe Athanasius Kirchner(1601-1680) alikuwa na rafiki yake ambaye alikuwa anapinga uwepo wa Mungu. Kuna siku huyu rafiki alimtembelea Kirchner, Alikuta Kirchner ameshika tufe lenye sura ya dunia, kutokana na ustadi uliotumika kulifanya tufe hilo Jamaa akamuliza Kirchner"Nani aliyeufanya mfano wa dunia hivi? Kirchner akajibu Hakuna mtu, umejifanya wenyewe.Jamaa akasema acha kunichekesha aliyeufanya mfano huu lazima awe mstadi mkubwa, Jinsi gani Kirchner akahoji? Hutaki kukubali ya kuwa mfano huu dhaifu wa tufe la dunia umejifanya wenyewe lakini unakazana kuwa dunia hii kubwa (universe) umejifanya wenyewe.
Kuna watu wa aina bado wapo.
WHAT'S INVISIBLE THAT CREATES WHAT'S VISIBLE.
Kama kitu hakithibitishiki kwa milango ya fahamu (pua,ulimi, macho, ngozi,masikio) haifanyi kitu hicho kisiwepo.Kuna ya vitu hauwezi kuthibitisha kupitia milango ya fahamu lakini vipo katika mazingira yetu.Ili kuthibitisha uwepo wa mambo/vitu hivyo tuna angalia athari yake (Low of course and effect)Hapa nitaweka baadhi vitu/mambo hayo ili kuelewa vizuri low hii.
These facts are not all of one kind, some are material and some are non material. We shall mention here a few of them.
Electricity, Gravitation, Magnetism, Invisible radiation, Intelligence, Love, Hate, Determination. and so on.......
Hivi ni baadhi ya vitu/mambo hatuwezi kuthibitisha kwa milango yetu ya fahamu lakini vipo, Tunamini vipo kwasababu ya athari zake.
Kwa hiyo; hoja ya kuwa Mungu hayupo kwa kuwa hatuwezi kumthibitisha kwa milango yetu ya fahamu inakufa/haina uhai kwa scenario hii.
Mungu hujibainisha kwa viumbe wake kupitia alama/sign mbalimbali rejea paragraph za juu hapo(matukio hayo mawili).
Karibuni
Habarini wa GT.
Kumekuwa na mgongano wa mawazo kuhusu uwepo na ithibati ya Mungu.Naomba niseme ya kuwa mgongano huu haujaanza leo wala jana bali ni karne kwa karne zimeshapita. Nitaanza kwa kusimulia visa kadhaa kabla ya kujenga hoja.
Mwanafalsafa Plutarch(myunani) aliyekufa mwaka 120b.c na mwandishi wa habari za wayunani na warumi katika kitabu chake kinachoitwa "Parallel lives of illustrious Greek and Romans"aliandika ya kuwa Kuna miji isiyo na kuta, wala vitabu isiyo na mfalme, wala nyumba wala hazina wala mahala pa kuchezea michezo; Lakini hakuna mji usiokuwa na hekalu la Mungu(mungu fulani) hakuna mji huo na hutapata kuuona.
Mwana sayansi wa elimu ya viumbe Athanasius Kirchner(1601-1680) alikuwa na rafiki yake ambaye alikuwa anapinga uwepo wa Mungu. Kuna siku huyu rafiki alimtembelea Kirchner, Alikuta Kirchner ameshika tufe lenye sura ya dunia, kutokana na ustadi uliotumika kulifanya tufe hilo Jamaa akamuliza Kirchner"Nani aliyeufanya mfano wa dunia hivi? Kirchner akajibu Hakuna mtu, umejifanya wenyewe.Jamaa akasema acha kunichekesha aliyeufanya mfano huu lazima awe mstadi mkubwa, Jinsi gani Kirchner akahoji? Hutaki kukubali ya kuwa mfano huu dhaifu wa tufe la dunia umejifanya wenyewe lakini unakazana kuwa dunia hii kubwa (universe) umejifanya wenyewe.
Kuna watu wa aina bado wapo.
WHAT'S INVISIBLE THAT CREATES WHAT'S VISIBLE.
Kama kitu hakithibitishiki kwa milango ya fahamu (pua,ulimi, macho, ngozi,masikio) haifanyi kitu hicho kisiwepo.Kuna ya vitu hauwezi kuthibitisha kupitia milango ya fahamu lakini vipo katika mazingira yetu.Ili kuthibitisha uwepo wa mambo/vitu hivyo tuna angalia athari yake (Low of course and effect)Hapa nitaweka baadhi vitu/mambo hayo ili kuelewa vizuri low hii.
These facts are not all of one kind, some are material and some are non material. We shall mention here a few of them.
Electricity, Gravitation, Magnetism, Invisible radiation, Intelligence, Love, Hate, Determination. and so on.......
Hivi ni baadhi ya vitu/mambo hatuwezi kuthibitisha kwa milango yetu ya fahamu lakini vipo, Tunamini vipo kwasababu ya athari zake.
Kwa hiyo; hoja ya kuwa Mungu hayupo kwa kuwa hatuwezi kumthibitisha kwa milango yetu ya fahamu inakufa/haina uhai kwa scenario hii.
Mungu hujibainisha kwa viumbe wake kupitia alama/sign mbalimbali rejea paragraph za juu hapo(matukio hayo mawili).
Karibuni
Mleta mada umenivuruga kidogo. Mimi naamini kuwa Mungu yupo, lakini unaposema alikuwepo kabla ya muda na yeye ndiye aliyetengeneza muda, ni vipi tukio la yeye kuwepo litokee nje ya muda. Hebu nifafanulie hapo.