God existed before time and He created time

" He found" unaweza kutumbia ni nani huyu "he"
 
Vitabu vyote hivi wameandika Vinyangarika kama sisi tena ni vibaka blue tu ambao ni kazi ya Mungu
 
Sasa kama wewe unachoamini ukielewi , inakuaje unaleta ujuvi kwenye kile wanachokiamini wenzako

Wapi nimesema mimi nina tatizo na wewe kuabudu allah? kuamini sio tatizo, tatizo ni ujinga mnaotaka kutuaminisha kuwa mohamed alipasua mwezi vipande viwili, jua liazama kwenye bwawa, allah kamtuma mohamed atuue wote tunaompinga.

Swali ambalo mnakimbia kulijibu ni hili:tutaamini vipi mohamed ametumwa kueleza yote anayoeleza wakati kule pangoni alikuwa peke yake?
 
Wewe huna hata unalolielewa,huyo Allah ameelezewa na huyo huyo mtume na ndipo watu wakaamini Allah,ila wewe unasema huna tatizo mtu kuamini Allah! Yani unapinga Qur'an iliyomueleza huyo Allah ila unaona sawa mtu kumuamini Allah ambaye Qur'an ndiyo imemuelezea .

Sidhani hata kama unaelewa unachokieleza mwenyewe.
 
Siku ukielewa concept yangu utajishangaa sana allah, isis, mti, kabati, maji..all these are just names
hujui kuwa maka watu walikuwa wanaabudu allah bila ya kuwepo quran wala hakukuwa na mtu aliyedai katumwa na mungu.

Nikiamka asubuhi nikakwambia mungu kaniambia ujikate mkono ili uingie mbinguni utaniamini?
kila kitu kipo precoded, hauuambii mwembe jinsi ya kuzaa maembe,mwembe unazaa maembe na haujawahi kuzaa machungwa.

Narudia tena kukwambia,ili uendelee kudebate na mimi tueleze imani yako ni mkristo, muislam au imani ya waebrania(judaism), bila hivyo unakuwa unatupotezea mda humu kwa kurukia comment za watu ili uonekane na wewe unajua hizi mada
 
wewe nimekwambia kudebate na mimi nataka nijue una imani gani(wht is your belief system)
ni mkristo?muislam? au imani ya kiebrania?

Nijibu hayo maswali ili upate legitimacy ya kudebate, nachoona unafanya ni kurukia tu comment za watu lakini hatujui unasimamia wapi
 
kwa hiyo nikiandika John maana yake yupo mmoja ila nikiandika john wapo wengi?
Naamini sijaandika john wala John. Sasa kama na wewe ni mungu au kuna ndugu zako ni mungu au Mungu, tujuze! Ili tuendelee kufanya mambo mengine
 
Naamini sijaandika john wala John. Sasa kama na wewe ni mungu au kuna ndugu zako ni mungu au Mungu, tujuze! Ili tuendelee kufanya mambo mengine
Kwani herufi kubwa na ndogo zinamaanisha nini kwa mujibu wa biblia yako? tuachane na hilo
Mungu wa kwenye imani yako analo jina analojitambulisha nalo? mfano wa kwenye biblia anataka aitwe yehova
 
kwani herufi kubwa na ndogo zinamaanisha nini kwa mujibu wa biblia yako?
tuachane na hilo
Mungu wa kwenye imani yako analo jina analojitambulisha nalo? mfano wa kwenye biblia anataka aitwe yehova
Umesoma Nouns na Nomino kweli? Uandishi wako wa mashaka.
 
Hao watu Makka ni nani aliyewaambia au walijuaje kuwa Allah anataka kuabudiwa hadi wao wakawa wanamuabudu? Hivyo ni kwamba hao watu wa makka walijitungia tu kuwa Allah anatakiwa kuabudiwa.

Sasa kwako wewe mtu kusema kaongea na Mungu na mtu kuzusha kuhusu Mungu,hao kwako wanatofauti gani?

Ningekuelewa kama ungepinga na mtu kuamini kabisa Mungu na sio kupinga kuongea na Mungu.
 
Mbona msimamo wangu upo wazi kuwa naamini Mungu na ndiyo maana muda wote napingana na wapinga Mungu humu,labda wewe ndio haujulikani msimamo upi.
 
Ujinga ni wewe kushindwa kueleza hicho unachoamini
 

Walijiuliza kama nilivyojiuliza mimi wakaja na concept ya creator, hawakuwahi kusema waliongea naye wala kusema waliambiwa waandike kitabu, wewe ni mkristo au muislam?

Naona unaendelea krukaruka tu, I tell you, this time usiponiambia imani yako sitakujibu and I mean it
siko hapa kukufundisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…