God is the master planner of our lives

God is the master planner of our lives

GOD IS THE MASTER PLANNER OF OUR LIVES.
[Mungu ndiye mtaalamu wa mipango ya maisha yetu]

Kama kijana au kama binadamu yeyote wa kawaida ni lazima kuna mipango fulani itakuwa umejiwekea kwenye maisha.

Mipango yako inaweza kuwa mizuri kwa ufahamu wako wa kawaida lakini upo uwezekano wa kutokutimia kwa mipango hiyo.

Haitimii sio kwasababu wewe ni mzembe sana na haupo makini katika kusimamia ndoto zako la hasha! Bali haitimii kwasababu Mungu hajatoa kibali cha mipango hiyo kuweza kutimia.

Ikiwa binadamu tunapanga mambo yetu, nae Mungu anapanga yakwake. Hivyo inawezekana kuwa mipango yako kuwa tofauti na mpango wa Mwenyezi Mungu katika maisha yako.

Ni kweli tunapaswa kuchekecha akili zetu sawasawa na kutumia nguvu zetu sawasawa. Kanuni ya Malengo + Juhudi + Maarifa hatuna budi kuifuata. Lakini Mungu ndiye mwenye kibali cha hayo yote kufanikiwa.

Tutimize wajibu wetu vizuri, kisha tuache mtaalamu wa mipango atimize alichopanga kwaajili yetu.

Tusitumie njia hatarishi kama vile kudhuru wengine au kutenda dhambi ili kupata tunayotaka.

Kilichopangwa na Mwenyezi Mungu kwaajili yako utakipa tu hata iweje ni lazima utakipata. Usijali kuhusu muda, utakipata tu. Mtaalamu wa mipango amepanga kila kitu hadi muda wa barikiwa kwako umepangwa.

Usiwe na wasiwasi au kutafuta mbinu za ziada mala utoe kafara, eti uibe ndio ufanikiwe, eti uuze mwili wako acha hizo mambo. Master planner wetu, mtaalamu wa mipango ameshaweka mipango yote sawa kwaajili yako.

Master planner wetu yupo vizuri na hajawahi kushindwa na wala hatoshindwa milele na milele.

Pamoja na magumu yote niliyo nayo leo hii na mapitio yote kuelekea ndoto zangu bado naamini kuwa GOD IS THE MASTER PLANNER OF MY LIFE.

Kama na wewe unaamini kuwa God is a master planner of your life na amepanga kila kitu kwaajili yako na sasa tuseme Amen.

It's me
Mr. George Francis
0713736006

I'm a Lawyer and LifeCoach.
Thibitisha kwamba huyo Mungu yupo na kwamba habari za kuwapo kwake si hadithi za kutungwa na watu tu.
 
K
Kilichopangwa na Mwenyezi Mungu kwaajili yako utakipa tu hata iweje ni lazima utakipata. Usijali kuhusu muda, utakipata tu. Mtaalamu wa mipango amepanga kila kitu hadi muda wa barikiwa kwako umepangwa. [emoji1752]
KILA mmoja upewa kwa wakati wake.Thus kinachokuja kuwatoa watu kwenye maisha ni kile walichokidharau.
Wapo waliofukuzwa Kazi kumbe wamepigwa chura teke wakaja tokea kwenye kilimo au biashara na wakajuta kupoteza mda kwenye ajira.
 
mawazo ya mtoa mada ya kipuuzi na kivivu,kila mtu anatakiwa apange maisha yake,ukiwa mvivu utavuna uvivu wako.hilo swala la kupangwa na mungu halipo kwahiyo hadi yale mateja ni Mungu kayapangia.
 
Kilichopangwa na Mwenyezi Mungu kwaajili yako utakipa tu hata iweje ni lazima utakipata. Usijali kuhusu muda, utakipata tu. Mtaalamu wa mipango amepanga kila kitu hadi muda wa barikiwa kwako umepangwa. [emoji1752]
kwahiyo ni bora kulala tu
 
kw
Mungu anakupangia yaliyo mema tu, shetani baba wa uharibifu anakuharibu, mabaya, machafu na machukizo ndiyo unaanza kuyapenda zaidi na kuyafanya shetani akikuingia
kwahiyo Mungu anaweza kupanga lakini shetani akaja kuharibu Mipango yake.dah huyu Mungu mbona anatia mashaka
 
kw

kwahiyo Mungu anaweza kupanga lakini shetani akaja kuharibu Mipango yake.dah huyu Mungu mbona anatia mashaka
Shetani akiharibu Mungu anatengeneza tena. Rejea mfano wa Ayubu.


Pia soma hapa

Yeremia 18:4-6


[4]Na chombo kile, alichokuwa akikifinyanga, kilipoharibika mkononi mwake yule mfinyanzi, alikifanyiza tena kuwa chombo kingine, kama alivyoona vema yule mfinyanzi kukifanya.
And the vessel that he made of clay was marred in the hand of the potter: so he made it again another vessel, as seemed good to the potter to make it.
[5]Ndipo neno la BWANA likanijia, kusema,
Then the word of the LORD came to me, saying,
[6]Ee nyumba ya Israeli, je! Siwezi mimi kuwatendea ninyi vile vile kama mfinyanzi huyu alivyotenda? Asema BWANA. Angalieni, kama udongo ulivyo katika mkono wa mfinyanzi, ndivyo mlivyo ninyi katika mkono wangu, Ee nyumba ya Israeli.

O house of Israel, cannot I do with you as this potter? saith the LORD. Behold, as the clay is in the potter's hand, so are ye in mine hand, O house of Israel.
 
Shetani akiharibu Mungu anatengeneza tena. Rejea mfano wa Ayubu.


Pia soma hapa

Yeremia 18:4-6


[4]Na chombo kile, alichokuwa akikifinyanga, kilipoharibika mkononi mwake yule mfinyanzi, alikifanyiza tena kuwa chombo kingine, kama alivyoona vema yule mfinyanzi kukifanya.
And the vessel that he made of clay was marred in the hand of the potter: so he made it again another vessel, as seemed good to the potter to make it.
[5]Ndipo neno la BWANA likanijia, kusema,
Then the word of the LORD came to me, saying,
[6]Ee nyumba ya Israeli, je! Siwezi mimi kuwatendea ninyi vile vile kama mfinyanzi huyu alivyotenda? Asema BWANA. Angalieni, kama udongo ulivyo katika mkono wa mfinyanzi, ndivyo mlivyo ninyi katika mkono wangu, Ee nyumba ya Israeli.

O house of Israel, cannot I do with you as this potter? saith the LORD. Behold, as the clay is in the potter's hand, so are ye in mine hand, O house of Israel.
Be blessed Mr. You made my Day
 
Shetani akiharibu Mungu anatengeneza tena. Rejea mfano wa Ayubu.


Pia soma hapa

Yeremia 18:4-6


[4]Na chombo kile, alichokuwa akikifinyanga, kilipoharibika mkononi mwake yule mfinyanzi, alikifanyiza tena kuwa chombo kingine, kama alivyoona vema yule mfinyanzi kukifanya.
And the vessel that he made of clay was marred in the hand of the potter: so he made it again another vessel, as seemed good to the potter to make it.
[5]Ndipo neno la BWANA likanijia, kusema,
Then the word of the LORD came to me, saying,
[6]Ee nyumba ya Israeli, je! Siwezi mimi kuwatendea ninyi vile vile kama mfinyanzi huyu alivyotenda? Asema BWANA. Angalieni, kama udongo ulivyo katika mkono wa mfinyanzi, ndivyo mlivyo ninyi katika mkono wangu, Ee nyumba ya Israeli.

O house of Israel, cannot I do with you as this potter? saith the LORD. Behold, as the clay is in the potter's hand, so are ye in mine hand, O house of Israel.
yani anapanga halafu shetani akija akiharibu inabidi Mungu aanze upya tena.dah aisee huyu mungu kweli ana nguvu anazoimbiwa au watu wanaabudu kitu kingine kisichojielewa
 
There is no reason to prove. It depends with your beliefs
Kwa hiyo wewe ukiamini wewe ni Mungu utakuwa Mungu?

Does believing something make it true in reality?

If you believe you do not exist, does that make you cease to exist?
 
Back
Top Bottom