Godbless Lema acha kupanga watu kususa kumbi za watu

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
Kipindi cha nyuma mlikuwa mnapata ruzuku hadi milioni 300 kwa mwezi, bado misaada ya vyama rafiki, Germany, mkaishia kutafutana na kugawana na vimada wenu kina Joyce Mukya,

Mkashindwa hata kununua kiwanja cha milioni 200, hekari za kutosha, mjenge Makao makuu na kumbi zenu

Leo mna mbunge mmoja ,ruzuku zimekata

Mnaanza kuwapangia watu kumbi zao,

Mlishindwa hata kuanzisha Gazeti la chama,redio ya chama ,hata za online

Ruzuku mkatafuna wachache ,

Ndio maana nasema TZ upinzani hakuna kuna wasakatonge

Waliokuwa wanajifanya wapinzani haswa wapiga kelele ,karibu wote wametanguliza matumbo yao

Kina Waitara, Mdee na kundi lake,n.k

Msigwa nae njaa imempiga anatafuta upenyo aende CCM ,

Chadema njaa ndio inawasumbua ,Kama kipind Cha Ruzuku million 300 mlishindwa kuanzisha hata online TV au kununua kiwanja hekari 1, msahau maisha
 
Lema ana madeni Kila mahala, nyumba zake zina hati ya mahakama zikamatwe ili ziuzwe, yaani pamoja na mshahara wa milioni 20 wa ubunge bado alikuwa anakopa mitaani mifuko ya simenti, nondo na mchele wa kupikia nyumbani
 
Achana na Lema SIO level yako. Huyo ni zaidi ya nabii! Alitabiri Magu atakufa na kweli akafa.
 
Mleta mada sikiliza kwa makini. Akili ya Lema ni mara mia zaid ya ile ya ukoo wako plus marafiki zako.

Chukuwa akili ya akina waziri Mchengerwa 100 ndiyo unapata akili ya Lema
 
Mleta mada sikiliza kwa makini. Akili ya Lema ni mara kumi zaid ya ile ya ukoo wako plus marafiki zako.

Chukuwa akili ya akina waziri Mchengerwa 100 ndiyo unapata akili ya Lema
Ndugu....kuwatusi ndugu wa mtoa mada ambao pengine hata Jf hawajui ni kuwakosea heshima ndugu wa jamaa.....
 
Hivi huyo Godbless Lema amewahi kutembea na mama zenu mbona mnapenda kumzungumzia sana
 
Lema ana madeni Kila mahala, nyumba zake zina hati ya mahakama zikamatwe ili ziuzwe, yaani pamoja na mshahara wa milioni 20 wa ubunge bado alikuwa anakopa mitaani mifuko ya simenti, nondo na mchele wa kupikia nyumbani
Cha ajabu hapo Nini kukopa? Au uvivu wako wa kufikiria?
 
Lema ana madeni Kila mahala, nyumba zake zina hati ya mahakama zikamatwe ili ziuzwe, yaani pamoja na mshahara wa milioni 20 wa ubunge bado alikuwa anakopa mitaani mifuko ya simenti, nondo na mchele wa kupikia nyumbani
Duu!🤔
 
Chama hakina mali hata magari yote yana majina ya wakulu wa chama, siku mkiiondoa familia kwenye uenyekiti ujue chama kinabaki hakina kitu kabisa
Sasa tuanze kuwajengea majengo ya kazi gani tutawapangishia tu mkituondoa tunawaachia mlipe kodi
 
Chama hakina mali hata magari yote yana majina ya wakulu wa chama, siku mkiiondoa familia kwenye uenyekiti ujue chama kinabaki hakina kitu kabisa
Sasa tuanze kuwajengea majengo ya kazi gani tutawapangishia tu mkituondoa tunawaachia mlipe kodi
Kabisa...
 
Kuna jambo unataka kutuhabarisha Ila haujui uanzie wapi.Tuambie,kumbi zimefanywa niini na Lena?
 
Kwani huko canada hawamlipi salary ya ukimbizi...amwambie na m belgiji mweusi warudi bongo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…