Pre GE2025 Godbless Lema ajitoa kwenye mbio za kugombea Uenyekiti Kanda ya Kaskazini

Pre GE2025 Godbless Lema ajitoa kwenye mbio za kugombea Uenyekiti Kanda ya Kaskazini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii ni kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa leo kupitia mtandao wake wa kijamii
---
Kwa ajili ya ustawi wa chama changu na uimara wake ktk kujenga misingi bora na muhimu haswa ktk kipindi hiki tunachoelekea ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji na uchaguzi Mkuu 2025, sitagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda kwa mara hii ktk uchaguzi unaokuja.

Kwa sasa nitafanya wajibu wangu muhimu wa ujenzi wa chama ktk kipindi kilichobaki.

Mganga wake mkali!
 
Hii ni kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa leo kupitia mtandao wake wa kijamii
---
Kwa ajili ya ustawi wa chama changu na uimara wake ktk kujenga misingi bora na muhimu haswa ktk kipindi hiki tunachoelekea ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji na uchaguzi Mkuu 2025, sitagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda kwa mara hii ktk uchaguzi unaokuja.

Kwa sasa nitafanya wajibu wangu muhimu wa ujenzi wa chama ktk kipindi kilichobaki.

uungwaba ni vitendo,
pesa za wafadhili wa ng"ambo zimekuja wakati muafaka, sambamba na uchaguzi wa kanda. kupanga ni kuchagua....

Lema amachagua vizuri, na hasa kwakuzingatia mazingira ya siasa yalivyo magumu kwa upande wake, na kuporomoka kwa ushawishi wake kwa vijana maeneo mbalimbali nchini...

ni muhimu kijifunza kutosheka, kuridhika na kujiasess kwamba huna jipya tena, na utoe nafasi kwa nawazo mapya kuleta mabadiliko mapya....

binafsi nampongeza kwa uuamizi wake wa kingwana na kishujaa sana kisiasa, na namtakia kila lililojema katika wajibu na changanoto nyingine katika siasa za kitaifa na kimataifa :BASED:
 
Hii ni kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa leo kupitia mtandao wake wa kijamii
---


Kwa ajili ya ustawi wa chama changu na uimara wake ktk kujenga misingi bora na muhimu haswa ktk kipindi hiki tunachoelekea ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji na uchaguzi Mkuu 2025, sitagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda kwa mara hii ktk uchaguzi unaokuja.

Kwa sasa nitafanya wajibu wangu muhimu wa ujenzi wa chama ktk kipindi kilichobaki.

Pia soma: Mwananyasa mumchague Sugu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa
Lema hana pesa, aseme hivyo tu. Kwamba hana pesa za kutoa rushwa ama kununua kura kamavile wanavyofanya wale "Mabilionea" wa CHADEMA kutokea kanda za kusini na kati.


Hata Ubunge, ajivue tu kwa Ustawi wa Nchi.
 
Ni chama Cha Wachaga ndio ila huyu ni mfuasi wa Lisu
Kwahiyo amuache mchaga mwenzake akawe mfuasi wa mnyaturu?! Sasa hiyo formula ya kichagaa mbona ni kama inakataa? Huoni unawavuruga chawa wenzio hawajui washike lipi?
uko kwa lissu kwakuwani ombaomba mwenziye wachaga hawajawahi kuwa ombaomba kama lema aiseee
Honestly hata sijui unaongea utoto gani?
 
Sio Propaganda bali ni ukweli mtupu ,chadema na siasa za ukabila ni kama kuku na yai
Ni haki yako maana huko mnamezeshwa propaganda za kizee, na kwakuwa ww ni mzee sioni unachomokaje kwenye hilo.
 
Hii ni kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa leo kupitia mtandao wake wa kijamii
---


Kwa ajili ya ustawi wa chama changu na uimara wake ktk kujenga misingi bora na muhimu haswa ktk kipindi hiki tunachoelekea ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji na uchaguzi Mkuu 2025, sitagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda kwa mara hii ktk uchaguzi unaokuja.

Kwa sasa nitafanya wajibu wangu muhimu wa ujenzi wa chama ktk kipindi kilichobaki.

Pia soma: Mwananyasa mumchague Sugu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa
Hii ni maturity, hata ningekuwa mimi, huku Gambo, kule Konda Boy, huku Ole Sabaya... unategemea nini?!
P
 
Back
Top Bottom