kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Mganga wake mkali!Hii ni kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa leo kupitia mtandao wake wa kijamii
---
Kwa ajili ya ustawi wa chama changu na uimara wake ktk kujenga misingi bora na muhimu haswa ktk kipindi hiki tunachoelekea ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji na uchaguzi Mkuu 2025, sitagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda kwa mara hii ktk uchaguzi unaokuja.
Kwa sasa nitafanya wajibu wangu muhimu wa ujenzi wa chama ktk kipindi kilichobaki.
uungwaba ni vitendo,Hii ni kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa leo kupitia mtandao wake wa kijamii
---
Kwa ajili ya ustawi wa chama changu na uimara wake ktk kujenga misingi bora na muhimu haswa ktk kipindi hiki tunachoelekea ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji na uchaguzi Mkuu 2025, sitagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda kwa mara hii ktk uchaguzi unaokuja.
Kwa sasa nitafanya wajibu wangu muhimu wa ujenzi wa chama ktk kipindi kilichobaki.
Sio Propaganda bali ni ukweli mtupu ,chadema na siasa za ukabila ni kama kuku na yaiSio mfuasi wq Mbowe tena Bali wa Lisu. Inaamaana ile propaganda yenu ya kuwa cdm ni chama Cha wachaga mnaipoteza kirahisi hivi?
Lema hana pesa, aseme hivyo tu. Kwamba hana pesa za kutoa rushwa ama kununua kura kamavile wanavyofanya wale "Mabilionea" wa CHADEMA kutokea kanda za kusini na kati.Hii ni kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa leo kupitia mtandao wake wa kijamii
---
Kwa ajili ya ustawi wa chama changu na uimara wake ktk kujenga misingi bora na muhimu haswa ktk kipindi hiki tunachoelekea ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji na uchaguzi Mkuu 2025, sitagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda kwa mara hii ktk uchaguzi unaokuja.
Kwa sasa nitafanya wajibu wangu muhimu wa ujenzi wa chama ktk kipindi kilichobaki.
Pia soma: Mwananyasa mumchague Sugu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa
Kwahiyo amuache mchaga mwenzake akawe mfuasi wa mnyaturu?! Sasa hiyo formula ya kichagaa mbona ni kama inakataa? Huoni unawavuruga chawa wenzio hawajui washike lipi?Ni chama Cha Wachaga ndio ila huyu ni mfuasi wa Lisu
Honestly hata sijui unaongea utoto gani?uko kwa lissu kwakuwani ombaomba mwenziye wachaga hawajawahi kuwa ombaomba kama lema aiseee
Ni haki yako maana huko mnamezeshwa propaganda za kizee, na kwakuwa ww ni mzee sioni unachomokaje kwenye hilo.Sio Propaganda bali ni ukweli mtupu ,chadema na siasa za ukabila ni kama kuku na yai
Kuna mangi humu wanaimba eti hanunuliki 😆😆Au kapiga mahesabu kibiashara maana hatujasahau alivyomtenda Lyatonga na TLP kwa kueksichenji na Felix 😂😂😂
Mangi yupi anayesema hivyo?Jamaa biashara alianza TLP aliponunuliwa na Felix Mrema.Kuna mangi humu wanaimba eti hanunuliki 😆😆
Lema hafanyi biashara ya siasaCurrently, biashara ya siasa kwa upande wa Mr. Lema inaenda vibaya
Halafu serikali yako yenyewe iitweje?ombaomba group kwa wazungu
waolewaji kwa wazungu haoHalafu serikali yako yenyewe iitweje?
Hii ni maturity, hata ningekuwa mimi, huku Gambo, kule Konda Boy, huku Ole Sabaya... unategemea nini?!Hii ni kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa leo kupitia mtandao wake wa kijamii
---
Kwa ajili ya ustawi wa chama changu na uimara wake ktk kujenga misingi bora na muhimu haswa ktk kipindi hiki tunachoelekea ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji na uchaguzi Mkuu 2025, sitagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda kwa mara hii ktk uchaguzi unaokuja.
Kwa sasa nitafanya wajibu wangu muhimu wa ujenzi wa chama ktk kipindi kilichobaki.
Pia soma: Mwananyasa mumchague Sugu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa
lema hapo hawezi kutoboa kaona bora yeesheeeHii ni maturity, hata ningekuwa mimi, huku Gambo, kule Konda Boy, huku Ole Sabaya... unategemea nini?!
P
Babyboy wa mbowe..na haijawahi kuwa kinyume na hapo..ndio maana juzi alimkumbusha Lissu kuwa alisema mbele yake hatagombea nafasi yoyote ya Mbowe..kumbe hujui siasa mkuu. Lema ni mfuasi wa Lissu?
CHAMA KISHAWASHINDA HIKI BORA WAKAFANYE KAZI ZINGINE TUB
Babyboy wa mbowe..na haijawahi kuwa kinyume na hapo..ndio maana juzi alimkumbusha Lissu kuwa alisema mbele yake hatagombea nafasi yoyote ya Mbowe..
Mbona hukuwakimbia akina Gwajima?Hii ni maturity, hata ningekuwa mimi, huku Gambo, kule Konda Boy, huku Ole Sabaya... unategemea nini?!
P