Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amemtaka mwekezaji namba 1 Africa mashariki Rostam Aziz kusambaza Umeme wa Solar Nchi nzima
Kwa sasa Rostam Aziz anafunga Mitambo Zanzibar itakayoifanya Nchi hiyo iachane na Umeme wa Tanganyika
Lema ametoa ushauri Huu twitani!
Lema tokea lini anatoa ushauri wa kujenga au positive advice kwa mwana CCM, sijawahi sikia, mimi najua CHADEMA is a NO POLICY political party