Godbless Lema amwelekeza Hamad Masauni kutokuhudhuria Mazishi ya Watu Wanaotekwa, atahadharisha kwamba inaweza kusababisha Maafa Mengine

Godbless Lema amwelekeza Hamad Masauni kutokuhudhuria Mazishi ya Watu Wanaotekwa, atahadharisha kwamba inaweza kusababisha Maafa Mengine

Maelekezo hayo Kabambe yametolewa Moja kwa moja Mjini Tanga, Mbele ya Hamad Masauni ambaye ni Waziri wa Mambo ya Ndani anayehusika na Usalama wa Raia na Mali zao.

Lema amezungumza kama Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, ambayo Mzee Ally Kibao alikuwa anatokea.

Hamad Masauni amezomewa na kuteremshwa kwa Aibu Jukwaani na Wananchi wa Tanga wakiihusisha serikali anayoitumikia na Mauaji ya Mzee Ally Kibao.

Mungu Ibariki Tanga
Safi kabisa.
 
Maelekezo hayo Kabambe yametolewa Moja kwa moja Mjini Tanga, Mbele ya Hamad Masauni ambaye ni Waziri wa Mambo ya Ndani anayehusika na Usalama wa Raia na Mali zao.

Lema amezungumza kama Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, ambayo Mzee Ally Kibao alikuwa anatokea.

Hamad Masauni amezomewa na kuteremshwa kwa Aibu Jukwaani na Wananchi wa Tanga wakiihusisha serikali anayoitumikia na Mauaji ya Mzee Ally Kibao.

Mungu Ibariki Tanga
Mkuu iweke sambamba na clip watu wasikie Lema kawanyoosha.......
 
Unyama unaoendelea sasa ni zaidi ya ule uliofanywa na Idd Amin.
Mungu atunusuru waja wake.
 
Katika hili la HASIRA ZA WANANCHI Nakubaliana kabisa na Mh Mbowe na Mh Lema Viongozi wa Kisiasa wasiwachukulie poa hawa Wanyonge kama wanavyopenda kuwaita

Ni Watanganyika hawa hawa walimpiga kama mwizi Mh Mabina hadi wakamuuwa

Nimeanza kuogopa 🐼
 
Back
Top Bottom