Uchaguzi 2020 Godbless Lema anatakiwa kupongezwa kwa kumkaribisha mgombea wa CCM apige kampeni kwenye jukwaa la CHADEMA

Uchaguzi 2020 Godbless Lema anatakiwa kupongezwa kwa kumkaribisha mgombea wa CCM apige kampeni kwenye jukwaa la CHADEMA

Mrisho Gambo katokea kukubalika sana ARUSHA, katumia fimbo ya uRC kukijenga chama, kudhoofisha upinzani, kusimamia maendeleo ipasavyo ya ARUSHA, kutatua kero mbalimbali za wanaArusha ikiwemo kutoa mikopo kwa wakina mamá na vijana kupitia makusanyo ya Halmashauri ya jiji

Lema amekwishajiandaa kisaikolojia kuachia jimbo maana kambi yake haswa ikiundwa na madiwani na wenyeviti Serikali za mtaa imedhoofishwa vilivyo baada ya wengi wao kuhamia CCM katika lile vuguvugu la kuunga mkono juhudi za Mh Rais na Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi

Kiukweli Gambo kateka hisia za watu, na atachukua jimbo vizuri kabisa,, kijana alijiandaa na amepikika
 
Lema Arusha hana chake tena, amebaki kushabikiwa na kikundi cha wachaga wenzake, wanawake wote arusha wanamsapoti mrisho gambo aliewapa mikopo.
Ni kweli.

Kumbe kuwa shabiki wa Lumumba buku saba ni lazima kujitoa ufahamu ili mkono uende kinywani?
 
Hahahahhahh Lema ni KIchwa hata Kigwangwala hawezi fanya hii kitu.
Acha Kigwangala hata Kassim Majaliwa na Job Ndugai hawawezi kufanya kama LEMA....

Ndugai alifikia hatua ya kumteka mhombea Udiwani wa Chadema kupitia kata ya Ugogoni, KONGWA ili tu kumfanya hawara yake apite bila kupingwa na akafanikiwa.

Bravo Godbless Jonathan Lema !!
 
Mrisho Gambo katokea kukubalika sana ARUSHA, katumia fimbo ya uRC kukijenga chama, kudhoofisha upinzani, kusimamia maendeleo ipasavyo ya ARUSHA, kutatua kero mbalimbali za wanaArusha ikiwemo kutoa mikopo kwa wakina mamá na vijana kupitia makusanyo ya Halmashauri ya jiji

Lema amekwishajiandaa kisaikolojia kuachia jimbo maana kambi yake haswa ikiundwa na madiwani na wenyeviti Serikali za mtaa imedhoofishwa vilivyo baada ya wengi wao kuhamia CCM katika lile vuguvugu la kuunga mkono juhudi za Mh Rais na Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi

Kiukweli Gambo kateka hisia za watu, na atachukua jimbo vizuri kabisa,, kijana alijiandaa na amepikika
Uko arusha mkuu?.karibu nyama ya tembo huku njiro,Gambo hata asikiki huku kwetu..
 
Mrisho Gambo katokea kukubalika sana ARUSHA, katumia fimbo ya uRC kukijenga chama, kudhoofisha upinzani, kusimamia maendeleo ipasavyo ya ARUSHA, kutatua kero mbalimbali za wanaArusha ikiwemo kutoa mikopo kwa wakina mamá na vijana kupitia makusanyo ya Halmashauri ya jiji

Lema amekwishajiandaa kisaikolojia kuachia jimbo maana kambi yake haswa ikiundwa na madiwani na wenyeviti Serikali za mtaa imedhoofishwa vilivyo baada ya wengi wao kuhamia CCM katika lile vuguvugu la kuunga mkono juhudi za Mh Rais na Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi

Kiukweli Gambo kateka hisia za watu, na atachukua jimbo vizuri kabisa,, kijana alijiandaa na amepikika

Hiki ulichokiandika hapa kinadhihirisha kuwa huijui Arusha zaidi ya kuuona ule mnara wa Azimio huko tbc...
Msisahau kuwa ni hapo hapo Arusha ndo mlikwapua fedha kutoka kwenye maduka ya kubadilishia fedha... kibabe, kijeshi kwa maagizo ya JPM na uratibu wa Mrisho Gambo...
 
I remember that day, ilikuwa patashika lake nje ya ofisi zao, watu walikuwa wengi na hawana dalili ya kuogopa chochote mpaka Lema atangazwe na kweli akatangazwa.

Huyo mama alikuwa akiitwa Batilda Buriani, alikuja kupewa ubalozi wa Kenya, siku hizi sijui amepotelea wapi.
Yupo kwao Sinoni....ni mdada mzuri saana kwa tabia na utu, kwa kifupi ni Binadamu.
 
Siasa syo uadui
Huyo msofe licha ya kuwa ccm lkn lema anamkubaligi sana

Ova
 
Heshima anayopata Lema akiwa chadema leo ni matokeo ya msimamo alioongozwa na Mh. freeman mbowe mwaka 2010 alipotaka kuuza jimbo la Arusha(wakati akigomea na yule mama simkumbuki jina) Lowassa na CCM kiujumla walimrubuni kumpatia nyumba ya kifahari njiro na pesa nyingi(b) lakini mbowe alitua fasta na helicopter kutokea hai.

Huku ofisi zikiwa zimezingirwa na wananchi wanaoshinikizwa Lema atangazwe kijana akiwa anatetemeka, mbowe akamwambi "angalia kesho yako, maamuzi yako mikononi mwako, chuku hiyo offer, mimi sitakuwa na la kuwaambia hao watu hapo nje, na ikiwezekana, nitasema ukweli" kijana akawaza.

Kisha akaikataa offer ile hatimae akatangazwa watu waliofurika wakarindima kwa shangwe huku lowasa na wapambe wake wakitoka vichwa chini hadi leo hii heshima yake ipo pale pale toka kwa wana Arusha.
Good moments
Lema Hero Again.
 
Siasa syo uadui
Huyo msofe licha ya kuwa ccm lkn lema anamkubaligi sana

Ova
Hao waliunga mkono juhudi kwa ubabe tu lkn kiroho bado wapo Chadema
 
Inaonekana Lema alienda kwenye mtaa kuonana na wamama ambapo Kiutaratibu ni eneo lililopo chini ya Diwani. Hivyo akaona amkaribishe Diwani ili kuweka hali ya hewa iwe sawa hasa kama alikuwa hajamjulisha. Naona wamama hapo kama 20.
Hivi madiwani bado wapo?
 
Heshima anayopata Lema akiwa chadema leo ni matokeo ya msimamo alioongozwa na Mh. freeman mbowe mwaka 2010 alipotaka kuuza jimbo la Arusha(wakati akigomea na yule mama simkumbuki jina) Lowassa na CCM kiujumla walimrubuni kumpatia nyumba ya kifahari njiro na pesa nyingi(b) lakini mbowe alitua fasta na helicopter kutokea hai.

Huku ofisi zikiwa zimezingirwa na wananchi wanaoshinikizwa Lema atangazwe kijana akiwa anatetemeka, mbowe akamwambi "angalia kesho yako, maamuzi yako mikononi mwako, chuku hiyo offer, mimi sitakuwa na la kuwaambia hao watu hapo nje, na ikiwezekana, nitasema ukweli" kijana akawaza.

Kisha akaikataa offer ile hatimae akatangazwa watu waliofurika wakarindima kwa shangwe huku lowasa na wapambe wake wakitoka vichwa chini hadi leo hii heshima yake ipo pale pale toka kwa wana Arusha.


Aisee
 
Ni Yeye kipenzi Cha watu.
Screenshot_20200917-092653.jpg
 
Nampongeza Sana mh Lema Kwa siasa hizo nzuri zisizofungamana

Tunaweza kuzomea na hata kuwaona mafala wengine Kwa kitendo alichofanya Mh Lema, lakini Ukiwa mwanasiasa na ukakomaa, Hufikia mahali mtu unakuwa na jicho la mwewe!

Tunachokitaka Sisi Watanzania Kwa ujumla wetu ni kuijenga nchi Yetu Sisi sote bila kutegamea uko na Chama gani, Na namuomba Mwenyezi Mungu atufanikishe tuvuke kwenye siasa uchwara za kutukanana na kuzomeana na kumwona mwingine ni adui na kumbe kila mmoja ni mjenga nchi ileile moja Nayo ni TANZANIA

Sasa! Kwa siasa zilizopo sasa hasa Kwa wapinzani, zimekuwa hazitabiriki kirahisi Kwa sababu ya kimazingira na mienendo ya awali Kwa kukosa ubunifu wa kupambana na CCM Kwa kipindi hichi cha miaka mitano iliyopita

Na sasa, Lema, anatumia jicho la kuona mbaaali Sana kule ambao wengine ni vigumu kutizama na ukaona,

Heko bwana Lema
 
Hiyo kwa cdm kawaida hata jana diwani wa Bilele CUF alimuombea kura chief na chief akamuombea kura diwani wakt wa ufunguzi wa kampeni za ubunge Bukoba mjini


Nadhan ndo dhana ya maendeleo hayana chama lkn anavyohubiri Bwna yule kichekesho
 
Heshima anayopata Lema akiwa chadema leo ni matokeo ya msimamo alioongozwa na Mh. freeman mbowe mwaka 2010 alipotaka kuuza jimbo la Arusha(wakati akigomea na yule mama simkumbuki jina) Lowassa na CCM kiujumla walimrubuni kumpatia nyumba ya kifahari njiro na pesa nyingi(b) lakini mbowe alitua fasta na helicopter kutokea hai.

Huku ofisi zikiwa zimezingirwa na wananchi wanaoshinikizwa Lema atangazwe kijana akiwa anatetemeka, mbowe akamwambi "angalia kesho yako, maamuzi yako mikononi mwako, chuku hiyo offer, mimi sitakuwa na la kuwaambia hao watu hapo nje, na ikiwezekana, nitasema ukweli" kijana akawaza.

Kisha akaikataa offer ile hatimae akatangazwa watu waliofurika wakarindima kwa shangwe huku lowasa na wapambe wake wakitoka vichwa chini hadi leo hii heshima yake ipo pale pale toka kwa wana Arusha.
Mama anaitwa batilda burian naaam nilikua naishi nae jirani pale njiro niongee ukweli kipindi kile nilifaidi maisha
 
Hiyo kwa cdm kawaida hata jana diwani wa Bilele CUF alimuombea kura chief na chief akamuombea kura diwani wakt wa ufunguzi wa kampeni za ubunge Bukoba mjini


Nadhan ndo dhana ya maendeleo hayana chama lkn anavyohubiri Bwna yule kichekesho
Hii ndo maana halisi ya MAENDELEO HAYANA VYAMA. Yule anaehubiri hii slogan kila siku ndio huyo huyo anaewatishia Wapiga kura kua wakichagua Wapinzani hatowaletea Maendeleo.
 
Back
Top Bottom