Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Heshima ni bora kuliko dhahabu na fedha.Unafanya kazi nzuri,umekuwa jeshi la mtu mmoja ndani ya Bunge. Mungu akubariki.Watu wengi wanafuatilia kazi unayofanya. Salute you Bro, ukiwa Arusha na Kaskazini fahamu kuwa una ndugu zako wengi na tafadhali karibu tunywe kahawa Arusha kwa vikao vyenye matumaini zaidi.
PIA SOMA- Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15