Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Hii kazi siiwezi hata kidogo ,it’s not my job either my area. Ninafurahi kuwa mwanachama huru. Leadership is not a title.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kumuacha Lema, anahitajika sana kwa muda huu, wampe anapo pawezaHii kazi siiwezi hata kidogo ,it’s not my job either my area. Ninafurahi kuwa mwanachama huru. Leadership is not a title.View attachment 3210130
UsemajiNa hio ndio demokrasia yenyewe,apewe kazi anayoweza kuitendea haki
Basi awe mjumbe wa kamati kuuHuwezi kumuacha Lema, anahitajika sana kwa muda huu, wampe anapo paweza
TutamlazimishaHii kazi siiwezi hata kidogo ,it’s not my job either my area. Ninafurahi kuwa mwanachama huru. Leadership is not a title.View attachment 3210130
MweneziUsemaji
Lema apewe uenezi wa chama, katibu watafute mtu mtulivu mwenye amsha amsha.Watu ambao ni viongozi makini huwa hawana tamaa ya uongozi.
Lema anafaa zaidi.
propoganda!Huwezi kumuacha Lema, anahitajika sana kwa muda huu, wampe anapo paweza