LGE2024 Godbless Lema awasha Moto wa Uzinduzi Arusha, CCM tumbo joto

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini ambaye pia ni Nabii wa Mungu ambaye Unabii wake Nchini Tanzania umetimia na Kupitiliza, Godbless Lema, leo Amezindua rasmi Kampeni za uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa za Chama chake huko Arusha.

Lema kwa Ufupi amewaambia Wananchi wasiichague ccm na wagombea wake kwa sababu shida zao zote, laana na uchafu wote umeletwa na chama hicho.

Soma Pia:



Salamu zimfikie Mrisho Gambo na Mamluki wenzake popote walipo
 
Shukrani kwa Mchengerwa kufuta wagombea wa Chadema, ingekuwa Aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…