Deni ni shilingi ngapi mbona hasemi mbona hasemi kuwa Samia kamlipia na akakubaliwa kujaMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.
Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
Yule mmasai naibu waziri wa afya alifika bei kipindi hicho.Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.
Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
Labda chuma ulete.Lema ana msimamo wa chuma.
Huwezi kuwapangia Watanzania, Wewe unafaidika na ccm sisi hatufaidiki nayo.Watanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
Unajaza server bro.Labda chuma ulete.
Ni za babaako?Unajaza server bro.
Ulaaniwe bashiru na uzao wako. Uchu aliokuwa nao wa madaraka, huyu aangaliwe anaweza fanya ya Idd Amin!Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.
Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
Matokeo yake kang'oka yeyeUlaaniwe bashiru na uzao wako. Uchu aliokuwa nao wa madaraka, huyu aangaliwe anaweza fanya ya Idd Amin!
Atakuwa kalipiwa na Mchumi first class!Vp ashalipa hilo deni sasa?au mama kamlipia alipomwezesha kurejea nchini?🤣🤣🤔sihasa