LGE2024 Godbless Lema: Dar Ghorofa limeanguka limeua watu 20, wale watu wameuawa na Serikali. Vibali vimetolewa kihuni watu wamekufa

LGE2024 Godbless Lema: Dar Ghorofa limeanguka limeua watu 20, wale watu wameuawa na Serikali. Vibali vimetolewa kihuni watu wamekufa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Akiwa kwenye kampeni leo mjini Arusha, Godbless Lema "Juzi mmeona Dar es Salaam, na hili jambo huwa nalisema kila siku yeyote anayekataa kupigania zana ya Utawala bora atakutwa na mauti ya kudharau zana ya utawala bora. Dar es Salaam ghorofa limeanguka limeua watu karibu 20, ile ni kukosekana kwa utawala bora, wale watu wameuawa na Serikali"
 
Godbless Lema, akiwa kwenye kampeni amesema, "Dar Ghorofa limeanguka limeua watu 20, wale watu wameawa na Serikali"
View attachment 3158013
Kuna Ukweli mchungu kuhusu suala hili.
Watendaji wazembe waliosababisha maafa hayo ni Waajiriwa wa Serikali, walizembea kutimiza wajibu wao ipasavyo hivyo kusababisha maafa hayo makubwa kwa Watu wasio na hatia.
 
Back
Top Bottom