Atakayeshinda ndiye atakuwa wa kwake.Siasa za chadema ni za kinafiki sana. Yeye Lema anasimama na nani kwenye huu uchaguzi?
Akiulizwa anasema watu wasubiri, anacheza mchezo wa hide and seek.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakayeshinda ndiye atakuwa wa kwake.Siasa za chadema ni za kinafiki sana. Yeye Lema anasimama na nani kwenye huu uchaguzi?
Akiulizwa anasema watu wasubiri, anacheza mchezo wa hide and seek.
Yote huo ni WIVU tu, ukikosa fyata na bana tako lako!Lissu hawezi kuchukua mali ya Urithi kizembe
Maajabu, eti haya ni mawazo toka kwa mjumbe wa kamati kuu ya chama! Hovyo kabisa.Kwani taratibu za kikatiba za kumpata mgombea urais kwa ticket ya CHADEMA zinasemaje?
Lema analazimisha kumtafutia Lissu nafasi ya kugombea urais ikiwa atashindwa uenyekiti.Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.
Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.
Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Ni kweli wajumbe sio wajinga ila tambua hao wajumbe wamekijenga chama wakiwa na Mbowe na wengine wana zaidi ya miaka 20 wakiwa wajumbe.Sitaki kuamini kama wajumbe mkutano mkuu woote ni wajinga kwa kutuletea tena Mbowe, wanaweza kuwemo wajinga ila wachache jamaa king'ang'anizi aambulie kura japo % 2 tuu kudadek zake!!.
Lissu ataenguliwa kotekote. Abaki anaropoka tu!Maana yake Mwenyekiti ni Mbowe, mgombea uraisi - Lissu au vice versa.
Vipi Kama wakigeukana huko mbele ya safari kabla ya October 2025?
Mbona sheria zipo wazi,Lissu ataenguliwa kotekote. Abaki anaropoka tu!
hiyo itakua ni kuminya haki na fursa kwa wanachadema wasio wajumbe wa mkutano mkuu, wenye nia na malengo ya kugombea urasi 2025, ambao wanaosubiri utaratibu wa kichama utangazwe na kupitia hatua zote za kikatiba kutimiza azma zao za kisiasa.Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.
Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.
Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Kwenye demokrasia ili uweze kufanikisha kitu kuna wakati mpaka wa katiba huwa unasogezwa kidogo.hiyo itakua ni kuminya haki na fursa kwa wanachadema wasio wajumbe wa mkutano mkuu, wenye nia na malengo ya kugombea urasi 2025, ambao wanaosubiri utaratibu wa kichama utangazwe na kupitia hatua zote za kikatiba kutimiza azma zao za kisiasa.
Ni muhimu wazo la lema likaheshimiwa lakini likapuuzwa 🐒
Kweli kabisa.Mbona sheria zipo wazi,
Rule Number One: Don't outshine your Boss.
Rule Number Two: Don't outshine your Boss.
Rule Number Three: Don't outshine your Boss.
Kwani lini mmebadili msimamo? Si mlisema hamtashiriki hadi Katiba Mpya.Basi sawa,ngoja CCM tujipange kuwashughulikia.Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.
Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.
Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Kamati kuu ipi? Hii inayomaliza muda wake? Hii itakuwa sio sawa, kamati kuu mpya na secretariet mpya ishughulike na mambo hayoIngewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.
Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.
Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Hizi ni mbinu za kuwapooza timu Lissu Ili wasiondoke Chadema pale watakapopokwa uenyekiti....Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.
Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.
Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Ni mhimu kujianda kuliko kutojiandaa in case.Kwani lini mmebadili msimamo? Si mlisema hamtashiriki hadi Katiba Mpya.Basi sawa,ngoja CCM tujipange kuwashughulikia.
Katiba ya CDM inasemaje kuhusu namna ya kumpata mgombea urais?Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.
Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.
Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Kwani kuteua mgombea ndio kugombea!!??Lema naye kachoka kisiasa
Yeye alisema no reform no election za sasa anaongelea uteuzi wa wagombea
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu
Wachaga huwa hawasalitiani pia watu wa kaskazini mashariki hawasalitiani. Ni rahisi kupigana wao kwa wao lakini akija mtu nje ya wao wanaungana wanampiga kimyakimya au kwa uwazi.Lissu mwenyekiti, Lemma makamu mwenyekiti na Heche Katibu mkuu. Mgombea urais Lissu.