Pre GE2025 Godbless Lema: Ikiwezekana Mkutano Mkuu utoke na jina la mgombea Urais

Pre GE2025 Godbless Lema: Ikiwezekana Mkutano Mkuu utoke na jina la mgombea Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Lema analazimisha kumtafutia Lissu nafasi ya kugombea urais ikiwa atashindwa uenyekiti.

Wazo hili la Lema halitolewi kwa nia njema.

Mafahali wawili hawakai zizi moja . Lissu lazima afukuzwe.

Je ikitokea huko mbeleni kuna mgombea maarufu zaidii akaibuka na kuonekana anafaa zaidi kugombea urais wa,kati tayari chama kimeishateua mgombea, Lema haoni hiyo itakuathiri chama kupata mgombea bora?
 
Sitaki kuamini kama wajumbe mkutano mkuu woote ni wajinga kwa kutuletea tena Mbowe, wanaweza kuwemo wajinga ila wachache jamaa king'ang'anizi aambulie kura japo % 2 tuu kudadek zake!!.
Ni kweli wajumbe sio wajinga ila tambua hao wajumbe wamekijenga chama wakiwa na Mbowe na wengine wana zaidi ya miaka 20 wakiwa wajumbe.
 
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
hiyo itakua ni kuminya haki na fursa kwa wanachadema wasio wajumbe wa mkutano mkuu, wenye nia na malengo ya kugombea urasi 2025, ambao wanaosubiri utaratibu wa kichama utangazwe na kupitia hatua zote za kikatiba kutimiza azma zao za kisiasa.

Ni muhimu wazo la lema likaheshimiwa lakini likapuuzwa 🐒
 
hiyo itakua ni kuminya haki na fursa kwa wanachadema wasio wajumbe wa mkutano mkuu, wenye nia na malengo ya kugombea urasi 2025, ambao wanaosubiri utaratibu wa kichama utangazwe na kupitia hatua zote za kikatiba kutimiza azma zao za kisiasa.

Ni muhimu wazo la lema likaheshimiwa lakini likapuuzwa 🐒
Kwenye demokrasia ili uweze kufanikisha kitu kuna wakati mpaka wa katiba huwa unasogezwa kidogo.

Mfano huwa wanasema kila mtu ana uhuru wa kuongea, badae utasikia lkn sio ndani ya kuta za ikulu.
 
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Kwani lini mmebadili msimamo? Si mlisema hamtashiriki hadi Katiba Mpya.Basi sawa,ngoja CCM tujipange kuwashughulikia.
 
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Kamati kuu ipi? Hii inayomaliza muda wake? Hii itakuwa sio sawa, kamati kuu mpya na secretariet mpya ishughulike na mambo hayo
 
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Hizi ni mbinu za kuwapooza timu Lissu Ili wasiondoke Chadema pale watakapopokwa uenyekiti....

Lissu usikubali hii rushwa.
 
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba ya mkutano mkuu ili chama kitoke na jina la mgombea sambamba na viongozi wakuu wa Chama.

Jambo hili ni muhimu kwa ajili ya branding ya mgombea Urais na masuala ya uratibu wa masuala ya kampeni na raslimali fedha kwa mgombea.

Pengine wazo hili likifanyiwa kazi bila Shaka tunaweza kumaliza salama zaidi na kupunguza kelele nyingi zisizokuwa na maana. Kamati Kuu inaweza kufikiri hivi.
Katiba ya CDM inasemaje kuhusu namna ya kumpata mgombea urais?
 
Lema naye kachoka kisiasa
Yeye alisema no reform no election za sasa anaongelea uteuzi wa wagombea

Ukiwa muongo usiwe msahaulifu
Kwani kuteua mgombea ndio kugombea!!??
Watu mnaakili ndogo sana.
 
CDM Wanatakiwa kutuonyesha mfano wa jinsi ya kuendesha mambo kidemkrasia. Atakayeshinda aachwe aongoze chama iwe FAM au TAL. Haya makolokolo mengine yanayoendelea ndani ya chama hayahusiani na Demokrasia.
 
Lissu mwenyekiti, Lemma makamu mwenyekiti na Heche Katibu mkuu. Mgombea urais Lissu.
Wachaga huwa hawasalitiani pia watu wa kaskazini mashariki hawasalitiani. Ni rahisi kupigana wao kwa wao lakini akija mtu nje ya wao wanaungana wanampiga kimyakimya au kwa uwazi.
 
Back
Top Bottom