I Izia maji JF-Expert Member Joined Dec 1, 2021 Posts 2,997 Reaction score 5,385 Dec 30, 2024 #41 Mia hewamkaa said: Lisu haelweki. Lisu hafai. Lisu anatakiwa kuwa chini ya mtu. Lisu ni mpayukaji. Kuna siku ataanza kusema siri zake za familia hadharani. Lisu na Msigwa lao moja. Click to expand... Miaka yote zaidi ya 20 hajatoa siri ije leo! Shithole!
Mia hewamkaa said: Lisu haelweki. Lisu hafai. Lisu anatakiwa kuwa chini ya mtu. Lisu ni mpayukaji. Kuna siku ataanza kusema siri zake za familia hadharani. Lisu na Msigwa lao moja. Click to expand... Miaka yote zaidi ya 20 hajatoa siri ije leo! Shithole!
E Earthmover JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 24,977 Reaction score 23,799 Dec 30, 2024 #42 Lumumba chaka TAYARI🤣🤣🤣🤣🤣
M Missile of the Nation JF-Expert Member Joined May 24, 2018 Posts 15,101 Reaction score 56,054 Dec 30, 2024 #43 Ina maana NO REFORMS NO ELECTION ni usanii mwingine?
zitto junior JF-Expert Member Joined Oct 7, 2013 Posts 20,537 Reaction score 31,729 Dec 30, 2024 #44 Quinine said: Ni kweli wajumbe sio wajinga ila tambua hao wajumbe wamekijenga chama wakiwa na Mbowe na wengine wana zaidi ya miaka 20 wakiwa wajumbe. Click to expand... Sawa wajichanganye wamchague Mbowe wataona huku ground nani atawapokea
Quinine said: Ni kweli wajumbe sio wajinga ila tambua hao wajumbe wamekijenga chama wakiwa na Mbowe na wengine wana zaidi ya miaka 20 wakiwa wajumbe. Click to expand... Sawa wajichanganye wamchague Mbowe wataona huku ground nani atawapokea
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Dec 30, 2024 #45 Lucas Mwashambwa said: CHADEMA hawajiamini Utafikiri mtu anayeogea vichakani. Kila kitu ukurupukaji tu na kila mmoja kujifanya anajua sana.kweli huu ni ukoo wa kambale. Click to expand... Wewe umechukua KADI juzi na leo unaanza chokochoko 🐼
Lucas Mwashambwa said: CHADEMA hawajiamini Utafikiri mtu anayeogea vichakani. Kila kitu ukurupukaji tu na kila mmoja kujifanya anajua sana.kweli huu ni ukoo wa kambale. Click to expand... Wewe umechukua KADI juzi na leo unaanza chokochoko 🐼
Tutankhamun Member Joined May 19, 2023 Posts 35 Reaction score 43 Dec 30, 2024 #46 Mshana Jr said: Ni wakati wa TAL.. Tumuunge mkono kwa nguvu moja na kwa sauti kubwaView attachment 3188296 Click to expand... Lissu tunamuhitaji bungeni
Mshana Jr said: Ni wakati wa TAL.. Tumuunge mkono kwa nguvu moja na kwa sauti kubwaView attachment 3188296 Click to expand... Lissu tunamuhitaji bungeni