Lema Waligombana na Mbowe pesa za Join the chainMkuu umetumia vigezo gani kufikia maoni haya.
Hali ya hewa chafu atengeneze yeye halafu aje tena kujifanya anatuliza hali ya hewa baada ya kufanya siasa chafu mno hakafu kujitia ooh natafuta kutuliza hali ya hewaJApokuwa halazimikj kusema au kuwajibu. Kwa sasa ana kazi moja tu kutuliza hali ya hewa kwenye chama
Ametengeza yehe au team iliyopita? tuhuma za rushwa, ubadhilifu wa fedha zimeanzia wapi? Na hayo ni machache tu.Halinya hewa chafu atengeneze yeye halafu aje tena kujifanya anatuliza hali ya hewa baada ya kufanya siasa chafu mno hakafu kujitia ooh natafuta kutuliza hali ya hewa
Lisu mnafiki mkubwa mpenda siasa za kuchafuana na ulagjhai
Hakuna mwanasiasa pale
Timu Mbowe msimpe ushirikiano kabisa
Tongu Chadema ianzishwe haijawahi kuwa na siasa chafu za kuchafuana na ulaghai chaguzi za ndani kama ilivyotokea sasa siasa chafu zikiongozwa na Lisu
Lisu mwanasheria kwa nini hakupeleka Takukuru au mahakamani kama anao ushahidi wa Mbowe au timu Mbowe kula rushwa? Kwa nini hakupeleka ?Ametengeza yehe au team iliyopita? tuhuma za rushwa, ubadhilifu wa fedha zimeanzia wapi? Na hayo ni machache tu.
Waliodbubutu ku rise flag kuhusu hayo walipigwa chini au kuvuliwa uwana chama kabisa. Hali ya hewa ilisha tengenezwa muda mrefu na watu wengine, so hamna facts kwenye comment yako
Hilo liko wasi nimeona kbsa mwamba lzm arudiChadema inakoelekea,Kuna siku watamuomba mbowe agombee au wampe Tena Uwenyekiti wa chama hicho Bure bila kupiga kura
Lisu amefanya siasa chafu kuwachafua viongizi wenzie ile awe madaraka ikumbuwke kuwa gia ya chadema kupata umaaharufu ni kuwazushia watu tuhuma za uongo ndio umaaharufu wake ukaeneaa hata sas lisu ametumia gia hyo hyo kuingia kweny kit kwa kumchafua mwenyeki wakeHali ya hewa chafu atengeneze yeye halafu aje tena kujifanya anatuliza hali ya hewa baada ya kufanya siasa chafu mno hakafu kujitia ooh natafuta kutuliza hali ya hewa
Lisu mnafiki mkubwa mpenda siasa za kuchafuana na ulagjhai
Hakuna mwanasiasa pale
Timu Mbowe msimpe ushirikiano kabisa
Tongu Chadema ianzishwe haijawahi kuwa na siasa chafu za kuchafuana na ulaghai chaguzi za ndani kama ilivyotokea sasa siasa chafu zikiongozwa na Lisu
Tena watamuomba arudi kwa kulia machoziChadema inakoelekea,Kuna siku watamuomba mbowe agombee au wampe Tena Uwenyekiti wa chama hicho Bure bila kupiga kura
chama kuongozwa na msomi, mwenye exposure, ambaye pia ni mwanasheria, mtaona utofauti wake na vile kilikuwa kinaendeshwa na mla mabinti wa bawacha, aliyekimbia shule, DJ na anayetokwa mate kila akiona fursa ya pesa.
Segerea nimepita pale, TAL Kuna eneo lake limeanza kutengwakuwa na adabu wewe kijana wa lisu, tunasubiri mufanye maandmano tukuoneni barabarani
sasa ndugu yangu, msomi, mwanasheria, utamlinganisha na mchezesha muziki DJ?kuwa na adabu wewe kijana wa lisu, tunasubiri mufanye maandmano tukuoneni barabarani
Kweli kabisa tabasamu la Mbowe ukumbini kwa sisi watuvwa code tulijua mbowe pale ni kama alisema "haya sasa tuone.."Usiwaamshe waliolala waache waendelee hivyo hivyo ,sisi tutaendelea kuwapa michango ya ONLINE watakapohitaji na huku tukiendelea kuwapa SPANA SISIEMU.
ukikua, utajua mtaji wa mtu sio pesa, ni akili na maarifa. funguka.Kweli kabisa tabasamu la Mbowe ukumbini kwa sisi watuvwa code tulijua mbowe pale ni kama alisema "haya sasa tuone.."
.kuendesha chama kwa kuwaomba walalahoi wa taifa hili watakuchoka tu.
Tundu lisu hana influence kwa matajiri wala wafanyabiashara wa nchi hii.
Kuendesha chama au taasisi yoyote inakuhitaji uwe na fedha.
ACHA KUJIDANGANYA WEWE, PESA NI KILA KITU.ukikua, utajua mtaji wa mtu sio pesa, ni akili na maarifa. funguka.
Unaendeleaje Masta Sheikh Yahaya?Lissu anamtegemea Lema awe ndiyo chief organiser wa chama, mambo yote ya hela zipatikanaje na wapi pia ndiye mshauri wake mkuu.
Ukatibu Mkuu Mnyika hawezi kuwakubalia, naona na yeye ataomba kupumzika - may be tutamuona kwenye Ubunge.
Lema kasema haijui hiyo kazi ya Katibu Mkuu. Yaani hana maarifa ya kutosha kuwa Katibu Mkuu.Sababu ya kugoma ni ipi mkuu?
Sio mbali sana,linaweza kutokea hili baada ya uchaguzi mkuuChadema inakoelekea,Kuna siku watamuomba mbowe agombee au wampe Tena Uwenyekiti wa chama hicho Bure bila kupiga kura
sasa ndugu yangu, msomi, mwanasheria, utamlinganisha na mchezesha muziki DJ?
Ni ngumu Lema kushinda ofisini sio style yake. Msemaji anatakiwa kuwa msaidizi wa katibu mkuu na ingekuwa vizuri Lissu amwachie Mnyika atafute mtu wake yeyeDuru ndani ya Kambi ya Lissu zinatabanaisha, ndugu Godbless Lema sasa anaenda ku mrithi John Mrema katika nafasi ya Msemaji wa Chama Taifa (CHADEMA).
"...awali ilikuwa awe SG lakini yeye mwenyewe kagoma. Sasa, Chairman amemlazimisha awe Msemaji wa Chama."
Chanzo.
Pia soma
- CHADEMA anzisheni nafasi ya Katibu Mwenezi badala ya kurugenzi ambayo ina mzigo wa majukumu ya utawala badala ya kueneza chama (publicity)
Wewe bichwa nazi na wajumbe 500+ ni nani wanaomjua lisu?Lisu mwanasheria kwa nini hakupeleka Takukuru au mahakamani kama anao ushahidi wa Mbowe au timu Mbowe kula rushwa? Kwa nini hakupeleka ?
Kama lengo lake halikuwa tu kuendesha siasa chafu ndani ya Chadema ili tu ashinde bila kujali anavyoumixa wengine bils ushahidi hakikika wa kupeleka takukuru au mahakama