Lema Waligombana na Mbowe pesa za Join the chainMkuu umetumia vigezo gani kufikia maoni haya.
Lema ana hasira hadi leo kuwa yeye ndie alikuwa architect wa ule mradi na kukusanya zile pesa na kuzitafuta Mbowe alipotoka jela akanpora mradi
Sasa chini ya Lisu anawinda hiyo nafasi ya fedha ashike fuko la pesa