Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
LEMA BANA UMESHINDWA KABISA MAISHA MENGI NJE YA UBUNGE NDIO MAANA MUONEKANO WAKO UNA MSONGO WA MAWAZO SANA.KUBALI ULIKUWA NA IMESHAPITA. MOVE ON GUY. YAANI HUNA RAAHA KILA SIKU UBUNGE UBUNGE. EBU FIKIRI NA VINGINEE BASI BROOView attachment 2930735
Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini ,dbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast .
Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao haukutimia anatarajiwa kuleta unabii mwingine ambao hautachukua muda mrefu kabla ya kutimia , ni vema usiwe mbali ili kujua yatakayojiri nchini mwako kutokana na maono ya kiroho
USIONDOKE JF .
Humjui Lema weweLEMA BANA UMESHINDWA KABISA MAISHA MENGI NJE YA UBUNGE NDIO MAANA MUONEKANO WAKO UNA MSONGO WA MAWAZO SANA.KUBALI ULIKUWA NA IMESHAPITA. MOVE ON GUY. YAANI HUNA RAAHA KILA SIKU UBUNGE UBUNGE. EBU FIKIRI NA VINGINEE BASI BROO
Lakini Lema ni mwanasiasa na mfanyabiashara. Ni akili gani unatumia kutaka kuona mwanasaisa anaepuka kuzungumzia siasa au kutoonekana kwenye platforms za siasa?LEMA BANA UMESHINDWA KABISA MAISHA MENGI NJE YA UBUNGE NDIO MAANA MUONEKANO WAKO UNA MSONGO WA MAWAZO SANA.KUBALI ULIKUWA NA IMESHAPITA. MOVE ON GUY. YAANI HUNA RAAHA KILA SIKU UBUNGE UBUNGE. EBU FIKIRI NA VINGINEE BASI BROO
Nabii au nibuView attachment 2930735
Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini , Godbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast .
Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao haukutimia anatarajiwa kuleta unabii mwingine ambao hautachukua muda mrefu kabla ya kutimia , ni vema usiwe mbali ili kujua yatakayojiri nchini mwako kutokana na maono ya kiroho
USIONDOKE JF .
Hapo mkuu unawashwa wapi maana ni maisha yakeLEMA BANA UMESHINDWA KABISA MAISHA MENGI NJE YA UBUNGE NDIO MAANA MUONEKANO WAKO UNA MSONGO WA MAWAZO SANA.KUBALI ULIKUWA NA IMESHAPITA. MOVE ON GUY. YAANI HUNA RAAHA KILA SIKU UBUNGE UBUNGE. EBU FIKIRI NA VINGINEE BASI BROO
Kwaiyo lema luksa lisu no chadema bhanaView attachment 2930735
Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini , Godbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast .
Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao haukutimia anatarajiwa kuleta unabii mwingine ambao hautachukua muda mrefu kabla ya kutimia , ni vema usiwe mbali ili kujua yatakayojiri nchini mwako kutokana na maono ya kiroho
USIONDOKE JF .
Acha kumpamba mwanaume mwenzako tena mvuta bangiView attachment 2930735
Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini , Godbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast .
Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao haukutimia anatarajiwa kuleta unabii mwingine ambao hautachukua muda mrefu kabla ya kutimia , ni vema usiwe mbali ili kujua yatakayojiri nchini mwako kutokana na maono ya kiroho
USIONDOKE JF .
Kwanini asirudi Canada kwa mkewe au amewaachia wazunguLEMA BANA UMESHINDWA KABISA MAISHA MENGI NJE YA UBUNGE NDIO MAANA MUONEKANO WAKO UNA MSONGO WA MAWAZO SANA.KUBALI ULIKUWA NA IMESHAPITA. MOVE ON GUY. YAANI HUNA RAAHA KILA SIKU UBUNGE UBUNGE. EBU FIKIRI NA VINGINEE BASI BROO
Siku hizi zipo online media nyingi Lema anaweza kufanya interview na akasikika na watu wengi. Sioni umuhimu wa yeye kwenda kwenye redio ya CCMNaona wameshamsagia kunguni. Mtangazaji anasema hajui kama atakuwepo ama hatakuwepo.
[emoji3][emoji3][emoji3] imeenda hii.
Lema alikuwa tajiri kabla ya kuwa mbunge na nikuambie tu kuwa huna lolote ulijualo kuhusu LemaLEMA BANA UMESHINDWA KABISA MAISHA MENGI NJE YA UBUNGE NDIO MAANA MUONEKANO WAKO UNA MSONGO WA MAWAZO SANA.KUBALI ULIKUWA NA IMESHAPITA. MOVE ON GUY. YAANI HUNA RAAHA KILA SIKU UBUNGE UBUNGE. EBU FIKIRI NA VINGINEE BASI BROO
Nabii mwizi wa magariView attachment 2930735
Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini , Godbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast .
Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao haukutimia anatarajiwa kuleta unabii mwingine ambao hautachukua muda mrefu kabla ya kutimia , ni vema usiwe mbali ili kujua yatakayojiri nchini mwako kutokana na maono ya kiroho
USIONDOKE JF .
Clouds wanajishusha sana ,wanaruhusije kutoa nafasi kwa kiumbe ambae mdomo wake hauna break?View attachment 2930735
Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini , Godbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast .
Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao haukutimia anatarajiwa kuleta unabii mwingine ambao hautachukua muda mrefu kabla ya kutimia , ni vema usiwe mbali ili kujua yatakayojiri nchini mwako kutokana na maono ya kiroho
USIONDOKE JF .
Kwa hiyo akawa mmbunge ndio akafilisika?hivi kelele zote anazopiga za kutaka kurudi kuwa mmbunge ni ili aendelee kufilisika ?Lema alikuwa tajiri kabla ya kuwa mbunge na nikuambie tu kuwa huna lolote ulijualo kuhusu Lema
Mbona Abood na Shabiby wanakomalia Ubunge?๐ผKwa hiyo akawa mmbunge ndio akafilisika?hivi kelele zote anazopiga za kutaka kurudi kuwa mmbunge ni ili aendelee kufilisika ?
Kwani ulishawahi kuwasikia kuwa wamefilisika baada ya kuwa wabunge?Mbona Abood na Shabiby wanakomalia Ubunge?๐ผ