LGE2024 Godbless Lema, mlishatwambia kuwa kushiriki chaguzi kwa sheria hizi za sasa ni Ujinga

LGE2024 Godbless Lema, mlishatwambia kuwa kushiriki chaguzi kwa sheria hizi za sasa ni Ujinga

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Ndugu Lema, nakusabahi

Miaka michache iliyopita, wakati ukiwa Canada, na Lissu akiwa ubelgiji mlikuwa mkitoa elimu nzito kuhusu demokrasia na mambo ya uchaguzi. Miongoni mwq elimu nzito mlizokuwa mkitoa ni kuwa, haiwezekani uchaguzi nchini ukawa huru na wa haki kwa katiba na sheria hizi. Kwa kweli elimu ilifika, watanzania wakawaelewa. Wengi wakaacha kushiriki hata chaguzi za marudio kwa sababu waliona kuwa mnachoongea kina logic.

Lakini hamkuishia hapo, wewe binafsi ulisema unachopigania siyo madaraka, wala ubunge bali mustakbali mwema wa Taifa, na umewahi kupendekeza kuwa Rais Samia hata akiamua kupitisha miaka mitano asiitishe uchaguzi ilimradi afanyie kazi ishu ya katiba mpya, kwako hiyo ni sawa tu.

Ndugu Lissu yeye akatumia utaalamu wake wa kisheria kuelimisha watu mapungufu mazito ya sheria tulizonazo kuhusiana na chaguzi. Ndugu Lissu akasema, Ni UJINGA kushiriki chaguzi chini ya katiba hii na sheria hizi. Kwa kweli elimu yake ilifika kwa wananchi ipasavyo.

Ukiachilia mbali hivyo, Mwenyekiti wa chama chenu ndugu Mbowe, mara baada ya uchaguzi wa 2020 alisoma azimio akasema kuwa CHADEMA haitoshiriki chaguzi kwa katiba hii na sheria hizi maana uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki.

Sasa ndugu Lema, lini mmegeuka Paulo akiwa njiani kuelekea Damascus, kwa kuona kuwa upo uwezekano wa uchaguzi chini ya katiba hii kuwa na maana?

Maana ndugu Lema, kuwaambia wananchi wakashiriki uchaguzi hata kama kuna figisu ili tuweze kujua kuwa CCM imeiba kura haitoshi. Sasa tukishajua then WHAT?

Na pia tkienda kushiriki chaguzi kwa katiba na sheria hizi mbovu kuoita kiasi kimsingi mnakuwa mnatafuta uhai wa chama zaidi kuliko kusaidia taifa kurekebisha mambo.

SOLUTION

1. Msimamo wa mwanzo wa chama ndiyo sahihi, Kupigania katiba mpya mpaka kieleweke. Kushiriki chaguzi wakati wewe unajua, wananchi wanajua kuwa CCM itachakachua ni kuihalalishia CCM katika uchakachuaji kwa kuwapa ushiriki.

2. Umma uendelee kuandaliwa kuidharau na kuipuuza CCM ktk mambo yake

3. Zitafutwe njia na mbinu halali za migomo mbalimbali za kuipiga presha serikali ya CCM ikae mezani na kufanya reforms za msingi

Naungana na Lissu wa mwaka 2020-2022 kuwa kushiriki chaguzi ktk hali hii tuliyonayo ni UJINGA
 
Ndugu Lema, nakusabahi

Miaka michache iliyopita, wakati ukiwa Canada, na Lissu akiwa ubelgiji mlikuwa mkitoa elimu nzito kuhusu demokrasia na mambo ua uchaguzi. Miongoni mwq elimu nzito mlizokuwa mkitoa ni kuwa, haiwezekani uchaguzi nchini ukawa huru na wa haki kwa katiba na sheria hizi. Kwa kweli elimu ilifika, watanzania wakawaelewa. Wengi wakaacha kushiriki hata chaguzi za marudio kwa sababu waliona kuwa mnachoongea kina logic.

Lakini hamkuishia hapo, wewe binafsi ulisema unachopigania siyo madaraka, wala ubunge bali mustakbali mwema wa Taifa, na umewahi kupendekeza kuwa Rais Samia hata akiamua kupitisha miaka mitano asiitishe uchaguzi ilimradi afanyie kazi ishu ya katiba mpya, kwako hiyo ni sawa tu.

Ndugu Lissu yeye akatumia utaalamu wake wa kisheria kuelimisha watu mapungufu mazito ya sheria tulizonazo kuhusiana na chaguzi. Ndugu Lissu akasema, Ni UJINGA kushiriki chaguzi chini ya katiba hii na sheria hizi. Kwa kweli elimu yake ilifika kwa wananchi ipasavyo.

Ukiachilia mbali hivyo, Mwenyekiti wa chama chenu ndugu Mbowe, mara baada ya uchaguzi wa 2020 alisoma azimio akasema kuwa CHADEMA haitoshiriki chaguzi kwa katiba hii na sheria hizi maana uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki.

Sasa ndugu Lema, lini mmegeuka Paulo akiwa njiani kuelekea Damascus, kwa kuona kuwa upo uwezekano wa uchaguzi chini ya katiba hii kuwa na maana?

Maana ndugu Lema, kuwaambia wananchi wakashiriki uchaguzi hata kama kuna figisu ili tuweze kujua kuwa CCM imeiba kura haitoshi. Sasa tukishajua then WHAT?

Na pia tkienda kushiriki chaguzi kwa katiba na sheria kimsingi mnakuwa mnatafuta uhai wa chama zaidi kuliko kusaidia taifa kurekebisha mambo.

SOLUTION

1. Msimamo wa mwanzo wa chama ndiyo sahihi, Kupigania katiba mpya mpaka kieleweke. Kushiriki chaguzi wakati wewe unajua, wananchi wanajua kuwa CCM itachakachua ni kuihalalishia CCM katika uchakachuaji kwa kuwapa ushiriki.

2. Umma uendelee kuandaliwa kuidharau na kuipuuza CCM ktk mambo yake

3. Zitafutwe njia na mbinu halali za migomo mbalimbali za kuipiga presha serikali ya CCM ikae mezani na kufanya reforms za msingi

Naungana na Lissu wa mwaka 2020-2022 kuwa kushiriki chaguzi ktk hali hii tuliyonayo ni UJINGA
Lema alikimbia UMANDE kwa hiyo anachoongea sio cha kutilia maanani hata kidogo.
 
Ndugu Lema, nakusabahi

Miaka michache iliyopita, wakati ukiwa Canada, na Lissu akiwa ubelgiji mlikuwa mkitoa elimu nzito kuhusu demokrasia na mambo ua uchaguzi. Miongoni mwq elimu nzito mlizokuwa mkitoa ni kuwa, haiwezekani uchaguzi nchini ukawa huru na wa haki kwa katiba na sheria hizi. Kwa kweli elimu ilifika, watanzania wakawaelewa. Wengi wakaacha kushiriki hata chaguzi za marudio kwa sababu waliona kuwa mnachoongea kina logic.

Lakini hamkuishia hapo, wewe binafsi ulisema unachopigania siyo madaraka, wala ubunge bali mustakbali mwema wa Taifa, na umewahi kupendekeza kuwa Rais Samia hata akiamua kupitisha miaka mitano asiitishe uchaguzi ilimradi afanyie kazi ishu ya katiba mpya, kwako hiyo ni sawa tu.

Ndugu Lissu yeye akatumia utaalamu wake wa kisheria kuelimisha watu mapungufu mazito ya sheria tulizonazo kuhusiana na chaguzi. Ndugu Lissu akasema, Ni UJINGA kushiriki chaguzi chini ya katiba hii na sheria hizi. Kwa kweli elimu yake ilifika kwa wananchi ipasavyo.

Ukiachilia mbali hivyo, Mwenyekiti wa chama chenu ndugu Mbowe, mara baada ya uchaguzi wa 2020 alisoma azimio akasema kuwa CHADEMA haitoshiriki chaguzi kwa katiba hii na sheria hizi maana uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki.

Sasa ndugu Lema, lini mmegeuka Paulo akiwa njiani kuelekea Damascus, kwa kuona kuwa upo uwezekano wa uchaguzi chini ya katiba hii kuwa na maana?

Maana ndugu Lema, kuwaambia wananchi wakashiriki uchaguzi hata kama kuna figisu ili tuweze kujua kuwa CCM imeiba kura haitoshi. Sasa tukishajua then WHAT?

Na pia tkienda kushiriki chaguzi kwa katiba na sheria kimsingi mnakuwa mnatafuta uhai wa chama zaidi kuliko kusaidia taifa kurekebisha mambo.

SOLUTION

1. Msimamo wa mwanzo wa chama ndiyo sahihi, Kupigania katiba mpya mpaka kieleweke. Kushiriki chaguzi wakati wewe unajua, wananchi wanajua kuwa CCM itachakachua ni kuihalalishia CCM katika uchakachuaji kwa kuwapa ushiriki.

2. Umma uendelee kuandaliwa kuidharau na kuipuuza CCM ktk mambo yake

3. Zitafutwe njia na mbinu halali za migomo mbalimbali za kuipiga presha serikali ya CCM ikae mezani na kufanya reforms za msingi

Naungana na Lissu wa mwaka 2020-2022 kuwa kushiriki chaguzi ktk hali hii tuliyonayo ni UJINGA
Mkuu unawauliza hao wachumia tumbo?
Wana tiketi mfukoni wanatembea nazo huku wana gari tayari huko Arusha, tayari kutimkia Nairobi kupanda ndege kwenda Ubelgiji na Canada.
 
chadema wasilete janja za kutaka kuvuruga chaguzi hila zao za kisiasa safari hii wanachi hawatawa zikalia kimya wallah
 
Chadema watapewa asilia 5% hadi 10% ya chaguzi za mitaa ila kuwaambia jumuiya za kimataifa ilikuwa huru na haki. Wataridhika baada ya kusema kidogo. Uchaguzi mkuu watapewa viti 20 hadi 30 ili wapate ruzuku watatulia. Waanze maridhiano mengine. Kutukana serikali iliyopita.
 
Ndugu Lema, nakusabahi

Miaka michache iliyopita, wakati ukiwa Canada, na Lissu akiwa ubelgiji mlikuwa mkitoa elimu nzito kuhusu demokrasia na mambo ua uchaguzi. Miongoni mwq elimu nzito mlizokuwa mkitoa ni kuwa, haiwezekani uchaguzi nchini ukawa huru na wa haki kwa katiba na sheria hizi. Kwa kweli elimu ilifika, watanzania wakawaelewa. Wengi wakaacha kushiriki hata chaguzi za marudio kwa sababu waliona kuwa mnachoongea kina logic.

Lakini hamkuishia hapo, wewe binafsi ulisema unachopigania siyo madaraka, wala ubunge bali mustakbali mwema wa Taifa, na umewahi kupendekeza kuwa Rais Samia hata akiamua kupitisha miaka mitano asiitishe uchaguzi ilimradi afanyie kazi ishu ya katiba mpya, kwako hiyo ni sawa tu.

Ndugu Lissu yeye akatumia utaalamu wake wa kisheria kuelimisha watu mapungufu mazito ya sheria tulizonazo kuhusiana na chaguzi. Ndugu Lissu akasema, Ni UJINGA kushiriki chaguzi chini ya katiba hii na sheria hizi. Kwa kweli elimu yake ilifika kwa wananchi ipasavyo.

Ukiachilia mbali hivyo, Mwenyekiti wa chama chenu ndugu Mbowe, mara baada ya uchaguzi wa 2020 alisoma azimio akasema kuwa CHADEMA haitoshiriki chaguzi kwa katiba hii na sheria hizi maana uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki.

Sasa ndugu Lema, lini mmegeuka Paulo akiwa njiani kuelekea Damascus, kwa kuona kuwa upo uwezekano wa uchaguzi chini ya katiba hii kuwa na maana?

Maana ndugu Lema, kuwaambia wananchi wakashiriki uchaguzi hata kama kuna figisu ili tuweze kujua kuwa CCM imeiba kura haitoshi. Sasa tukishajua then WHAT?

Na pia tkienda kushiriki chaguzi kwa katiba na sheria kimsingi mnakuwa mnatafuta uhai wa chama zaidi kuliko kusaidia taifa kurekebisha mambo.

SOLUTION

1. Msimamo wa mwanzo wa chama ndiyo sahihi, Kupigania katiba mpya mpaka kieleweke. Kushiriki chaguzi wakati wewe unajua, wananchi wanajua kuwa CCM itachakachua ni kuihalalishia CCM katika uchakachuaji kwa kuwapa ushiriki.

2. Umma uendelee kuandaliwa kuidharau na kuipuuza CCM ktk mambo yake

3. Zitafutwe njia na mbinu halali za migomo mbalimbali za kuipiga presha serikali ya CCM ikae mezani na kufanya reforms za msingi

Naungana na Lissu wa mwaka 2020-2022 kuwa kushiriki chaguzi ktk hali hii tuliyonayo ni UJINGA
Umekosea sana sana. Uko kinadharia zaidi. Una maana gani kusema umma kuandaliwa kuidharau CCM? Unadhani CCM wana shida na kudharauliwa? CCM shida yao ni kuendelea kutawala kwa njia zozote. CHADEMA wakisusia uchaguzi mkuu inaweza kuwa ndiyo mwisho wao. CCM itashirikiana na ATC Wazalendo kugawana viti vya ubunge na watatunga sheria za kukandamiza vyama visivyokuwa na wabunge. Dawa ni CHADEMA kushiriki na kuipa CCM jamba jamba japo kwa asilimia kubwa watapora kura,.
 
..Kwani haiwezekani kushiriki uchaguzi, na kupigania katiba mpya, na Tume huru?
Hili swali hawezi kulijibu kwa sababu nimegundua kuna baadhi ya watu wanasema CHADEMA isishiriki uchaguzi wakiwa na malengo maalum. Hayo mambo yote aliyoelezea bado CHADEMA wanaweza kuyafanya na wakashiriki kwenye uchaguzi.
 
Umekosea sana sana. Uko kinadharia zaidi. Una maana gani kusema umma kuandaliwa kuidharau CCM? Unadhani CCM wana shida na kudharauliwa? CCM shida yao ni kuendelea kutawala kwa njia zozote. CHADEMA wakisusia uchaguzi mkuu inaweza kuwa ndiyo mwisho wao. CCM itashirikiana na ATC Wazalendo kugawana viti vya ubunge na watatunga sheria za kukandamiza vyama visivyokuwa na wabunge. Dawa ni CHADEMA kushiriki na kuipa CCM jamba jamba japo kwa asilimia kubwa watapora kura,.
Chadema, CCM ,ACT mpinzani wao mkubwa ni Magufuli sio Samia au serikali yake au maslahi ya Taifa. Wakigawana viti, ruzuku watatulia. Ulishaona zito anapiga kelele kuhusu ripoti ya CAG tena baada ya kupewa nafasi Zanzibar.
 
Chadema, CCM ,ACT mpinzani wao mkubwa ni Magufuli sio Samia au serikali yake. Wakigawana viti, ruzuku watatulia. Ulishaona zito anapiga kelele kuhusu ripoti ya CAG tena baada ya kupewa nafasi Zanzibar.
Zitto hujui kama ni kibaraka wa siku nyingi? Hata wakati wa Magufuli kelele alizopiga zilikuwa za kishikaji tu. Umeshaona Zitto amekamatwa na kuwekwa lupango? CHADEMA ndiyo chama pinzani cha kweli.
 
Zitto hujui kama ni kibaraka wa siku nyingi? Hata wakati wa Magufuli kelele alizopiga zilikuwa za kishikaji tu. Umeshaona Zitto amekamatwa na kuwekwa lupango? CHADEMA ndiyo chama pinzani cha kweli.
Wote ni wale wale. Labda Lissu, Heche wanaweza kuwa authentic. Lakini unamkataa Lowassa, Sumaye baadaye unamsafisha. Maridhiano Mbowe na Lissu, kinana, Nape, Makamba walikuwa wanampigia debe Samia, mama anaupiga mwingi. Mwimbo ulikuwa Sukuma Gang.

Nini cha msingi kimebadilika kati ya wakati wa maridhiano na sasa?
 
Hili swali hawezi kulijibu kwa sababu nimegundua kuna baadhi ya watu wanasema CHADEMA isishiriki uchaguzi wakiwa na malengo maalum. Hayo mambo yote aliyoelezea bado CHADEMA wanaweza kuyafanya na wakashiriki kwenye uchaguzi.

..tutakuwa na hali mbaya sana kama Chadema watapotea mazima ktk uwanja wa siasa.

..ukiondoa Chadema hakuna chama huku Tanganyika ambacho kiko tayari kum-challenge Ccm.
 
Vijana wataibuka, vijana watajiongeza bila chama chochote cha siasa kuratibu mambo yao.
..tutakuwa na hali mbaya sana kama Chadema watapotea mazima ktk uwanja wa siasa.

..ukiondoa Chadema hakuna chama huku Tanganyika ambacho kiko tayari kum-challenge Ccm.
 
Wote ni wale wale. Labda Lissu, Heche wanaweza kuwa authentic. Lakini unamkataa Lowassa baadaye unamsafisha. Maridhiano Mbowe na Lissu, kinana, Nape, Makamba walikuwa wanampigia debe Samia, mama anaupiga mwingi. Mwimbo ulikuwa Sukuma Gang.

Nini cha msingi kimebadilika kati ya wakati wa maridhiano na sasa?

..maridhiano kutokuleta matokeo chanya tuwalaumu Ccm.

..Chadema waliokuwa kwenye maridhiano hawajapata kitu.

..vyama vingine vilivyounga mkono kikosi kazi cha Mama Abduli nao wametoka mikono mitupu.

..tume ya kurekebisha sheria za haki jinai nayo haina matokeo chanya. Majuzi Mama Abduli katoa kauli za kuwapa moyo watekaji, na kuwakandamiza wahanga.
 
..Kwani haiwezekani kushiriki uchaguzi, na kupigania katiba mpya, na Tume huru?

Ingewezekana japo kwa mbinde kama ingekuwepo angalau minimum respect ya hizo chaguzi. Kwa sasa hata zile minimums hazipo. Ndiyo maana energy ielekezwe kwenye kukata mzizi wa fitina.
 
..maridhiano kutokuleta matokeo chanya tuwalaumu Ccm.

..Chadema waliokuwa kwenye maridhiano hawajapata kitu.

..vyama vingine vilivyounga mkono kikosi kazi cha Mama Abduli nao wametoka mikono mitupu.

..tume ya kurekebisha sheria za haki jinai nayo haina matokeo chanya. Majuzi Mama Abduli katoa kauli za kuwapa moyo watekaji, na kuwakandamiza wahanga.
Usiwe naive, ulitegemea CCM ikupe matokeo chanya, hata Lissu alikuwa skeptical, alisema nusu mkate, ujinga. Kilichotokea ndio kingetarajiwa.

Sumaye, Lowassa ni Wabaya, wakiamia Chadema ni wazuri. Nini kinatafutwa ni maslahi ya taifa au kupata madaraka ndio tunatafuta. Hata Samia akiamia Chadema leo mtamsafisha.
 
Back
Top Bottom