Godbless Lema ndio anayeratibu watu wa kufukuzwa CHADEMA

Godbless Lema ndio anayeratibu watu wa kufukuzwa CHADEMA

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
 
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
ramli chonganishi
 
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
We unaonaje ni sawa au sio sawa?
 
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
Acha vistori vya jikoni hivyo. CHADEMA waetangaza kufanya reconcilliation ili kutibu majeraha, kusameheana na kuendelea kukijenga Chama chao, au ninyi hamjui maana ya reconcilliation?
Muwe mnajisikia aibu, halafu ninyi ndiyo waalimu mlioaminiwa huko kwenye shule za kata, no wonder performance zake ndiyo hizo mmetangaziwa.
 
Acha vistori vya jikoni hivyo. CHADEMA waetangaza kufanya reconcilliation ili kutibu majeraha, kusameheana na kuendelea kukijenga Chama chao, au ninyi hamjui maana ya reconcilliation?
Muwe mnajisikia aibu, halafu ninyi ndiyo waalimu mlioaminiwa huko kwenye shule za kata, no wonder performance zake ndiyo hizo mmetangaziwa.
Wewe jidanganye huna unacho kijua wewe subilia kama hutarudi ku editi coment yako.
 
Sasa kama watu wako kwenye payroll ya CCM kwa nini wasifukuzwe? Hao kina Salum Mwalim, Benson Kigaila na huyo John Mrema wake zao na wapenzi wao si ndo wale wabunge wa Covid 19?

Unakuwaje na Viongozi ambao wanafanya upuuzi wa namna hiyo alafu unaendelea kuwakumbatia?

Hao ndo vibaraka wa CCM ndani ya CHADEMA na kazi yao ni kuchukua siri za Chadema na kuzipeleka CCM.

Wafukuzwe tu!
 
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
Takataka
 
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
Yericko Nyerere kutimuliwa ni sawa tu.
 
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
YUPO SAHIHI ...NAFASI YA MPUUZI KAMA SUGU ACHUKUE YULE AFANDE SELE WA MOROGORO ...NDANI YA CHADEMA KUNA MAJASUSI YA ABDUL WANAO WEZA KUFANYA MAUAJI MUDA WOWOTE .....KAMA LISSU AKIWAFUKUZA WATU KAMA 100 HIVI NDIYO CHAMA KITAPATA HESHIMA NA MWANGAZA LA SIVYO KITAKUWA UPUMBAVU MTUPU .....DR SLAA ANATAKIWA KURUDISHWA HARAKA SANA.
 
Sidhani kama hili jambo ni la kweli, Lissu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.
 
Yericko Nyerere kutimuliwa ni sawa tu.
Huyu wala si wa kutimuliwa, ni kumuacha aendelee kuwa Mwanachama tu.
Tatizi hawa wanaojizushia kutimuliwa, hawafanyi hivyo bure, hawakuzoea kuishi ndani ya CHADEMA kama wanachama wengine.
Wanajizushia haya maneno na kuleta hizo uzushi ili wapate sababu ya kuondoka ili kuepuka kuwa Wanachadema wa Kawaida.
 
Back
Top Bottom