Godbless Lema ndio anayeratibu watu wa kufukuzwa CHADEMA

Godbless Lema ndio anayeratibu watu wa kufukuzwa CHADEMA

Sio Lema, hata ingekuwa mimi, watesi wako ndani ya Chama unawala vichwa moja kwa moja, sbb walitoa kashfa sana wakati wa kampeni, hivyo sio suala la Lema, binadamu yeyote angefanya hivyo.
Upande up ambao haukutoa kashfa kwa upande mwingine? Chadema imekata roho rasmi tarehe 23 mark my word.
 
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
Mi niko upande wa lema,Sugu afukuzwe mara moja na Hao wapuuzi wengne.
 
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
Kamdomo, kamdomo punguza,ipo kamati ya mardhiano hope inakuja, swala sio kuwafukuza bali wapewe onyo kali na wajue ipo mamlaka mpya ndani ya chama ,

Pili , lazima kuwepo na mikakati ya pembeni nje ya kamati kuu pia maana humo kamati kuu kuna vimbwengo, sina shida na mh FAM , ila vimbwengo wengine kama hao boni yai , ila najua kwa sasa viongozi wanajua ,hacha nami nifunge kamdomo
 
Msigwa anaweza kurudi nami nakubali ila sio kuwa kiongozi tena wa Nyasa , why
Shida inaanzia pale kwenda ccm hata kama alikosewa , vyama vipo vingi tz hii ,ila chama makini ukiacha chadema ni CHAUMA
 
Wale wote wenye wake zao COVID 19, WOOTE WAFUKUZWE.

Kama kuna mwanachama itabainika ni team maslahi na hana faida na chama, anakiharibu chama AFUKUZWE MARA MOJA, misingi isimamiwe.

CDM haipaswi kuwa kama CCM, tabia za hovyo zoote hazipaswi kuwepo ndani ya CDM ili wananchi waone sura ya chama mbadala.
 
Nimepenyezewa taarifa jana usiku na mdau wangu kwamba Lema ndio anaye shinikiza na pia hadi kuratibu ba kutoa orodha ya wanachama wa kufukuzwa ndani ya Chadema hasa wale ambao alikuwa haelewani nao moja kwa moja yeye mwenyewe.

Lema ametoa msimamo kwa mwenyekiti mpya kwamba kama wanataka wafanye kazi kw uhuru basi kuna idadi kubwa sana ya watu wa kufukuzwa uanachama ndani ya Chadema.

Concern yake ni kwamba hao wanachama watakuwa against wao kwa mambo mengi hivyo watimuliwe moja kwa moja.

Hii ya John Mrema kuanza kulalamika ni ya kweli na pia yumo Kigaila, Salum Mwalimu,Viongozi wa baadhi ya kanda hasa kanda ya Kaskazini, vile vile anapendekeza Msigwa arudishwe kwa namna yoyote ile na Sugu afukuzwe ndani ya Chama na Msigwa apewe uongozi wa Nyasa.

Kwenye orodha ya watu wa kufujuzwa yumo pia Bon Yai wa kanda ya Pwani, yumo Yeriko Nyerere yumo Wenje.

Kwa mfano process za kuanza kumfukuza Wenje zimeisha anza na mwezi wa 2 hautaisha jamaa atakuwa ameisha vuliwa uanachama.

Mipango yote anaifanya Godbless Lema Mjumbe wa kamati kuu.
Huu ni uwongo 100%
 
Sugu huyu huyu ambae amekuwa akisifiwa na kuimbwa humu kwamba kila siku anakutana ja mabalozi wa Ulaya na Marekanikani? Tuliambiwa atalichukua jimbo la Tulia sasa ndie afukuzwe? Haya ngoja tuone
 
Back
Top Bottom