Una matatizo ya uelewa finyu na kutoweza kujenga hoja.
Msingi wa swali langu ni bandiko lako la awali,wewe unaleta mambo mengine kuhalalisha kitu ambacho hakipo kwenye bandiko lako la kwanza.
kwenye Bandiko langu sikueleza Ulichokisema wewe!
Labda nikuulize wewe Ulikitoa wapi?
Nilichokieleza Ni Nukuu ya Lema Iliyojengwa kwenye Mambo mengi yaliyotokea Chamani
kwenye Bandiko langu sikueleza Ulichokisema wewe!
Labda nikuulize wewe Ulikitoa wapi?
Nilichokieleza Ni Nukuu ya Lema Iliyojengwa kwenye Mambo mengi yaliyotokea Chamani