Godbless Lema Taifa linaongozwa na sauti yako tuliyoikataa


Ukiwa upinzani huwezi kukosea. Ingia ngoma ucheze. Kuongea sio kutenda 60 Millionen people, wote karibu wajuaji. Lema mwepesi sana. Ila kwa kuwa una uhuru wa kuandika na Kuna kundi ambalo nao ni waimba sifa Ingawa hawatataka kutambulika Hivi, Basi andiko lako halitakosa Support. Kufarijiana. Ila siamini Kama wajinga kiasi hicho cha kuamini Lema Ni mtuuuu.

Najiuliza bado Hivi alikimbia Tz kuogopa Nini. Mana kama ingekuwa Serikali. Hakuna kwa kukimbilia. Niache ya ngoswe. Ila mama Lema hajai popote. Kujifariji kwa namna Hii Ni ku commit intellectual suicide.
 
Kuna siku Dr Mpango alisema wanaolalamika vyuma vimekaza ni wapiga dili
 
Ni kweli walikua na hoja mbadala bungeni, ila ndani ya chama walikua wapigaji pamoja na mwenyekiti. Haiwezekan milioni 300 kila mwezi ya ruzuku kwa muda wa miaka 5 washindwe kujenga hata ofisi. Uliwaambia ukweli huu wanatukana... Sujui demokrasia gani wanaitaka hawa wachaga

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Halafu huyu dada wa Kihaya nilikuwa namuona ana point .Sasa hivi anaandika utoporo mtupu.
 
Kweli, wanakumbatia katiba iliyopitwa na wakati nao wanajua kwamba inastahili kutupwa na kutengenezwa katiba mpya inayoendana na mazingira ya sasa.
 
Labda taifa la ukoo wako na huyo bosi wako.

Tuna mengi ya maana zaidi ya hilo la huyo janja ya RCHUGA.
Alimwambia mara nyingi sana ila Jiwe alishupaza shingo yake. Mwisho shingo ikavunjika. Nawe endelea tu na kejeli zako.
 
Lema Yupi.....? Huyu huyu aliyekwenda Kenya baada Ya kupita koote salama salimini...na alipofika Akasema Yeye ni REFUGEE..?
Kuwa refugee husemi, unapewa na wenye mamlaka hayo. Na ndiyo sababu alipata hifadhi Canada.
 
Sidhani mleta mada ukiwa Mwanamke kumsifia mume wa Mtu Godbless Lema hujamtendea haki mkewe hizo sifa ulizomumwagia mumewe angekuwa nchini mkewe angkuzaba vibao

Beatrice kasifie wako hata kama haenei

Chako ni chako hata kama ni chongo
Wewe ni mwanamume, ulivyokuwa unamsifia mwendazake ulikuwa unaomba ruhusa kwa mkewe?
 
Kuna uwezekano mkubwa Mama kuhujumiwa ndani ya chama chake na maadui zake hasa wale waliokuwa wanufaikaji wa Utawala wa Jiwe. Na hivi sasa hawana nafasi tena. Kundi lingine ni lile la Mgombea Urais wa 2025.

Kuna uwezekano mkubwa Mama na Serikali yake wakashindwa kuwalipa mishahara Watumishi.
 
Yani sasa hapa Arusha pakopako tu kama hakuna mbunge wala madiwani.
Nazani wananchi wameamua kuwapuuza
Huyu Gambo Hana lolote, Yuko Kimya huku wafanyakazi wa utalii na Mashamba ya Maua wakikosa mafao NSSF
 
Gambo pokea ujumbe...uko Kimya na NSSF inanyima watu mafao... Mashamba ya Maua na Utalii wanakosa mafao
 
Umemsahau hayati magu
 
Alimwambia mara nyingi sana ila Jiwe alishupaza shingo yake. Mwisho shingo ikavunjika. Nawe endelea tu na kejeli zako.
We mpuuziiiiii na wapuuzi wenzio.


Nyerere, mkapa, magufuri



Mwinyi, jakaya, samia.


Endapo DODOMA ITAKUWA DAIMA IKULU.

BASI MAMBO LAZIMA YABADILIKE.
 
Nawewe nakuona mpumbav tu kama alivo wapumbavu wenzako
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…πŸ€£πŸ˜†πŸ˜„πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜†

Muda ni mwalimu
 
Risiti ya manunuzi iko wapi?
 
Wewe ni bwege sana qwumma saaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…