Godbless Lema Taifa linaongozwa na sauti yako tuliyoikataa



kodi ilipigiwa kelele na Nape, msigwa, magufuli, n.k

una mahaba kwa Lema, tatizo kaoa na yuko canada
 
Godbless Lema ni level nyingine, ukikaa nae mezani ndio utagundua.
Tunammis sana bungeni!
 
Labda taifa la ukoo wako na huyo bosi wako.

Tuna mengi ya maana zaidi ya hilo la huyo janja ya RCHUGA.
Anachotaka mkoa hoja ni kwamba alichosema Lema ndio kinarudia kusemwa na Raisi baada ya kifo cha Raisi. Kwa hiyo sio sahihi kumfanya mtu anayesema ukweli adui hata kama anatoka chama pinzani.
 
Lema huyu anayedaiwa alikuaga mwizi wa magari tena sio mtaalam wa chochote ndio unatutisha eti taifa linamkosa? Hebu muachage mzaha wajameni.
Uhuru wa mitandao usikufanye uwaseme watu wezi wamagari wakati ukiambiwa thibitisha huwezi
 
Ni Kweli kabisa.
 
Lema alimpiga Samson Mwigamba jabali pale hoteli ya Snow Crest kwenye vikao vyao vya chama kisa aliuliza matumizi ya Ruzuku, na hata baada ya kufanya hivyo chama hakikumchukulia hatua yeyote.
 
Sidhani mleta mada ukiwa Mwanamke kumsifia mume wa Mtu Godbless Lema hujamtendea haki mkewe hizo sifa ulizomumwagia mumewe angekuwa nchini mkewe angkuzaba vibao

Beatrice kasifie wako hata kama haenei

Chako ni chako hata kama ni chongo
Kama hoja zenu ndo hizi, basi ndio maana mnaonekana wajinga sana. Kwahiyo mnavyomsifia Rais Samia ni mke wenu?
Ulivyokuwa unamsifia Magufuli mpaka unatukana ndugu zako kwani huyo alikuwa mume wako?
Sometimes ukaege kimya tu.
 
Yaani juha ni juha tuu. Yaani huna uwezo kabisa wa kuchangia mchango kulingana na mada zaidi ya hii ya copy & paste kila uzi!!!???
Una akili ya kuku,hufai kuwa JF.
 
Lema huyu anayedaiwa alikuaga mwizi wa magari tena sio mtaalam wa chochote ndio unatutisha eti taifa linamkosa? Hebu muachage mzaha wajameni.
Huu utumwa wa kuangalia Dr,Prof.... tuangalie na kuthamini mchango na karama ya yeyote kwa ustawi na maendeleo ya taifa letu.
Ukweli mchungu Lema angeweza kuwa rais bora zaidi ya JPM tukifikiri nje ya box.
 

Awamu ya JPM walikuwa wanasikilizwa kina BASHITE zero brain.
 
Hata waganga na wachawi wengi wanatabiri au kuzungumza ya mbele yakatimia katika jamii kama manabii wakati si nabii.
 
Labda taifa la ukoo wako na huyo bosi wako.

Tuna mengi ya maana zaidi ya hilo la huyo janja ya RCHUGA.
Hapo chini sukuma gang&Tagas wamekupa like kama zote.

Lema so ndo alioteshwaga ndoto ya jiwe litaondolewa uhai kama litashupaza shingo kuwa ngumu.
 
Huyu Gambo Hana lolote, Yuko Kimya huku wafanyakazi wa utalii na Mashamba ya Maua wakikosa mafao NSSF
Ubunge wenyewe Wa dhuluma,atapata wapi confidence ya kuongea,guilty conscience inamtesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…