Mumeo anaenea? Kilangila.Sidhani mleta mada ukiwa Mwanamke kumsifia mume wa Mtu Godbless Lema hujamtendea haki mkewe hizo sifa ulizomumwagia mumewe angekuwa nchini mkewe angkuzaba vibao
Beatrice kasifie wako hata kama haenei
Chako ni chako hata kama ni chongo
Msamehe bure tu, YEHODAYA bado yuko EDA. Kilangila.Wewe ni mwanamume, ulivyokuwa unamsifia mwendazake ulikuwa unaomba ruhusa kwa mkewe?
Poa 2 pia sorry post yako ya kijinga ilinikwaza sanaQwumma mama yako na mmeo
Huyo huyo aliyetaka kuuliwa na magu bahati nzuri magu akafa mwenyeweLema Yupi.....? Huyu huyu aliyekwenda Kenya baada Ya kupita koote salama salimini...na alipofika Akasema Yeye ni REFUGEE..?
mkuu magu kashakufa hamuamini tu.Mara baada ya waziri mkuu msitaafu Edward Lowasa kujiunga na kuinunua Chadema ili awe mgombea urais mwaka 2015 , kitu cha kwanza kabisa alipokabidhiwa tu chama alipiga marufuku siasa za kiharakati na kushauri siasa hizo hazina tija kwa sasa. Edward Lowasa alionya kuwa Chadema lazima igraduate kutoka chama cha kiharakati hadi kuwa chama cha siasa sasa.
Edward Lowasa alifafanua madhara ya chama kubaki cha kiharakati muda wote kuwa ni pamoja na kupinga maendeleo yote ya nchi ,kuombea mabaya nchi ,kushirikiana na mabeberu ili kuiibia nchi ,pamoja na kushangilia kila lililobaya kwa taifa ili kumfurahisha tu anayefadhili hizo harakati zako. Matokeo ya harakati hizi ni chama kuchukiwa na wazalendo na kupoteza ushawishi kwa wananchi.
Hakika Lowasa aliona mbali. Leo brand ya chadema imeharibiwa vibaya, chama kilichojizolea umarufu kwa kutetea wanyonge leo kinataka machinga na mama ntilie wafukuzwe mitaani!!! Leo ni furaha kubwa kwa Chadema ndege kukamatwa na wazungu!!!
Pia tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.
Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!
Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.
Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.
Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.
Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.
Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.
Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.
Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu,
Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia
Bado lile la NdugaiHuyu mtu unajiuliza anakosekanaje Bungeni? Anakosekanaje kwenye uongozi wa nchi hii? Kweli huyu niwakwenda kuishi ukimbizini? Kutuambia ukweli ndo kigezo chakutisha atoroke nchi? Na tunaamini kweli kwamba alikuwa adui wa Taifa Leo au alikuwa adui wa watu wasiowaadilifu?
Taifa letu tutazidi kukwama Hadi pale tutakapoanza kuwakumbatia wazalendo na watu wenye uelewa mpana Kama Lema. Leo kelele za Kodi alizompigia Makamu wa Rais Bungeni ndo tunazinduka kuzifanyia kazi, kwanini Mzee Mpango ukumsikiliza kipindi kile kabla Taifa alijapata hasara?.
Lema uishi maisha marefu uione Tanzania ya Ndoto yako. Kukosekana kwako Bungeni tunaona pengo, praising team haina hoja kinzani.
Kama ana hoja jibu hoja yake hii biashara ya mipasho ya singeli achana nayo ndugu.Sidhani mleta mada ukiwa Mwanamke kumsifia mume wa Mtu Godbless Lema hujamtendea haki mkewe hizo sifa ulizomumwagia mumewe angekuwa nchini mkewe angkuzaba vibao
Beatrice kasifie wako hata kama haenei
Chako ni chako hata kama ni chongo
Tunaisubiri kwa shauku kubwa sana.Bado lile la Ndugai
Yaezekana ukawa na hoja ili twende sawa ni vyema ungeweka ushahid angalau magari matatu aliyoiba, alimuibia nan na kama kuyauza aliyauza kwa nan. Ahsnt jibu tafadhaliLema huyu anayedaiwa alikuaga mwizi wa magari tena sio mtaalam wa chochote ndio unatutisha eti taifa linamkosa? Hebu muachage mzaha wajameni.
Mtu gani ccm unaweza kumfananisha na lema?ccm 10000=lema 1Lema Yupi.....? Huyu huyu aliyekwenda Kenya baada Ya kupita koote salama salimini...na alipofika Akasema Yeye ni REFUGEE..?
Kwanza kbs acha ukabila!! Pili.. ni vyema ungeleta na draft ya matumizi yao ya ruzuku ili tujiridhishe pesa yetu ya kodi ni wap wameipiga. Ni vyema pia uka attach mikoani kote shughuli zao za kiofisi kila cku hua wanazifanyia wap ili tujiridhishe kua hata ofis tu hawana, ahsnt majibu tafadhali. Kama hua wanafanyia kaz zao za kiofis bar tutajua tuNi kweli walikua na hoja mbadala bungeni, ila ndani ya chama walikua wapigaji pamoja na mwenyekiti. Haiwezekan milioni 300 kila mwezi ya ruzuku kwa muda wa miaka 5 washindwe kujenga hata ofisi. Uliwaambia ukweli huu wanatukana... Sujui demokrasia gani wanaitaka hawa wachaga
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Mkuu yeye ame mention mmoja ambae ni Lema, hivyo kumlazimisha afanye representation kwa wote humtendei haki. Kikubwa anzisha naww uzi u represents waliobaki.kodi ilipigiwa kelele na Nape, msigwa, magufuli, n.k
una mahaba kwa Lema, tatizo kaoa na yuko canada
Issue ni hapo kweny evidence 🤣🤣🤣! Mimi kuna mmoja humu nimeomba atoe ushahid angalau wa magari matatu aliyoiba ili tujiridhishe. Lkn hakuna majibuUhuru wa mitandao usikufanye uwaseme watu wezi wamagari wakati ukiambiwa thibitisha huwezi
"WASALITI WA NCHI" Ni mwananchi mshe**zi tu anaeweza kuwaita wananchi wenzake majina kama hayo na yanayo fanana na hayo,kisa tu mnatofautiana misimamo au mitizamo ama imani.Mara baada ya waziri mkuu msitaafu Edward Lowasa kujiunga na kuinunua Chadema ili awe mgombea urais mwaka 2015 , kitu cha kwanza kabisa alipokabidhiwa tu chama alipiga marufuku siasa za kiharakati na kushauri siasa hizo hazina tija kwa sasa. Edward Lowasa alionya kuwa Chadema lazima igraduate kutoka chama cha kiharakati hadi kuwa chama cha siasa sasa.
Edward Lowasa alifafanua madhara ya chama kubaki cha kiharakati muda wote kuwa ni pamoja na kupinga maendeleo yote ya nchi ,kuombea mabaya nchi ,kushirikiana na mabeberu ili kuiibia nchi ,pamoja na kushangilia kila lililobaya kwa taifa ili kumfurahisha tu anayefadhili hizo harakati zako. Matokeo ya harakati hizi ni chama kuchukiwa na wazalendo na kupoteza ushawishi kwa wananchi.
Hakika Lowasa aliona mbali. Leo brand ya chadema imeharibiwa vibaya, chama kilichojizolea umarufu kwa kutetea wanyonge leo kinataka machinga na mama ntilie wafukuzwe mitaani!!! Leo ni furaha kubwa kwa Chadema ndege kukamatwa na wazungu!!!
Pia tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.
Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!
Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.
Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.
Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.
Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.
Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.
Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.
Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu,
Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia
Mkuu hawana ofisi wanayomiliki, nyingi wamepewa msaada na kupanga. Ikiwa makao makuu ni kama 'kibanda umiza' itakuaje huko mikoani?Kwanza kbs acha ukabila!! Pili.. ni vyema ungeleta na draft ya matumizi yao ya ruzuku ili tujiridhishe pesa yetu ya kodi ni wap wameipiga. Ni vyema pia uka attach mikoani kote shughuli zao za kiofisi kila cku hua wanazifanyia wap ili tujiridhishe kua hata ofis tu hawana, ahsnt majibu tafadhali. Kama hua wanafanyia kaz zao za kiofis bar tutajua tu
mahabaMkuu yeye ame mention mmoja ambae ni Lema, hivyo kumlazimisha afanye representation kwa wote humtendei haki. Kikubwa anzisha naww uzi u represents waliobaki.