Godbless Lema Taifa linaongozwa na sauti yako tuliyoikataa

Sidhani mleta mada ukiwa Mwanamke kumsifia mume wa Mtu Godbless Lema hujamtendea haki mkewe hizo sifa ulizomumwagia mumewe angekuwa nchini mkewe angkuzaba vibao

Beatrice kasifie wako hata kama haenei

Chako ni chako hata kama ni chongo
Mumeo anaenea? Kilangila.
 
mkuu magu kashakufa hamuamini tu.
 
Bado lile la Ndugai
 
Hayo Hayo Hayo maswala ya kodi lema sio mtu wa kwanza kuyasema bungeni. Hapo uwazungumzie akina zitto kabwe, akina Mbowe, msigwa na Mnyika.

Lema huwa anarudia hoja zile zile za nyuma ila kwa sauti tu. Hajawahi kuja na hoja binafsi ambayo ina mashiko.

Wewe utakuwa umeanza kufuatilia bunge kipindi cha awamu ya magufuri. Ungekuwa unafuatilia tokea kipindi spika ni mzee Pius Msekwa ungeelewa hizi hoja za kodi zimetokea wapi.
 
Sidhani mleta mada ukiwa Mwanamke kumsifia mume wa Mtu Godbless Lema hujamtendea haki mkewe hizo sifa ulizomumwagia mumewe angekuwa nchini mkewe angkuzaba vibao

Beatrice kasifie wako hata kama haenei

Chako ni chako hata kama ni chongo
Kama ana hoja jibu hoja yake hii biashara ya mipasho ya singeli achana nayo ndugu.
 
Lema huyu anayedaiwa alikuaga mwizi wa magari tena sio mtaalam wa chochote ndio unatutisha eti taifa linamkosa? Hebu muachage mzaha wajameni.
Yaezekana ukawa na hoja ili twende sawa ni vyema ungeweka ushahid angalau magari matatu aliyoiba, alimuibia nan na kama kuyauza aliyauza kwa nan. Ahsnt jibu tafadhali
 
Kwanza kbs acha ukabila!! Pili.. ni vyema ungeleta na draft ya matumizi yao ya ruzuku ili tujiridhishe pesa yetu ya kodi ni wap wameipiga. Ni vyema pia uka attach mikoani kote shughuli zao za kiofisi kila cku hua wanazifanyia wap ili tujiridhishe kua hata ofis tu hawana, ahsnt majibu tafadhali. Kama hua wanafanyia kaz zao za kiofis bar tutajua tu
 
kodi ilipigiwa kelele na Nape, msigwa, magufuli, n.k

una mahaba kwa Lema, tatizo kaoa na yuko canada
Mkuu yeye ame mention mmoja ambae ni Lema, hivyo kumlazimisha afanye representation kwa wote humtendei haki. Kikubwa anzisha naww uzi u represents waliobaki.
 
Uhuru wa mitandao usikufanye uwaseme watu wezi wamagari wakati ukiambiwa thibitisha huwezi
Issue ni hapo kweny evidence 🤣🤣🤣! Mimi kuna mmoja humu nimeomba atoe ushahid angalau wa magari matatu aliyoiba ili tujiridhishe. Lkn hakuna majibu
 
"WASALITI WA NCHI" Ni mwananchi mshe**zi tu anaeweza kuwaita wananchi wenzake majina kama hayo na yanayo fanana na hayo,kisa tu mnatofautiana misimamo au mitizamo ama imani.
Kujiona nyinyi wazalendo huku nyuma tuhuma za ukabaji,dhuruma na ukatili zikiwaandama,Wasiojulikana,kubambikia watu kesi matendo ya watu kama bashite,sabaya's. MTU ANAYE SHIRIKI AU KUUNGA MKONO MAZINGIRA NA UCHAFU HUO HAWEZI KUWAITA WATANZANIA WENGINE WASALITI! NEVER NAKATAA HADI KABURINI.
Kaeni chini ondoeni vibanzi machoni mwenu,safisheni nyumba yenu ndio mrudi mtuite wachafu.
 
Mkuu hawana ofisi wanayomiliki, nyingi wamepewa msaada na kupanga. Ikiwa makao makuu ni kama 'kibanda umiza' itakuaje huko mikoani?

Kuhusu ripoti za matumizi ya ruzuku mie sina. Ila report ya CAG mwaka huu imeonesha matumizi yasiyo na ushahidi wa mamilioni ya shilingi. Hii nenda hata Google utaipata ushahidi wa ripoti ya CAG kwa vyama vya siasa. Ushahidi mwingine, rejea maneno ya lijua likali.

Kuhusu ukabila, nisamehe kama nimeelewa vibaya. Mie si makabila ila pale CDM walizidi kuwekana wachaga au wakaskazini.



Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Saa ingine mnchekesha SANA![emoji116]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…