Mwami Ntale
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 855
- 2,264
Kuna siku nili quote mchango wako humu nikaeleza hofu yangu.Actually nilikuwa nimekata tamaa.Hofu yangu kubwa ilikuwa kwenye yale yatakayotokea iwapo kusingekuwa na transparency kama iliyokuwepo.Walau sasa tunayo reference ya nini maana ya uchaguzi huru na haki.Asanteni CHADEMASikuamini kama tutavuka salama huu uchaguzi.. Niliteseka mno kila nikiona ile mitifuano ya makada
Mmemtukana sana naye amekuwa humble; kila uzushi Mbowe alizushiwa kuanzia kula ruzuku yote makao makuu bila kupeleka majimboni, rushwa, kuuza chama, kutopata hata mbunge na diwani hata mmoja 2020 wakati wote mnajua hakukuwa na uchaguzi mkuu bali uchafuzi.Godbless Lema, Mjumbe Kamati Kuu CHADEMA.
"Kwa sababu mara ya kwanza nilipoona misuguano imekuwa mikali sana nilikuwa natuma nilituma watu wajaribu kumwambia Mhe. Mwenyekiti (Freeman Mbowe) ajitoe. Nikihofia kwamba akianguka labda itashuka kidogo. Lakini alipoamua kuweka uchaguzi kwa kiwango kile hadharani nafikiri imeongeza legacy na heshima yake. Hili jambo limemuongezea heshima zaidi"
View attachment 3210711
Soma, Pia:
- Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kutafuta Mafekeche akiwaaga Wajumbe Ukumbini, "ninyi jengeni Siasa"
- Godbless Lema: Mbowe ameniambia zaidi ya mara 5 amechoka anataka kuachia Chama hiki
mbowe kaweka heshima? subiri uone chama kinavyopasuka
Huyu ni Nunda mla watu, wala Mbowe usimwamini. Kuna kitu wanataka kufany: KUKUSIFIA KWA MBWEMBWE NYINGI! TAKE CARE ili usahauGodbless Lema, Mjumbe Kamati Kuu CHADEMA.
"Kwa sababu mara ya kwanza nilipoona misuguano imekuwa mikali sana nilikuwa natuma nilituma watu wajaribu kumwambia Mhe. Mwenyekiti (Freeman Mbowe) ajitoe. Nikihofia kwamba akianguka labda itashuka kidogo. Lakini alipoamua kuweka uchaguzi kwa kiwango kile hadharani nafikiri imeongeza legacy na heshima yake. Hili jambo limemuongezea heshima zaidi"
View attachment 3210711
Soma, Pia:
- Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kutafuta Mafekeche akiwaaga Wajumbe Ukumbini, "ninyi jengeni Siasa"
- Godbless Lema: Mbowe ameniambia zaidi ya mara 5 amechoka anataka kuachia Chama hiki
Sio heshima kwa Mbowe tu suala hili limeongeza heshima ya CHADEMA maradufu.
Suala hili limewafumbua macho watanzania na sasa wanaelewa nini maana ya uchaguzi huru na wa haki.
Suala hili limekimbambanua CHADEMA kama chama cha kipekee sana na Bora zaidi nchini Tanzania. CHADEMA kimefanikiwa rasmi kuingia mioyoni mwa watanzania wote hadi vijana wadogo wanaotizama TV ambapo sasa ukiwauliza kuhusu uchaguzi huru na wa haki it's obvious watafanya reference kwa uchaguzi wa CHADEMA.
Kwa kifupi CHADEMA sasa inastahili kupewa nchi na serikali. Wameshafuzu!