LGE2024 Godbless Lema: Ukiona mke wako anavaa chupi ya mwanamke mwingine ambaye ametokea Marekani, hiyo nyumba ina umasikini

LGE2024 Godbless Lema: Ukiona mke wako anavaa chupi ya mwanamke mwingine ambaye ametokea Marekani, hiyo nyumba ina umasikini

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi Lema huwa anafanya screening ya speech zake kable hajaenda kuongea on stage?

Akizungumza kwenye kampeni za Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa siku ya leo, Lema ametumia maneno magumu mno.

Soma Pia: Godbless Lema: Hata mkiniambia tukaandamane Jumatatu ntawaongoza kuingia barabarani. Hatuwezi kuomba kibali kwa mlevi!

Bila shaka hapa alikuwa anazungumzia jinsi umasikini unavyoathiri Watanzania na hasa alikuwa anazungumzia uvaaji wa nguo za mitumba ambapo alinukuliwa akisema:

"Asilimia 90 ya watu walioko hapa tumevaa mitumba kuanzia mitumba hadi chupi. Ukivaa chupi ambayo imevaliwa na wenzako sio orijino ni umasikini. Yaani ukiona mke wako anavaa chupi ya mwanamke mwingine ambaye huyo mwanamke mwingine aliivaa Marekani alafu anakwambia Dadii hii ni orijino. Sio orijino ni umasikini."

 
Wakuu,

Hivi Lema huwa anafanya screening ya speech zake kable hajaenda kuongea on stage?

Akizungumza kwenye kampeni za Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa siku ya leo, Lema ametumia maneno magumu mno.

Soma Pia: Godbless Lema: Hata mkiniambia tukaandamane Jumatatu ntawaongoza kuingia barabarani. Hatuwezi kuomba kibali kwa mlevi!

Bila shaka hapa alikuwa anazungumzia jinsi umasikini unavyoathiri Watanzania na hasa alikuwa anazungumzia uvaaji wa nguo za mitumba ambapo alinukuliwa akisema:

"Asilimia 90 ya watu walioko hapa tumevaa mitumba kuanzia mitumba hadi chupi. Ukivaa chupi ambayo imevaliwa na wenzako sio orijino ni umasikini. Yaani ukiona mke wako anavaa chupi ya mwanamke mwingine ambaye huyo mwanamke mwingine aliivaa Marekani alafu anakwambia Dadii hii ni orijino. Sio orijino ni umasikini."
Ni ukweli mchungu, umasikini, kwani chupi mpya dukani hakuna, zipo bei ghali
 
Akizungumza kwenye kampeni za Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa siku ya leo, Lema ametumia maneno magumu mno.
Huenda anamsimanga aliyehamia kule malishoni kando ya mto
 
lema kichwa chake hakiko sawa
wewe ndo hauko sawa ,nyie ndo hua mnaenda kwa wanaume zenu ,nimenunua shati orijino karume lamtumba (huo ndo umasikini) unavaaje nguo aliyovua mwanadamu mwezako akaitupa ikaokotwa ikapigwa pafyumu na madawa isioze ikasafrisha afrika ukanunua wakati genuine zipo madukani na gharama kuanzia 100000 na 80000 ..huo ni umasikini wakipato na akili
 
Back
Top Bottom