technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hizo za Bukubuku ikifuliwa mara mbili tu imechanika,wakati ya Mtumba iliyovaliwa na wazungu kwa buku tatu unaivaa mwaka mzima,hivyo yupo sahihiChupi ya Mtumba Bei ghali kuliko mpya
Anajua chupi za Kariakoo mpaka buku au ajui huyu jambazi mstaafu
unavaa chupi moja mwaka?Hizo za Bukubuku ikifuliwa mara mbili tu imechanika,wakati ya Mtumba iliyovaliwa na wazungu kwa buku tatu unaivaa mwaka mzima,hivyo yupo sahihi
Na wewe unavaa chupi za mtumba?Chupi ya Mtumba Bei ghali kuliko mpya
Anajua chupi za Kariakoo mpaka buku au ajui huyu jambazi mstaafu