Huna tofauti na kiungo ulichitokea weweWazee acheni kulalamika ovyo,kila siku malalamiko,kila sehem malalamiko,sasa muitwe malalamiko fc,kama wanawazuia kuapishwa,sisi tufanyeje sasa,jitoeni waachieni.
Ni kweli huku Arusha wizi upo sana huoni ulivyoibiwa toka kwa mumeo wa mwanzo?Na huko Arusha mtachezeshwa balaa, mmekusa kazi mnavizia mate uongozi wa mitaa mkaibe
Uchaguzi wa mitaa mtapigwa kama ngoma!Ni kweli huku Arusha wizi upo sana huoni ulivyoibiwa toka kwa mumeo wa mwanzo?
CCM hakuna wenye matusi?Wana chama wa CDM wana matusi sana, hawafai kupewa uongozi
Ndo ujinga wa muafrika huoMie hadi leo sijui kwanini Ccm wana itisha uchaguzi kwa gharama zetu wakati ni viini macho
Hii nchi Haina Sheria? Serikali ya Ccm imeshindwa kusimamia utawala Bora na utawala wa Sheria! Haifai kuwapo madarkani! Unaonaje hiyo argument? Inahold water?Wana chama wa CDM wana matusi sana, hawafai kupewa uongozi
Nani anaratibu uharamia huo?Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, kupitia ukurasa wake wa X, ameeleza kuwa viongozi wa CHADEMA katika Jimbo la Arusha Mjini wamenyimwa viapo vya mawakala. Hali hii imeibua wasiwasi mkubwa, hasa ikizingatiwa kuwa kesho, Novemba 27, ni siku rasmi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lema amehoji uhalali wa hatua hiyo huku akitoa wito wa haki na uwazi katika mchakato wa uchaguzi.
Pia, Soma: Kigamboni: Mawakala wa CHADEMA walalamika kutokuapishwa hadi sasa wakati Mawakala wa CCM wakiendelea na mchakato huo
Msikubali kudhulumiwa haki yenu kizembe wachapeni hao wezi wamezoea kula bila kunawa.Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, kupitia ukurasa wake wa X, ameeleza kuwa viongozi wa CHADEMA katika Jimbo la Arusha Mjini wamenyimwa viapo vya mawakala. Hali hii imeibua wasiwasi mkubwa, hasa ikizingatiwa kuwa kesho, Novemba 27, ni siku rasmi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lema amehoji uhalali wa hatua hiyo huku akitoa wito wa haki na uwazi katika mchakato wa uchaguzi.
Pia, Soma: Kigamboni: Mawakala wa CHADEMA walalamika kutokuapishwa hadi sasa wakati Mawakala wa CCM wakiendelea na mchakato huo
Ndio maana Mdude anahenyeshwa sasa hiviHii nchi Haina Sheria? Serikali ya Ccm imeshindwa kusimamia utawala Bora na utawala wa Sheria! Haifai kuwapo madarkani! Unaonaje hiyo argument? Inahold water?
How comes tunajua kwamba matusi hayakubaliki katika jamii, lakini wale wenye mamlaka wanashindwa kusimamia Sheria na kuwashtaki wale wanaotukana na kubaki kulalamika tu kuwa wantukanwa, unadhani kwamba wanafaa kuwa viongozi? Au kuambiwa ukweli siku hizi Tafsiri yake ni matusi?
Wewe na yeye unatofauti gani imebaki kuandika ujinga kama mlivyo vihiyo wa ccm.Ndio maana Mdude anahenyeshwa sasa hivi
CCM ni shetani kabisaMwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, kupitia ukurasa wake wa X, ameeleza kuwa viongozi wa CHADEMA katika Jimbo la Arusha Mjini wamenyimwa viapo vya mawakala. Hali hii imeibua wasiwasi mkubwa, hasa ikizingatiwa kuwa kesho, Novemba 27, ni siku rasmi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lema amehoji uhalali wa hatua hiyo huku akitoa wito wa haki na uwazi katika mchakato wa uchaguzi.
Pia, Soma: Kigamboni: Mawakala wa CHADEMA walalamika kutokuapishwa hadi sasa wakati Mawakala wa CCM wakiendelea na mchakato huo
CCM ni wajinga snWewe na yeye unatofauti gani imebaki kuandika ujinga kama mlivyo vihiyo wa ccm.
Shetani kabisa huyoPUMBAVU.
Mdude anahenyeshwa, jana Nilimuona ana mtondoo anaenda kumwaga kimba za mahabusuWewe na yeye unatofauti gani imebaki kuandika ujinga kama mlivyo vihiyo wa ccm.
Kwani toka lini Shetani akageuka malaika? Si mjitoe tu mdili na katiba mpyaMwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, kupitia ukurasa wake wa X, ameeleza kuwa viongozi wa CHADEMA katika Jimbo la Arusha Mjini wamenyimwa viapo vya mawakala. Hali hii imeibua wasiwasi mkubwa, hasa ikizingatiwa kuwa kesho, Novemba 27, ni siku rasmi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lema amehoji uhalali wa hatua hiyo huku akitoa wito wa haki na uwazi katika mchakato wa uchaguzi.
Pia, Soma: Kigamboni: Mawakala wa CHADEMA walalamika kutokuapishwa hadi sasa wakati Mawakala wa CCM wakiendelea na mchakato huo
Wanawahadaa mabeberuMie hadi leo sijui kwanini Ccm wana itisha uchaguzi kwa gharama zetu wakati ni viini macho