Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
emu fafanua mkuu badala ya kulalamika kwa tukio kama hilo wafanye nini, najua wapo humu wnaweza kukusikiliza . sema usikikeWazee acheni kulalamika ovyo,kila siku malalamiko,kila sehem malalamiko,sasa muitwe malalamiko fc,kama wanawazuia kuapishwa,sisi tufanyeje sasa,jitoeni waachieni.