LGE2024 Godbless Lema: Viongozi wa CHADEMA Arusha wamenyimwa Viapo vya Mawakala siku moja kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wazee acheni kulalamika ovyo,kila siku malalamiko,kila sehem malalamiko,sasa muitwe malalamiko fc,kama wanawazuia kuapishwa,sisi tufanyeje sasa,jitoeni waachieni.
emu fafanua mkuu badala ya kulalamika kwa tukio kama hilo wafanye nini, najua wapo humu wnaweza kukusikiliza . sema usikike
 
Akome
 
Wanashiriki na wanajua what is gonna happen kisha baadaye wanalalamika !!
πŸ™„πŸ˜³πŸ€¦πŸ½β€β™‚οΈ
Which is which ??!
Wakulalamika hapa wa kwanza inatakiwe tuwe sisi wananchi, kodi zinatumika vibaya kwa chaguzi za maigizo. Heri tuwe kama china chama kimoja, sio vyama vingi vya geresha
 
Wakulalamika hapa wa kwanza inatakiwe tuwe sisi wananchi, kodi zinatumika vibaya kwa chaguzi za maigizo. Heri tuwe kama china chama kimoja, sio vyama vingi vya geresha
Naunga mkono hoja πŸ’―
 
Reactions: Lax
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…