GodDaddy: Kwani kipi nakosea

GodDaddy: Kwani kipi nakosea

Simeone

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
905
Reaction score
1,002
Wadau kipi nakosea hapa.... Mbona kila nikisearch domain inaleta hivyo
godd.png
 
Soma kwa makini!
Sijaelewa vizuri ndugu that's y nimeuliza.
Nilichoelewa ni kuwa ni website labda. Inahusika na mambo gani ?
Mtu mwingine atanielewesha kama wewe umeshindwa.
 
xx
Sijaelewa vizuri ndugu that's y nimeuliza.
Nilichoelewa ni kuwa ni website labda. Inahusika na mambo gani ?
Mtu mwingine atanielewesha kama wewe umeshindwa.
Ni Domain Registrar na pia wanafanya website hosting...

Yaani, assume unataka kufungua website ya demi.com au angalau kusajili domain name ya demi.com,...

...hapo unatakiwa kusajili domain name yako kwa domain registrar, na miongoni mwa hao ni Godaddy

Na kama utataka na kutengeneza website kabisa kwa hiyo domain, basi unaweza ku-host kwa hao hao GoDaddy.

NB: Una-register domain name hata kama huna mpango wa kutengeneza website kwa wakati huo ili kuhakikisha domain name husika (yaani demi.com or demi.net, n.k) haiwi registered na mtu mwingine!
 
Naona hapo ni: ie.godaddy.com

Hiyo "ie." inatoka wapi?!

Tumia backspace kuifuta hiyo "ie. and everything else baada ya .com kisha press ENTER

NB: Usisahau kuifuta hiyo dot baada "ie"
poa mkuu
 
xx

Ni Domain Registrar na pia wanafanya website hosting...

Yaani, assume unataka kufungua website ya demi.com au angalau kusajili domain name ya demi.com,...

...hapo unatakiwa kusajili domain name yako kwa domain registrar, na miongoni mwa hao ni Godaddy

Na kama utataka na kutengeneza website kabisa kwa hiyo domain, basi unaweza ku-host kwa hao hao GoDaddy.

NB: Una-register domain name hata kama huna mpango wa kutengeneza website kwa wakati huo ili kuhakikisha domain name husika (yaani demi.com or demi.net, n.k) haiwi registered na mtu mwingine!
Nimekupata vizuri sana.
Hapo kwenye NB. Ukiregister domain na huna mpango wa kutengeneza website kwa wakati huo na yenyewe unalipia fee kila mwaka?
 
Nimekupata vizuri sana.
Hapo kwenye NB. Ukiregister domain na huna mpango wa kutengeneza website kwa wakati huo na yenyewe unalipia fee kila mwaka?
Yah lakini sio pesa nyingi...

Kutegemeana na domain name yenyewe (zingine zinakuwa considered premium na hivyo hata renewal inakuwa ghali kidogo), in most cases ina-range kati ya $10 to $15/year!

Premium ni zile ambazo, mosi, kuzikuta zipo available ni amost impossible especially kwa English names, na ukibahatika kuikuta ipo available, basi unaweza kuiuza kwa pesa ndefu badala ya kutengeneza website!

Assume dunia ya kupenda ngono kama hii halafu ukute jina "sex.com" lipo available.

Anyway, hata majina mengine ambayo unaona moja kwa moja yanawasilisha kitu fupi, na ni rahisi kukumbuka, na zenyewe ni premium na bei yao inakuwa tofauti.
 
Yah lakini sio pesa nyingi...

Kutegemeana na domain name yenyewe (zingine zinakuwa considered premium na hivyo hata renewal inakuwa ghali kidogo), in most cases ina-range kati ya $10 to $15/year!

Premium ni zile ambazo, mosi, kuzikuta zipo available ni amost impossible especially kwa English names, na ukibahatika kuikuta ipo available, basi unaweza kuiuza kwa pesa ndefu badala ya kutengeneza website!

Assume dunia ya kupenda ngono kama hii halafu ukute jina "sex.com" lipo available.

Anyway, hata majina mengine ambayo unaona moja kwa moja yanawasilisha kitu fupi, na ni rahisi kukumbuka, na zenyewe ni premium na bei yao inakuwa tofauti.
Shukrani. 🙏
 
Back
Top Bottom