Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Tuwe wakweli sisi makolo kwa wakati kama huu mtu sahihi ni kaburu tuWanapokezana kucomment utopolo wao na wanajiona wajanja.Bahati nzuri hakuna hata mmoja mwenye uwezo hata wa kupiga kura.
Mchango upi huoAcha majungu wewe! Geofrey Nyange Kaburu ana mchango mkubwa sana kwenye klabu ya simba, kuliko wewe ambaye kazi yako kubwa humu jukwaani ni kulia lia tu na kutukana watu hovyo; kupitia ID zako fake.
Mkasimame nae nyie mliokatikiwa na mwiko wa 62 dhidi ya ihefuIwe isiwe lazima Sisi makolo tusimame na kaburu kwa maendeleo mapana ya kikundi chetu cha makolo ambao tunapenda sana ushirikina
C. Magori yu wapi?Tunaenda na Kaburu ndio chaguo letu Wana Simba[emoji123][emoji123][emoji123]
Na nitawadharau zaidi Wanachama wa Simba SC kama wakimpigia Kura ya Cheo chochote ndani ya Simba SC Godfrey Nyange Kaburu.
Wewe ni Adui Mkubwa wa Simba SC.
Kwani sisi makolo lini tumefungwa na ihefu?Mkasimame nae nyie mliokatikiwa na mwiko wa 62 dhidi ya ihefu
Sisi hatumtaki
Kwqnza toa huo mwiko huko nyuma nitakwambia mmefungwa na naniKwani sisi makolo lini tumefungwa na ihefu?
huyu kaburu hana jipya. ni sawa na malinzi na wambura hawana kitu kipya kwenye mpira ni wezi tu hawaKaburu hata asipochukua form tutamchulia na kumjazia 😄😄
Kunywa maji ya baridi upunguze utopolo wako kooniTuwe wakweli sisi makolo kwa wakati kama huu mtu sahihi ni kaburu tu
Kweli nakuambia kichuna,mtu sahihi kwetu makolo ni kaburu tuKunywa maji ya baridi upunguze utopolo wako kooni
Kama huwezi andika mabaya yake, basi ungemwambia yeye mwenyewe straightKama kuna Mtu hapa JamiiForums ana Urafiki na Godfrey Nyange Kaburu amuambie upesi kuwa MINOCYCLINE namuonya aachane na Mpango huo kwani nitamuanika na kuyaanika Mabaya yake aliyowafanyia wana Simba SC Kipindi chake.
Wewe ni Adui Mkubwa wa Simba SC.
Topic Closed.Kaburu mpiga dili sana halafu ana damu ya kiutopolo mvurugaji sana
Amepona sikio na kidole baada ya kushikwa ugoni na muuza chips dume kawe?Acha majungu wewe! Geofrey Nyange Kaburu ana mchango mkubwa sana kwenye klabu ya simba, kuliko wewe ambaye kazi yako kubwa humu jukwaani ni kulia lia tu na kutukana watu hovyo; kupitia ID zako fake.
Haaaaaaa haaaaaaaaaaa Ngada FC.Bahati nzuri Binafsi nakujua ndani nje tena mpaka Dhambi zako ZISIZOSAMEHEKA ulizowafanyia wana Simba SC mpaka ukakoswakoswa Kupigwa Risasi Uwanja wa Taifa na Marehemu Zakaria Hanspoppe baada ya Ismail Aden Rage Kuingilia kati na Kumsihi.
Wewe ni Adui Mkubwa wa Simba SC.