GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Utaratibu wa Wagombea uliwekwa wazi na hata Fomu ulizopewa zilijieleza kuwa kunatakiwa kuwe na Mhuri wa Kisheria na Saini yako Wewe kwa Kujifanya Alwatan ndani ya Simba SC ulivyojaza umeweka tu Mhuri bila Saini na Kuiwasalisha kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC ulitegemea nini?
Umeambiwa Simba SC hii ni ya Babaako na kwamba Unajiamulia tu cha Kufanya? Wewe ni nani ndani ya Simba SC ili usiheshimu na kufuata Utaratibu wa Kisheria na Kikanuni ambao Wenzako wote wameufuata?
GENTAMYCINE nawapongeza mno hao Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC kwa Kukuchinjilia mbali mapema ( asubuhi ) tu kwani kwa Mabaya uliyotufanyia wana Simba SC ulipokuwa Kiongozi pamoja na Swahiba wako Evans Aveva hutufai na usingetufaa hivyo hatukutaki ndani ya Klabu yetu sawa?
Umeambiwa Simba SC hii ni ya Babaako na kwamba Unajiamulia tu cha Kufanya? Wewe ni nani ndani ya Simba SC ili usiheshimu na kufuata Utaratibu wa Kisheria na Kikanuni ambao Wenzako wote wameufuata?
GENTAMYCINE nawapongeza mno hao Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC kwa Kukuchinjilia mbali mapema ( asubuhi ) tu kwani kwa Mabaya uliyotufanyia wana Simba SC ulipokuwa Kiongozi pamoja na Swahiba wako Evans Aveva hutufai na usingetufaa hivyo hatukutaki ndani ya Klabu yetu sawa?