Godfrey Nyange Kaburu kama Jambo hili tu jepesi na la Kikawaida limekushinda je, Uongozi wa Simba SC yetu utauweza?

Godfrey Nyange Kaburu kama Jambo hili tu jepesi na la Kikawaida limekushinda je, Uongozi wa Simba SC yetu utauweza?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Utaratibu wa Wagombea uliwekwa wazi na hata Fomu ulizopewa zilijieleza kuwa kunatakiwa kuwe na Mhuri wa Kisheria na Saini yako Wewe kwa Kujifanya Alwatan ndani ya Simba SC ulivyojaza umeweka tu Mhuri bila Saini na Kuiwasalisha kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC ulitegemea nini?

Umeambiwa Simba SC hii ni ya Babaako na kwamba Unajiamulia tu cha Kufanya? Wewe ni nani ndani ya Simba SC ili usiheshimu na kufuata Utaratibu wa Kisheria na Kikanuni ambao Wenzako wote wameufuata?

GENTAMYCINE nawapongeza mno hao Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC kwa Kukuchinjilia mbali mapema ( asubuhi ) tu kwani kwa Mabaya uliyotufanyia wana Simba SC ulipokuwa Kiongozi pamoja na Swahiba wako Evans Aveva hutufai na usingetufaa hivyo hatukutaki ndani ya Klabu yetu sawa?
 
Utaratibu wa Wagombea uliwekwa wazi na hata Fomu ulizopewa zilijieleza kuwa kunatakiwa kuwe na Mhuri wa Kisheria na Saini yako Wewe kwa Kujifanya Alwatan ndani ya Simba SC ulivyojaza umeweka tu Mhuri bila Saini na Kuiwasalisha kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC ulitegemea nini?

Umeambiwa Simba SC hii ni ya Babaako na kwamba Unajiamulia tu cha Kufanya? Wewe ni nani ndani ya Simba SC ili usiheshimu na kufuata Utaratibu wa Kisheria na Kikanuni ambao Wenzako wote wameufuata?

GENTAMYCINE nawapongeza mno hao Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC kwa Kukuchinjilia mbali mapema ( asubuhi ) tu kwani kwa Mabaya uliyotufanyia wana Simba SC ulipokuwa Kiongozi pamoja na Swahiba wako Evans Aveva hutufai na usingetufaa hivyo hatukutaki ndani ya Klabu yetu sawa?
Tunakata rufaa BMT.
 
Utaratibu wa Wagombea uliwekwa wazi na hata Fomu ulizopewa zilijieleza kuwa kunatakiwa kuwe na Mhuri wa Kisheria na Saini yako Wewe kwa Kujifanya Alwatan ndani ya Simba SC ulivyojaza umeweka tu Mhuri bila Saini na Kuiwasalisha kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC ulitegemea nini?

Umeambiwa Simba SC hii ni ya Babaako na kwamba Unajiamulia tu cha Kufanya? Wewe ni nani ndani ya Simba SC ili usiheshimu na kufuata Utaratibu wa Kisheria na Kikanuni ambao Wenzako wote wameufuata?

GENTAMYCINE nawapongeza mno hao Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC kwa Kukuchinjilia mbali mapema ( asubuhi ) tu kwani kwa Mabaya uliyotufanyia wana Simba SC ulipokuwa Kiongozi pamoja na Swahiba wako Evans Aveva hutufai na usingetufaa hivyo hatukutaki ndani ya Klabu yetu sawa?
Hapa kwa vijitu kama hivi ndiyo namkumbuka mkuu WA Malaika WA peponi.
 
ingekuwa jambo la aibu sana kaburu kuiongoza simba huyu aliwekwa ndani kwa kula pesa ya okwi kama sikosei anafuata nn tena kwenye mpira
kaburu,malinzi, wambura tafuteni shughuli za kufanya jamani siyo lazima mpira imetosha
lakini mbona aliitwa kwenye usaili? hana vigezo unashort list how?
 
Utaratibu wa Wagombea uliwekwa wazi na hata Fomu ulizopewa zilijieleza kuwa kunatakiwa kuwe na Mhuri wa Kisheria na Saini yako Wewe kwa Kujifanya Alwatan ndani ya Simba SC ulivyojaza umeweka tu Mhuri bila Saini na Kuiwasalisha kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC ulitegemea nini?

Umeambiwa Simba SC hii ni ya Babaako na kwamba Unajiamulia tu cha Kufanya? Wewe ni nani ndani ya Simba SC ili usiheshimu na kufuata Utaratibu wa Kisheria na Kikanuni ambao Wenzako wote wameufuata?

GENTAMYCINE nawapongeza mno hao Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa Simba SC kwa Kukuchinjilia mbali mapema ( asubuhi ) tu kwani kwa Mabaya uliyotufanyia wana Simba SC ulipokuwa Kiongozi pamoja na Swahiba wako Evans Aveva hutufai na usingetufaa hivyo hatukutaki ndani ya Klabu yetu sawa?
Kaburu ana nguvu ya kipekee ndani ya klabu ya simba! Maana siyo kwa zengwe hili analopigwa!
 
Pure talented, game changer!!
Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer GENTAMYCINE Mshindi Tukuka na Bora wa Shindano la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa mwaka huu wa 2022.

Na naahidi Nitashinda sana tu mpaka pale Wewe na Wenzako akina OKW BOBAN SUNZU na ukikaidi utapigwa2 mtakapoacha Kunichukia na Kunionea Kijicho / Wivu kwa Umaarufu wangu mkubwa na usio wa Kifani hapa JamiiForums.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Back
Top Bottom