Pre GE2025 Godlisten Malissa wa CHADEMA: Hatuwezi kuwa na chama cha watu wanaotukana na wadhalilishaji

Pre GE2025 Godlisten Malissa wa CHADEMA: Hatuwezi kuwa na chama cha watu wanaotukana na wadhalilishaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mwanaharakati wa haki za kijamii na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godlisten Malisa siku ya leo Jumapili Januari 12, 2025.amezungumza katika mkutano wa wanahabari uliofanyika mkoani Dar es Salaam

Malissa amezungumza mambo mengi kuhusu CHADEMA ikiwemo na uwepo wa wapambe ndani ya chama hicho akisema

"Tumekuwa na wapambe wa wagombea ambao wamekosa nidhamu kwa chama (CHADEMA) na wagombea ambao hawawaungi mkono, sasa kwa mujibu wa mwongozo wa taratibu za kuendesha uchaguzi ndani ya chama toleo la mwaka 2012 kifungu cha 2 (3) kinasema 'itakuwa ni marufuku kwa mgombea ama wapambe wake kusambaza taarifa zenye lengo la kukashifu mgombea au kiongozi wa chama'.

Ameongeza kwa kusema:

"Sasa pamoja na zuio hilo, tumeshuhudia uwepo wa maneno makali, ya kashfa, matusi ambayo yamekuwa yakitolewa kwa pande zote ambazo zinashiriki katika huu uchaguzi, na isivyo bahati ni kwamba yapo maneno ambayo mengine hayana staha yametumika kwa viongozi wetu na hapa sizungumzii upande mmoja"

"Tumeshuhudia baadhi ya watu wanajiita wanachama na ni wapambe wa wagombea wakitumia maneno kama fulani ni mropokaji, amehongwa, dalali, mbeba mikoba. Sasa hatuwezi kuwa na chama cha siasa watu wanatumia maneno na lugha zisizofaa katika kutafuta kura. Mimi binafsi siamini kuwa kudhalilisha upande mmoja kunakusaidia kupata kura za upande wa pili"


Malisa.png



Source: Jambo TV, Habari Mpya
 
Wakuu,

Mwanaharakati wa haki za kijamii na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godlisten Malisa siku ya leo Jumapili Januari 12, 2025.amezungumza katika mkutano wa wanahabari uliofanyika mkoani Dar es Salaam

Malissa amezungumza mambo mengi kuhusu CHADEMA ikiwemo na uwepo wa wapambe ndani ya chama hicho akisema

"Tumekuwa na wapambe wa wagombea ambao wamekosa nidhamu kwa chama (CHADEMA) na wagombea ambao hawawaungi mkono, sasa kwa mujibu wa mwongozo wa taratibu za kuendesha uchaguzi ndani ya chama toleo la mwaka 2012 kifungu cha 2 (3) kinasema 'itakuwa ni marufuku kwa mgombea ama wapambe wake kusambaza taarifa zenye lengo la kukashifu mgombea au kiongozi wa chama'.

Ameongeza kwa kusema:

"Sasa pamoja na zuio hilo, tumeshuhudia uwepo wa maneno makali, ya kashfa, matusi ambayo yamekuwa yakitolewa kwa pande zote ambazo zinashiriki katika huu uchaguzi, na isivyo bahati ni kwamba yapo maneno ambayo mengine hayana staha yametumika kwa viongozi wetu na hapa sizungumzii upande mmoja"

"Tumeshuhudia baadhi ya watu wanajiita wanachama na ni wapambe wa wagombea wakitumia maneno kama fulani ni mropokaji, amehongwa, dalali, mbeba mikoba. Sasa hatuwezi kuwa na chama cha siasa watu wanatumia maneno na lugha zisizofaa katika kutafuta kura. Mimi binafsi siamini kuwa kudhalilisha upande mmoja kunakusaidia kupata kura za upande wa pili"



Source: Jambo TV, Habari Mpya
Hiki chama kila mchaga anajiona ni kiongozi na anaweza ita press nakuaddress mambo ya chama.
 
Wakuu,

Mwanaharakati wa haki za kijamii na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godlisten Malisa siku ya leo Jumapili Januari 12, 2025.amezungumza katika mkutano wa wanahabari uliofanyika mkoani Dar es Salaam

Malissa amezungumza mambo mengi kuhusu CHADEMA ikiwemo na uwepo wa wapambe ndani ya chama hicho akisema

"Tumekuwa na wapambe wa wagombea ambao wamekosa nidhamu kwa chama (CHADEMA) na wagombea ambao hawawaungi mkono, sasa kwa mujibu wa mwongozo wa taratibu za kuendesha uchaguzi ndani ya chama toleo la mwaka 2012 kifungu cha 2 (3) kinasema 'itakuwa ni marufuku kwa mgombea ama wapambe wake kusambaza taarifa zenye lengo la kukashifu mgombea au kiongozi wa chama'.

Ameongeza kwa kusema:

"Sasa pamoja na zuio hilo, tumeshuhudia uwepo wa maneno makali, ya kashfa, matusi ambayo yamekuwa yakitolewa kwa pande zote ambazo zinashiriki katika huu uchaguzi, na isivyo bahati ni kwamba yapo maneno ambayo mengine hayana staha yametumika kwa viongozi wetu na hapa sizungumzii upande mmoja"

"Tumeshuhudia baadhi ya watu wanajiita wanachama na ni wapambe wa wagombea wakitumia maneno kama fulani ni mropokaji, amehongwa, dalali, mbeba mikoba. Sasa hatuwezi kuwa na chama cha siasa watu wanatumia maneno na lugha zisizofaa katika kutafuta kura. Mimi binafsi siamini kuwa kudhalilisha upande mmoja kunakusaidia kupata kura za upande wa pili"



Source: Jambo TV, Habari Mpya
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi aenguliwe mapema kabla ya uchaguzi na itapendeza zaidi :NoGodNo:
 
Wakuu,

Mwanaharakati wa haki za kijamii na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godlisten Malisa siku ya leo Jumapili Januari 12, 2025.amezungumza katika mkutano wa wanahabari uliofanyika mkoani Dar es Salaam

Malissa amezungumza mambo mengi kuhusu CHADEMA ikiwemo na uwepo wa wapambe ndani ya chama hicho akisema

"Tumekuwa na wapambe wa wagombea ambao wamekosa nidhamu kwa chama (CHADEMA) na wagombea ambao hawawaungi mkono, sasa kwa mujibu wa mwongozo wa taratibu za kuendesha uchaguzi ndani ya chama toleo la mwaka 2012 kifungu cha 2 (3) kinasema 'itakuwa ni marufuku kwa mgombea ama wapambe wake kusambaza taarifa zenye lengo la kukashifu mgombea au kiongozi wa chama'.

Ameongeza kwa kusema:

"Sasa pamoja na zuio hilo, tumeshuhudia uwepo wa maneno makali, ya kashfa, matusi ambayo yamekuwa yakitolewa kwa pande zote ambazo zinashiriki katika huu uchaguzi, na isivyo bahati ni kwamba yapo maneno ambayo mengine hayana staha yametumika kwa viongozi wetu na hapa sizungumzii upande mmoja"

"Tumeshuhudia baadhi ya watu wanajiita wanachama na ni wapambe wa wagombea wakitumia maneno kama fulani ni mropokaji, amehongwa, dalali, mbeba mikoba. Sasa hatuwezi kuwa na chama cha siasa watu wanatumia maneno na lugha zisizofaa katika kutafuta kura. Mimi binafsi siamini kuwa kudhalilisha upande mmoja kunakusaidia kupata kura za upande wa pili"



Source: Jambo TV, Habari Mpya
Inshu kubwa ni kwamba, Mbowe kachokwa na hakubaliki kwa sasa.
Walewale waliokuwa wakimuunga mkono siku za nyuma kwa sasa hawaridhishwi na mwenendo wake na haaminiki tena.
Nyie wapambe wake mlipaswa kumwambia ukweli kwa sababu macho yake yameshindwa kuona na kuzisoma alama za nyakati.
 
Wakuu,

Mwanaharakati wa haki za kijamii na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godlisten Malisa siku ya leo Jumapili Januari 12, 2025.amezungumza katika mkutano wa wanahabari uliofanyika mkoani Dar es Salaam

Malissa amezungumza mambo mengi kuhusu CHADEMA ikiwemo na uwepo wa wapambe ndani ya chama hicho akisema

"Tumekuwa na wapambe wa wagombea ambao wamekosa nidhamu kwa chama (CHADEMA) na wagombea ambao hawawaungi mkono, sasa kwa mujibu wa mwongozo wa taratibu za kuendesha uchaguzi ndani ya chama toleo la mwaka 2012 kifungu cha 2 (3) kinasema 'itakuwa ni marufuku kwa mgombea ama wapambe wake kusambaza taarifa zenye lengo la kukashifu mgombea au kiongozi wa chama'.

Ameongeza kwa kusema:

"Sasa pamoja na zuio hilo, tumeshuhudia uwepo wa maneno makali, ya kashfa, matusi ambayo yamekuwa yakitolewa kwa pande zote ambazo zinashiriki katika huu uchaguzi, na isivyo bahati ni kwamba yapo maneno ambayo mengine hayana staha yametumika kwa viongozi wetu na hapa sizungumzii upande mmoja"

"Tumeshuhudia baadhi ya watu wanajiita wanachama na ni wapambe wa wagombea wakitumia maneno kama fulani ni mropokaji, amehongwa, dalali, mbeba mikoba. Sasa hatuwezi kuwa na chama cha siasa watu wanatumia maneno na lugha zisizofaa katika kutafuta kura. Mimi binafsi siamini kuwa kudhalilisha upande mmoja kunakusaidia kupata kura za upande wa pili"



Source: Jambo TV, Habari Mpya
1736692137011.jpg
 
Back
Top Bottom