Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tannfoam na arusha!Nahitaji kununua godoro la 5×6×10 naomba kufahamu kampuni gani ina magodoro imara na bora?
Budget yangu ni 280,000.
Nina Tanfoam inanitesa mgongo sikujua sabadu ni nini kumbe kuna kusoma densitytanfoam na arusha!
kwa hela hiyo hakikisha lina density ya 28 chin ya hapo utaliwa hela! mengi yana density ya 23
waambie ya density ya 28
hapo ndio inakuja kitu inaitwa density! mfano ikiipata la density labda 14 hiv utajutaGodoro zuri ni lile ambalo aliumizi uti wa mgongo means alibonyei kati kati ukilalia.
Density ni uwiano wa uzito na ujazo, kwa hayo magodoro mawili yenye ukubwa unaolingana lenye density kubwa litakuwa zito zaidi au gumu zaidi kwa maana litakuwa limeshindiliwa zaidi ko pia halitabonyea kirahisi hivyo hutoumia mgongo ukilalia.Ahsante mkuu density ni nini?
Kubwa ndo gumu.Yenye namba ndogo ya density ndo bora au namba kubwa ndo bora?
Kweli elimu ni pana sana.Density ni uwiano wa uzito na ujazo, kwa hayo magodoro mawili yenye ukubwa unaolingana lenye density kubwa litakuwa zito zaidi au gumu zaidi kwa maana litakuwa limeshindiliwa zaidi ko pia halitabonyea kirahisi hivyo hutoumia mgongo ukilalia.
28 Unit ni ipi? Katiba zile units za densityTannfoam na arusha!
Kwa hela hiyo hakikisha lina density ya 28 chin ya hapo utaliwa hela! mengi yana density ya 23
waambie ya density ya 28