Jamani tuwe wa kweli, huyu kijana ana juhudi ya kazi na nasikia ni msomi wa hivi vyuo vyetu vya kata, lakini hana kipaji cha utangazaji jamani, anajaribu kuiga ma cow boy wa movie za kimarekani, kicheko chake ni very artficial he is a bad actor, hata kwenye lile tangazo la promotion alilovalishwa suti mpya, lakini bado kicheko kinachafua, halafu naomba Joyce japo husikilizagi la mtu, msimpange kwenye mahojiano hana technique mtu huyu, anaongea zaidi ya mgeni, hana uvumulivu hayuko organized maana anauliza kila kitu wakati mmoja na maswali yake sio maswali ni maelezo ya anachokijua yeye juu ya hilo swala, anaingilia mszungumzaji anauliza maswali mengi wakati mmoja na hajui kufuatilia kama lipi limejibiwa lipi halijajibiwa. Anawezakana ni mwanahabari mzuri lakini sio mtangazaji mzuri especially kwenye TV, kwa nini msimuache aka concentrate kwenye u MC wa BSS na taarifa ya habari? hata ninapoongea sasa yuko kwenye kipindi ch akumekucha anazoza yeye hata mzungumzaji hatujui kamuitia nini studio maana angeongea yeye tu
Itakubidi ucheke...!........ile style yake ya kukaza shingo uku akikonyezakonyeza screen?
Naona wengi wenu mnaendeshwa na hisia na kuhusu suala la sauti Godwin Gondwe amekuwa na sauti hiyo hiyo tokea alipokuwa anafanya kazi RFA then TIMES FM and now ITV/RADIO ONE sasa sijui kipi cha ajabu na watangazaji wazuri katika kizazi hiki Godwin Gondwe ni mmoja wapo apart from that pia ni lecturer pale Tumaini University upande wa tasnia ya habari..sio chuki binafsi ni kweli anaongea kwa wawengewenge sana hatulii
Nadhani Wewe huwezi kuwaza tofauti na ya ngono ! hata paspohusika?jiheshimu.Kweli kabisa analazimisha fani,yaani sauti hadi aitengeneze weee anatumia force na energy na ikitoka vilevile mvuto hakuna,nawapenda watu kama tido mhando yaani anaongea tu natural daaah yaani unamfeel sauti ya ukweli na tamu jamani vile tu ni mzee ningemmendea
Naona wengi wenu mnaendeshwa na hisia na kuhusu suala la sauti Godwin Gondwe amekuwa na sauti hiyo hiyo tokea alipokuwa anafanya kazi RFA then TIMES FM and now ITV/RADIO ONE sasa sijui kipi cha ajabu na watangazaji wazuri katika kizazi hiki Godwin Gondwe ni mmoja wapo apart from that pia ni lecturer pale Tumaini University upande wa tasnia ya habari..
usione mtu ameconcentrate kwenye tv ukafikiri anafuatilia kinachoongelewa, laiti tungekuwa na uwezo wa kusoma mawazo ya watu....Kweli kabisa analazimisha fani,yaani sauti hadi aitengeneze weee anatumia force na energy na ikitoka vilevile mvuto hakuna,nawapenda watu kama tido mhando yaani anaongea tu natural daaah yaani unamfeel sauti ya ukweli na tamu jamani vile tu ni mzee ningemmendea
acha wivu domo lako ilo utaishia kuchongaNadhani Wewe huwezi kuwaza tofauti na ya ngono ! hata paspohusika?jiheshimu.
ni kweli burudani lazima iwepo atii?usione mtu ameconcentrate kwenye tv ukafikiri anafuatilia kinachoongelewa, laiti tungekuwa na uwezo wa kusoma mawazo ya watu....
wawili bora tz umkute?Jamani tuweni wa kweli kati ya watangazaji wazuri wa kizazi hiki kama sikosei Gondwe na moja kati wa watangazaji wawili bora kabisa tuliona kwenye nchi .Naamini kabisa alieleta hii mada ya kipuuzi kapisa atakuwa ametumwa na radio amabayo watangazaji wake hawana uweledi kataka tasinia ya habari na haswa hizi radio zenye watangazaji amabao walifeli kidato cha nne ,
acha wivu domo lako ilo utaishia kuchonga
Nadhani Wewe huwezi kuwaza tofauti na ya ngono ! hata paspohusika?jiheshimu.
hujambo wewe?mmmh wewe hebu acha hizo...
wewe ni tido mhando?kweli kabisa huyu anawaza ngono, what a coincedence, na mimi nawaza ngono ngoja nim-pm faster