Godwin Gondwe wa ITV asilazimishe fani

Godwin Gondwe wa ITV asilazimishe fani

Jamani tuwe wa kweli, huyu kijana ana juhudi ya kazi na nasikia ni msomi wa hivi vyuo vyetu vya kata, lakini hana kipaji cha utangazaji jamani, anajaribu kuiga ma cow boy wa movie za kimarekani, kicheko chake ni very artficial he is a bad actor, hata kwenye lile tangazo la promotion alilovalishwa suti mpya, lakini bado kicheko kinachafua, halafu naomba Joyce japo husikilizagi la mtu, msimpange kwenye mahojiano hana technique mtu huyu, anaongea zaidi ya mgeni, hana uvumulivu hayuko organized maana anauliza kila kitu wakati mmoja na maswali yake sio maswali ni maelezo ya anachokijua yeye juu ya hilo swala, anaingilia mszungumzaji anauliza maswali mengi wakati mmoja na hajui kufuatilia kama lipi limejibiwa lipi halijajibiwa. Anawezakana ni mwanahabari mzuri lakini sio mtangazaji mzuri especially kwenye TV, kwa nini msimuache aka concentrate kwenye u MC wa BSS na taarifa ya habari? hata ninapoongea sasa yuko kwenye kipindi ch akumekucha anazoza yeye hata mzungumzaji hatujui kamuitia nini studio maana angeongea yeye tu

Jamani tuweni wa kweli kati ya watangazaji wazuri wa kizazi hiki kama sikosei Gondwe na moja kati wa watangazaji wawili bora kabisa tuliona kwenye nchi .Naamini kabisa alieleta hii mada ya kipuuzi kapisa atakuwa ametumwa na radio amabayo watangazaji wake hawana uweledi kataka tasinia ya habari na haswa hizi radio zenye watangazaji amabao walifeli kidato cha nne ,
 
sio chuki binafsi ni kweli anaongea kwa wawengewenge sana hatulii
Naona wengi wenu mnaendeshwa na hisia na kuhusu suala la sauti Godwin Gondwe amekuwa na sauti hiyo hiyo tokea alipokuwa anafanya kazi RFA then TIMES FM and now ITV/RADIO ONE sasa sijui kipi cha ajabu na watangazaji wazuri katika kizazi hiki Godwin Gondwe ni mmoja wapo apart from that pia ni lecturer pale Tumaini University upande wa tasnia ya habari..
 
Chuki Binafsi....Mleta hoja atakuwa anafanya kazi na GG na anakitamani hicho kipindi/nafasi...Kama kweli una nia ya dhati nina uhakika haya uliyoyasema yanarekebishika...ulifanya juhudi gani binafsi na kumuelekeza huyo GG ili najirekebishe kabla ya kutuletea umbea hapa JF?mwanaume mzima hovyoooo.umbea tu na wivu.
 
Yani huyo gamba anamuigiza maulid kitenge...

Ila honestly wanapaswa kuchange na ku specialize sio kubangaiza tu wajifunze kwa wenzao.... Mfano Richard quest means business na Dr farid Zakaria ni coverage ya kitaalamu na unaenjoy.....sasa Kama Mtu Ana masters then you cannot tell the difference on what he deliver....you don see creativity and changes unategemea nini....

Nadhani tujiulize ni kwanini Mtu mmoja anafanya coverage kwenye Sheria , biashara , uchumi na vinginevyo hili ndilo linalosababisha dharau....

Unajua ukiwa kwenye field uko sawa nadhani no one will concentrate on sauti,kicheko na vinginevyo...ni challenge kwa wote Kama Angekua anakua objective kwenye Topic hakuna ambae ange concentrate on his voice and kicheko chake... Sasa Hawa watangazaji wetu wanajikita kwenye facial , scrub na Mavazi lakini delivery Zero...

Wabadilike ndio Maana wengi wanawadharau na kuona kua they just fake
 
Kweli kabisa analazimisha fani,yaani sauti hadi aitengeneze weee anatumia force na energy na ikitoka vilevile mvuto hakuna,nawapenda watu kama tido mhando yaani anaongea tu natural daaah yaani unamfeel sauti ya ukweli na tamu jamani vile tu ni mzee ningemmendea
Nadhani Wewe huwezi kuwaza tofauti na ya ngono ! hata paspohusika?jiheshimu.
 
Mimi sipendi staili ya utangazaji na uulizaji maswali ya yule wa dakika 45. Sijui ni jinsi kipindi kilivyotengenezwa kipropagandapropaganda ama ndio kupwaya kwa mtangazaji mwenyewe.
 
Naona wengi wenu mnaendeshwa na hisia na kuhusu suala la sauti Godwin Gondwe amekuwa na sauti hiyo hiyo tokea alipokuwa anafanya kazi RFA then TIMES FM and now ITV/RADIO ONE sasa sijui kipi cha ajabu na watangazaji wazuri katika kizazi hiki Godwin Gondwe ni mmoja wapo apart from that pia ni lecturer pale Tumaini University upande wa tasnia ya habari..

Mimi ndo maana huwa nampenda George Maratu wa AIIIIIIIIIIIII TI VIIIIIIIIIIIII,

Kiukweli, GG halazimishi sauti labda kama umeanza kumskiliza mwaka huu, tangu rfa hadi leo yupo makini, halafu, swali zuri ni lile lenye maelezo, usiulize maswali mafupi mafupi, utapata majibu rahisi
 
Sauti ya Efraim Kibonde ni natural !!!! Ha ha haaa!
 
Kweli kabisa analazimisha fani,yaani sauti hadi aitengeneze weee anatumia force na energy na ikitoka vilevile mvuto hakuna,nawapenda watu kama tido mhando yaani anaongea tu natural daaah yaani unamfeel sauti ya ukweli na tamu jamani vile tu ni mzee ningemmendea
usione mtu ameconcentrate kwenye tv ukafikiri anafuatilia kinachoongelewa, laiti tungekuwa na uwezo wa kusoma mawazo ya watu....
 
Acha majungu kijana mbona ametulia, au umetumwa? Tabia ya kuongelea watu badala ya "issues" ni tabia isiyofaa hata kidogo. Usiruhusu chuki zako binafsi ili kuufurahisha moyo wako!
 
Jamani tuweni wa kweli kati ya watangazaji wazuri wa kizazi hiki kama sikosei Gondwe na moja kati wa watangazaji wawili bora kabisa tuliona kwenye nchi .Naamini kabisa alieleta hii mada ya kipuuzi kapisa atakuwa ametumwa na radio amabayo watangazaji wake hawana uweledi kataka tasinia ya habari na haswa hizi radio zenye watangazaji amabao walifeli kidato cha nne ,
wawili bora tz umkute?
kwanza yule mtangazaji au mc?
 
Nadhani Wewe huwezi kuwaza tofauti na ya ngono ! hata paspohusika?jiheshimu.

kweli kabisa huyu anawaza ngono, what a coincedence, na mimi nawaza ngono ngoja nim-pm faster. mkuu ina maana mtu anayewaza ngono hajiheshimu. mkuu mbona ni tendo la kawaida sana. mkuu au tuseme na wewe uliyemtafsiri kwa angle ya ngono hujiheshimu pia???
 
Back
Top Bottom