leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,340
- 1,748
Wahaya MNA tuonea mbona diva MTU wa Tangammmhhh yani diva sijui mhaya wa kaishozii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahaya MNA tuonea mbona diva MTU wa Tangammmhhh yani diva sijui mhaya wa kaishozii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Wahaya MNA tuonea mbona diva MTU wa Tanga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Wahaya MNA tuonea mbona diva MTU wa Tanga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]teh teh teh Your under arrest.......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] nafuta kauli...Tutake radhi wa Kaishozi teh teh..
Umemisika Gen.
Shukran mkuu, ya Diva na Zilla nayo yakaibukia wapi tena, samahani lknJamaa aliulizwa kwann gk ametumia nguvu nyingi lakn kashindwa kurudi kwenye game
Akajibu in (mwana fa voice)kuna kufanya mzki mkubwA na mzk mzuri labda nyimbo za gk zilikua nzuri ila hazikua kubwa ndo mana kashindwa kurud kwA game
utake radhi wa Kaishozi teh teh.
Labda bikra ya kuunga na super glueNasikia ni bikra.
Teh teh..Hakuna wa kuwataka radhi nyie wote ni WAHAYA!!!
Ye anadai ni mtoto wa kitangammmhhh yani diva sijui mhaya wa kaishozii
Baba ake ni Malinzi. Akina malinzi ni wahaya tena wa Bwanjai. Jamal Malinzi wa TFF ni babake mdogo.Wahaya MNA tuonea mbona diva MTU wa Tanga
Hayawahusu. Endeleeni kuchoma mkaa!Jamani wengine tupo huku Tandahimba hatujui kinachoendelea huko ubashiteni
Faiza anadeal na kiswahili tu
Dah hiyo cjaipata mkuu coz co mfatiliaji wa hizi mamboShukran mkuu, ya Diva na Zilla nayo yakaibukia wapi tena, samahani lkn
Yaan natamani hili dongo ndo angereply Zilla......nadhani uyo kinyago sijui Diva sijui angekuwa kashajinyonga sasa hivi.When two 'men' fight.....
KADA