Golden berry/Cape gooseberry/Inca berry under utilized fruits

Golden berry/Cape gooseberry/Inca berry under utilized fruits

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Tajwa hapo juu ni Aina ya tunda ila lina majina mengi mno. Kwa kiswahili sijui.

Haya matunda yapo ya Wildau ya Msituni au ya Kienyejina piayapo Chotara.

Nchi ya Kolombia ndo mzalishaji mkuu wa haya matunda na akiuza sana Ulaya na USA.

Nchi kama China, India, South Africa ni wazalishaji wakubwa pia na pia nchi kama Australia.

Haya ni moja ya matunda yenye radha ya kuipekee kabisa kwa walio wahi kula yale ya Polini.

Haya matunda yana kazi nyingi sana kama vile Kutengenez Jam, Ice cream, Juice, Decoration ya keki na pia hupikwa.

JAM yake ni moja kati ya the most expensive Jam na haya matunda kwa nchi za Scandnavia ni matunda Ghali mno tena mno. Kama una mtu nchi kama Norway muulize bei ya haya matunda.

Kuna utofauti wa Hybrid na yale ya Polini au mwituni. Utofauti upo kwenye Rangi na pia uzaaji na radha pia.
FB_IMG_1541189153525.jpg
FB_IMG_1541170716249.jpg
FB_IMG_1541170839384.jpg
 
Sijui kwenye masoko ya Mbeya bado yanauzwa?
 
Mbona tumecheza nazo sana hizi... Kwahiyo ni zao nalo linauzwa...
 
Unajua kuna mazao mengi ambayo ni fursa ila bado hatujayaweka kifursa hapa Tanzania.. mfano nilikuwa najaribu kupitia kilimo cha vanilla ambacho ni fursa kubwa ukilima...
Nisha eleza hapo Juu kuna Variety 2. Wild na Highbrid.

So wild ndo hiyo watu wamekula sana na hata mimi pia.

Ila ya Biashara ni Hybrid
 
Unajua kuna mazao mengi ambayo ni fursa ila bado hatujayaweka kifursa hapa Tanzania.. mfano nilikuwa najaribu kupitia kilimo cha vanilla ambacho ni fursa kubwa ukilima...
Yes. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Back
Top Bottom