Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Japo Mimi ni mchambuzi na mwanasimba kindaki ndaki....ila hil jambo la penalty na Red card linaniuma sana
Nini kifanyike
1. Simba watafute ukbi mkubwa ...pia ifungwe TV kubwa sana ......the wacheki marudio ya mechi za yanga...Ili wajifunze kushinda bila penalty
2. Au wakitafuta ukumbi mkubwa basi wamtafute kocha wa Yanga iliawafundishe ...mbinu za kushinda bila penalty....Wala opponent kupewa penalty
3. Wachezaji wa kolo waangalie training za Yanga Ili wawe physically fit hata wakiguswa kidg ....wawe strong .....kuavoid mambo ya penalty Kwa opponent
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nini kifanyike
1. Simba watafute ukbi mkubwa ...pia ifungwe TV kubwa sana ......the wacheki marudio ya mechi za yanga...Ili wajifunze kushinda bila penalty
2. Au wakitafuta ukumbi mkubwa basi wamtafute kocha wa Yanga iliawafundishe ...mbinu za kushinda bila penalty....Wala opponent kupewa penalty
3. Wachezaji wa kolo waangalie training za Yanga Ili wawe physically fit hata wakiguswa kidg ....wawe strong .....kuavoid mambo ya penalty Kwa opponent
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app