Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Nimeshika kitu hapo. Mechi haina penalty wala goli la offside au makandokando ya refa. Mtu anasimikwa mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😃😃😃😃Sawa nyie shindeni bila penalty sisi tunashinda kwa penalty.
Hata wenyewe wanafahamu fika kuhusu jambo hili. Binafsi kwenye mechi yao dhidi ya Namungo, nilishindwa kabisa kuangalia yale mauza uza ya yule mwamuzi wao wa mchongo, kwa dakika zote 90 za mchezo.Mechi za simba hadi zinaboa kuangalia, mbeleko hadi aibu
Lkn mach 8 mtapigwa tuSawa nyie shindeni bila penalty sisi tunashinda kwa penalty.
Huon marefa wanafungiwa[emoji23]Penati hizo huwa simba wanajichukulia mpira na kupiga au refa ndio anaamuru, na je refa huwa anaamuru bila sababu ama wapinzani wanacheza mpira wa "mugambo wanaruka na kukanyagana"?
Yaaah mkuu ....no figisuNimeshika kitu hapo. Mechi haina penalty wala goli la offside au makandokando ya refa. Mtu anasimikwa mkono
Sawa nyie mtafunga ya kawaida Sisi tutafunga ya penalty.
Vpi Simba alivokandwa 5G na Yanga.....naye alikuwa GSMHiyo ni GSM VS GSM
Sahau iloSawa nyie mtafunga ya kawaida Sisi tutafunga ya penalty.
Ila wapo wapii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shirikisho ni kombe la wamama mkuu.........
That's y Yanga hawapo huko
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Janja hampendi Yanga azifunge timu nyingine tano?Baada ya kuifunga mashujaa bao 5 sasa mnaenda kucheza nusu fainali ya kombe la klabu bingwa afrika hongrn sanView attachment 3247621
Mkuu...Sasa nyie ndo mnahonga marefa....refer ...kadi iliyofutwa
Upatikanaji wake ndo haramuSijawahi kusikia kuwa penati sio halali.
Inavyoonekana hapa Bongo kupata penati ni haramu.
Yanga ni retired expert from CAF champions league ( kombe la wanaume)Ila wapo wapii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakiambiwa wananchi ni mkubwa kuliko kolo wanaleta siasa.Japo Mimi ni mchambuzi na mwanasimba kindaki ndaki....ila hil jambo la penalty na Red card linaniuma sana
Nini kifanyike
1. Simba watafute ukbi mkubwa ...pia ifungwe TV kubwa sana ......the wacheki marudio ya mechi za yanga...Ili wajifunze kushinda bila penalty
2. Au wakitafuta ukumbi mkubwa basi wamtafute kocha wa Yanga iliawafundishe ...mbinu za kushinda bila penalty....Wala opponent kupewa penalty
3. Wachezaji wa kolo waangalie training za Yanga Ili wawe physically fit hata wakiguswa kidg ....wawe strong .....kuavoid mambo ya penalty Kwa opponent
View attachment 3247598
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
aje kayoko aje nani safari hii ni kipigo tu. nyie fungeni magoli ya mikono sisi penalti, na penalti huwa hazitolewi na kila refa isipokuwa marefa wanaojiamini wenye beji ya FIFAJapo Mimi ni mchambuzi na mwanasimba kindaki ndaki....ila hil jambo la penalty na Red card linaniuma sana
Nini kifanyike
1. Simba watafute ukbi mkubwa ...pia ifungwe TV kubwa sana ......the wacheki marudio ya mechi za yanga...Ili wajifunze kushinda bila penalty
2. Au wakitafuta ukumbi mkubwa basi wamtafute kocha wa Yanga iliawafundishe ...mbinu za kushinda bila penalty....Wala opponent kupewa penalty
3. Wachezaji wa kolo waangalie training za Yanga Ili wawe physically fit hata wakiguswa kidg ....wawe strong .....kuavoid mambo ya penalty Kwa opponent
View attachment 3247598
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app