Goli 5 bila penalty Wala offside, Simba tunalakujifunza hapa

Goli 5 bila penalty Wala offside, Simba tunalakujifunza hapa

Nimeshika kitu hapo. Mechi haina penalty wala goli la offside au makandokando ya refa. Mtu anasimikwa mkono
 
Mechi za simba hadi zinaboa kuangalia, mbeleko hadi aibu
Hata wenyewe wanafahamu fika kuhusu jambo hili. Binafsi kwenye mechi yao dhidi ya Namungo, nilishindwa kabisa kuangalia yale mauza uza ya yule mwamuzi wao wa mchongo, kwa dakika zote 90 za mchezo.
 
Japo Mimi ni mchambuzi na mwanasimba kindaki ndaki....ila hil jambo la penalty na Red card linaniuma sana


Nini kifanyike
1. Simba watafute ukbi mkubwa ...pia ifungwe TV kubwa sana ......the wacheki marudio ya mechi za yanga...Ili wajifunze kushinda bila penalty

2. Au wakitafuta ukumbi mkubwa basi wamtafute kocha wa Yanga iliawafundishe ...mbinu za kushinda bila penalty....Wala opponent kupewa penalty
3. Wachezaji wa kolo waangalie training za Yanga Ili wawe physically fit hata wakiguswa kidg ....wawe strong .....kuavoid mambo ya penalty Kwa opponent
View attachment 3247598

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wakiambiwa wananchi ni mkubwa kuliko kolo wanaleta siasa.
 
Japo Mimi ni mchambuzi na mwanasimba kindaki ndaki....ila hil jambo la penalty na Red card linaniuma sana


Nini kifanyike
1. Simba watafute ukbi mkubwa ...pia ifungwe TV kubwa sana ......the wacheki marudio ya mechi za yanga...Ili wajifunze kushinda bila penalty

2. Au wakitafuta ukumbi mkubwa basi wamtafute kocha wa Yanga iliawafundishe ...mbinu za kushinda bila penalty....Wala opponent kupewa penalty
3. Wachezaji wa kolo waangalie training za Yanga Ili wawe physically fit hata wakiguswa kidg ....wawe strong .....kuavoid mambo ya penalty Kwa opponent
View attachment 3247598

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
aje kayoko aje nani safari hii ni kipigo tu. nyie fungeni magoli ya mikono sisi penalti, na penalti huwa hazitolewi na kila refa isipokuwa marefa wanaojiamini wenye beji ya FIFA
 
Back
Top Bottom