ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Unalia lia kwenye nini?Mie ni Yanga lia lia, nafurahishwa sana jinsi tunavyopiga boli la viwango vya Bundesliga.
Ukitoa Ihefu, hatuna timu ya kutushinda hapa bongo NBCPL sisi ndio wababe.
Ila sasa....... [emoji23]
Huko CAFCL hatujawahi kutoboa kabisa, hatujawahi fika hata robo fainali.
Nashangaaga wale wekundu wa msimbazi tuliowapiga bao 5 wapo vizuri sana kule CAFCL kuliko sisi, wananchi huwa tunakosea wapi jamani hadi tubaki wasindikizaji tu kule CAFCL?
Itabidi tujifunze kwa Simba japo ni mnyonge wetu huku NBCPL ila kule CAFCL wapo vizuri mno.
Daima mbele nyuma mwiko.
Yanga.Unalia lia kwenye nini?
Tangu November 5 hadi leo una lia lia?Yanga.
Utakufa kabla ya siku zako kama utaendelea kuyachukulia mambo mepesi kwa uzito usio wa kawaida.Mnajisifia mnashinda goli 5, mtuonyeshe ni mechi zipi mmefunga 5 bila penati?
Tuliwapiga 6-0, 5-0 -4-1 , zote safi bila tuta za mchongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
We kolo vp tena! Bila goli za penati Ntibazonkiza angechukua tuzo ya mfungaji bora last season?Mnajisifia mnashinda goli 5, mtuonyeshe ni mechi zipi mmefunga 5 bila penati?
Tuliwapiga 6-0, 5-0 -4-1 , zote safi bila tuta za mchongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
NdiyoTangu November 5 hadi leo una lia lia?
Kama 5 chache zigeuze ziwe chapati uone shughuli yake.
Minara ya 5G 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama inauma chomoaYanga tulimpiga 6 na 5 zote ,na bila penati nashangaa mmekuwa malimbukeni wa goli 5-1
Sent using Jamii Forums mobile app
ThubutuWeka video tuone
Mechi ya Mashujaa na Simba, timu yako haikushinda sababu ni goli la penati. Basi andika bodi ya ligi wafanye ile mechi iwe sare.Mnajisifia mnashinda goli 5, mtuonyeshe ni mechi zipi mmefunga 5 bila penati?
Tuliwapiga 6-0, 5-0 -4-1 , zote safi bila tuta za mchongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba magoli ya penalties siyo magoli?Mnajisifia mnashinda goli 5, mtuonyeshe ni mechi zipi mmefunga 5 bila penati?
Tuliwapiga 6-0, 5-0 -4-1 , zote safi bila tuta za mchongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kweli?. Mwaka gani?. Kuna uwezekano hata wewe unahadithiwa tu. Kwa mateso unayopitia hata miaka 18 hujazidiYanga tulimpiga 6 na 5 zote ,na bila penati nashangaa mmekuwa malimbukeni wa goli 5-1
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo goli 6,5,4 tulizokupiga wewe hakuna tutaMbumbumbu ni wasahaulifu sana kipindi mna mpambania Saido awe top scorer kauli mbiu ilikua "goli ni goli" mkasau penalty zake leo mmegeuka
Nilikupiga 5 safi isiyo na penati unasemaje?Minara ya 5G [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
◉ Yanga 5 - 0 KMC
◉ Yanga 5 - 0 JKT Tanzania
◉ Yanga 5 - 1 ASAS [emoji1089]
◉ Yanga 5 - 1 Simba SC
◉ Yanga 5 - 0 Jamhuri
◉ Yanga 5 - 1 Hausing Fc
◉ Yanga 5 - 0 Polisi Tanzania
Potelea pote tulikunywesha 6 , halafu 5 , historia ni historia hata baada ya miaka 20 utaendelea kuhadithia unayojigamba leoSema kweli?. Mwaka gani?. Kuna uwezekano hata wewe unahadithiwa tu. Kwa mateso unayopitia hata miaka 18 hujazidi
Acha kukaza ta..ko nimeuliza sisi tumewafunga yanga goli 6, 5, 4 bila kuwepo goli la penati,nye mmetufunga na goli 5 ila na penati juuKipindi mna mpambania Saido awe mfungaji bora tuliwaambia goli zake nyingi ni penati nyie dunduka mkawa mnajibu nin humu kwamba kwan sio magoli.
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu hata ulipeleke shule ya ada ya million thelathini kwa mwaka haliwezi kua tofauti.
RAGE SHUJAA.
Punga hapa ndio umefika mim natumia sana matope yani Kwa kifupi mim ni kambale hapo ndio kwangu kwenye matope..Acha kukaza ta..ko nimeuliza sisi tumewafunga yanga goli 6, 5, 4 bila kuwepo goli la penati,nye mmetufunga na goli 5 ila na penati juu
Sent using Jamii Forums mobile app