Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaiangalie ile mechi ya bao 5 uje uongee hivyo tenaYanga tulimpiga 6 na 5 zote ,na bila penati nashangaa mmekuwa malimbukeni wa goli 5-1
Sent using Jamii Forums mobile app
Potelea pote tulikunywesha 6 , halafu 5 , historia ni historia hata baada ya miaka 20 utaendelea kuhadithia unayojigamba leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka gani huo?
Suti ya 5G
Ukimaliza kuuliza hili, uliza pia kiatu cha SAIDO dhidi ya Mayele, Saido alikuwa na penati ngapi..!!!Mnajisifia mnashinda goli 5, mtuonyeshe ni mechi zipi mmefunga 5 bila penati?
Tuliwapiga 6-0, 5-0 -4-1 , zote safi bila tuta za mchongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Punga Aliyekuzaa sokoni ukanifunikwa na matembelePunga hapa ndio umefika mim natumia sana matope yani Kwa kifupi mim ni kambale hapo ndio kwangu kwenye matope..
Utapigwa kitu kiasi kwamba ukiwa unacheka tu vitu vinatoka utafikiri umekula mayai ya samaki aina ya sangara.
5-0 palikua na penati mbili,nsajigwa anakwatua watu kusudiMnajisifia mnashinda goli 5, mtuonyeshe ni mechi zipi mmefunga 5 bila penati?
Tuliwapiga 6-0, 5-0 -4-1 , zote safi bila tuta za mchongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Punga acha hasira mim kambale matope ndio yangu napendelea sana iyo kitu
tangu oct5 bado inauma tu!!!Mnajisifia mnashinda goli 5, mtuonyeshe ni mechi zipi mmefunga 5 bila penati?
Tuliwapiga 6-0, 5-0 -4-1 , zote safi bila tuta za mchongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo kalia kidole utuliePunga acha hasira mim kambale matope ndio yangu napendelea sana iyo kitu
Punga Kwan bado inauma tu..
Pale Lutheran Magomeni barabarani kuna bango kubwa huwa linaonesha Pacomé akimchambua Manula!Yanga tulimpiga 6 na 5 zote ,na bila penati nashangaa mmekuwa malimbukeni wa goli 5-1
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Kibu ni striker?? Tulia ww limbukeni..Ukimaliza kuuliza hili, uliza pia kiatu cha SAIDO dhidi ya Mayele, Saido alikuwa na penati ngapi..!!!
Makolo, kile kipigo cha mbwa mwizi kimewakaa kwenye damu wallah..!! Kila anayepigwa TANO lazima mzikumbuke tano zenu..!! Mtakufa pale mtakapopigwa tena tano round ya pili..!!!
By the way, Guede kwenye mechi moja kafunga magoli mawili na kamzidi Kibu mwenye goli moja kwa mechi 15..!!
CC Kalpana, Mshana Jr, GENTAMYCINE et el
Ahahahahahaaa sasa alifungaje hilo moja kama kufunga ni kwa striker pekee..!!??Kwani Kibu ni striker?? Tulia ww limbukeni..