Goli 5 mnazoshinda mtuambie Goli zipi 5 bila penati kuwepo

Goli 5 mnazoshinda mtuambie Goli zipi 5 bila penati kuwepo

Wewe ni mshamba hujui mpira Yanga ameshaifunga Simba goli tano mara Moja tu Kwa uelewa wako.
 
Shamba darasa 😂🤣😁😁😁
20240219_175343.jpg
 
Mnajisifia mnashinda goli 5, mtuonyeshe ni mechi zipi mmefunga 5 bila penati?

Tuliwapiga 6-0, 5-0 -4-1 , zote safi bila tuta za mchongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimaliza kuuliza hili, uliza pia kiatu cha SAIDO dhidi ya Mayele, Saido alikuwa na penati ngapi..!!!

Makolo, kile kipigo cha mbwa mwizi kimewakaa kwenye damu wallah..!! Kila anayepigwa TANO lazima mzikumbuke tano zenu..!! Mtakufa pale mtakapopigwa tena tano round ya pili..!!!

By the way, Guede kwenye mechi moja kafunga magoli mawili na kamzidi Kibu mwenye goli moja kwa mechi 15..!!

CC Kalpana, Mshana Jr, GENTAMYCINE et el
 
Punga hapa ndio umefika mim natumia sana matope yani Kwa kifupi mim ni kambale hapo ndio kwangu kwenye matope..
Utapigwa kitu kiasi kwamba ukiwa unacheka tu vitu vinatoka utafikiri umekula mayai ya samaki aina ya sangara.
Punga Aliyekuzaa sokoni ukanifunikwa na matembele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimaliza kuuliza hili, uliza pia kiatu cha SAIDO dhidi ya Mayele, Saido alikuwa na penati ngapi..!!!

Makolo, kile kipigo cha mbwa mwizi kimewakaa kwenye damu wallah..!! Kila anayepigwa TANO lazima mzikumbuke tano zenu..!! Mtakufa pale mtakapopigwa tena tano round ya pili..!!!

By the way, Guede kwenye mechi moja kafunga magoli mawili na kamzidi Kibu mwenye goli moja kwa mechi 15..!!

CC Kalpana, Mshana Jr, GENTAMYCINE et el
Kwani Kibu ni striker?? Tulia ww limbukeni..
 
Usiwaze sana mkuu....vumilia tu....mtu kula kono la nyani mbona kawaida sana
 
Back
Top Bottom